Image ya saini ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Ngoja kwanza nikanywe nikija ntasema

Sent from my BlackBerry 0 using JamiiForums
 
Kwani kuna nini?
zote saini zilizopo hapo Bingeni ni Fake km zilisaini Document yeyote ya Muungano )fuatilia Taarifa za Habari za Kituo cha ITV LEO 02/04/2014
Kwa hisani ya @Dingswayo
hiyo ndiyo saini HALISI nahisi inapatikana kwenye Noti za zamani pia
Kamati za Bunge la Katiba leo zimecharuka na hata Sendeka kajiumauma
Waandishi wamembana Nahodha ambye ni Mwenyekiti wa Kamati mojawapo kuhusu hizo saini na kujiumauma kwa Pius Msekwa kuwa hazikumbuki vizuri kwa hiyo hizo Hati za Muungano sizo zenyewe kabisa kwani Kituo cha ITV kimeonesha kituko chote kizima.
FUNNY enough Nahodha kawauliza Waandishi waliomkabili na maswali
Haya na mm nawauliza kuna MUNGU nani kamuona MUNGU wote kimya (nikamkumbuka @Kiranga) ni nani kakutana na MUNGU? Mikataba yote ipo UN
km Kiongozi mkubwa wa Serukali na DINI akipayuka hivyo ujue kabanwa na ukweli anaujua
 
Tanzania kila kitu ni kugushi tu,matokeo form 4 feki ARVs feki,naibu waziri wa fedha anatumia jina feki,kifo cha barali kilikuwa feki,rasimu feki,muungano feki hadi sahihi ya nyerere ni feeki!!
 
Mbona simple tuu
Mtoto wake yupo hapaaa jf aulizwe tuu

Eti @yerrico nyerere
 
SAahihi ya Nyerere iwekwe kwenye katiba Mpya kama kumbu kumbu
 
Zote zake hizo, ikitegemea na mood na kama alisha choma au bado.
 
Zote zake hizo, ikitegemea na mood na kama alisha choma au bado.
Sawa hata km jamaa alikuwa mchomaji (RIP JK) lkn hata Msekwa Pius karani wake wakati huo asizijue na tatizo la Paper zenyewe ni za kileo A4 sio zile za 47 fullscape
Ngoja niitafute hii Taarifa ya Habari ya ITV uliyotuumbua WaTZ hasa Nahodha na Ole Sendeka
narudi na You Tube
 
Zote zake hizo, ikitegemea na mood na kama alisha choma au bado.

yule muimba taarabu wa jeshi aka jk aka rais kikwete ndiye kawaambia wagushi hizo sahihi! ndiyo maana siku ile mishipa ilimtoka akisema kama wanataka serikali tau asubiri atoke madarakani!!
 
yule muimba taarabu wa jeshi aka jk aka rais kikwete ndiye kawaambia wagushi hizo sahihi! ndiyo maana siku ile mishipa ilimtoka akisema kama wanataka serikali tau asubiri atoke madarakani!!

Nikisema humu muungano feki mlikuwa hamnielewi, saa hizi mnahaha, tukiwaambia yule mzee alikuwa majanga hamtuelewi, kaiuwa Tanganyika sasa mnaitafuta kwa udi na uvumba.

Jifunzeni kutoka kwa Wazanzibari, hususan muwatetee wale uamsho, sasa ndio mtawaelewa uamsho walikuwa wanapigania nini.
 
Halafu angalieni vidoti doti chini ya majina hayo juu na chini vipo tofauti na jina la juu ni km limefutwa na kupachikwa feki maana unaonekana mstari halafu dot line zinafuata
 
Sahihi zote ukiziangalia ni ambazo zilichapwa kwa mashine na kwa mtazamo wangu ni sahihi zilizokuwa zikitumika kwa wakati ule. Ni nani hasa wanataka kumwonyesha kwamba Nyerere alikosea sana? Na kama makatibu wake walitumia sahihi mojawapo ya zilizokuwa zimeandaliwa? Mmoja akanushe ama athibitishe.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hata wewe mleta uzi, ukichunguza vizuri sahihi zako utakuta zina slight difference, sahihi sio nakala ( Copy) kiasi cha kulazimisha kuwa zipo sawa kila kitu. Hata ukichukua sahihi za Mwl kwenye masuala mbalimbali ambayo hayatiliwi shaka ukichunguza unaweza kukuta slight diffrence kama hizo. Cha msingi cha kujadili ni hizo Contents za mkataba wenyewe badala ya kuleta ubishi kwa mambo ambayo ku prove itachukua muda kama vile ubishi wa kikanuni kwenye bunge.
 

na wewe ni majanga tu kama binamu yako! mbona hujamuelewa kikwete anayeupigania muungano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…