Image ya saini ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Image ya saini ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Inasikitisha kuona tunajadili upuuzi... sahh zinabadilika kutegemea na nyakati pamoja na mikao.
Ukiandika umekaa itatua tofaut na ya kusimama.

Sahih ya mwaka jana kuna uwezekano isiwe sawa na ya mwaka huu.
Huo mkasa umenikuta bank ya exim juzi bank teller anazngua kunipa hela kisa sahihi zimetofautiana.

Mkono si sawa na photocopy machine kiasi kwamba utende sawa kila wakati.

Msiwe mnajitoa ufahamu kutetea ujinga usiokuwa na mashiko wala tija kwa taifa.
Nyie ndo mnachangia hii nchi ionekane imejaza wapumbavu na wajinga lundo.

A cha ujinga...mwizi ni mwizi tu na zikitimia 40 atajitetea kwa lolote ila jibu linabakia kuwa anastahili hukumu inayostahili..siyo kukaa, siyo cha exim au lolote...feki ni feki na kufoji haisimami muda...ukweli utakuja punde nawe utajificha USO...ccm ni majitu maovu hata kwa wazao na wajukuu wao wenyewe sembuse kwa RAIA wa kawaida wanaodai haki yao na Tanganyika yao..
The days are numbered for ccm to sustain the coming 'magnitude'...they would better confess and seek the public sympathy rather than their arrogance and selfish and idiotic mindset.
 
Kila Mtanzania ana haki ya kutoa maoni yake, usifikiri kuwa Kikwete ni alien.

Mimi binafsi muungano ukiwepo sawa usipokuwepo ndio kheri, nimeishi kwenye muungano kabla ya huu feki. Muungano ulikuwa ni ule wa asili na asili, kati ya Zanzibar na Tanganyika si huu feki wa Nyerere.

Ulikuwepo kabla ya 1964? Kama ndivyo kumbe wewe ni bibi yangu kabisa. Samahani kwa zile qoutes,ila na wewe upunguze uchokozi.
 
Ndugu yangu usitake kulifanya swala la Nyerere kuwa tofauti na hali nyengine. Ni mara ngapi wameeitwa wataalamu wa maandishi kuthibitisha sahihi kwa hivyo haiwezi kuwa tofauti na kesi hii. Iwapo kuna utata basi ufanyike uchunguzi au wewe kama wewe huamini kuwa watu hughushi sahihi?
Hapo kwenye red MaCCM ndio uwanja wao wa nyumbani uhakika wa kushinda ni 99.9%
 
kuna tetesi hati halisi inaonesha muungano unaisha mwaka72!
 
watafoji sana kakobe kashasema. hili ndo kifo cha sisiyem

lyk yako!
niliwaambia ngereja aliambiwa akafikiri utani. ila sasa atamheshimu mtumishi wa mungu alie hai.
ccm wanazan huu umma wa sasa hivi ni umma wa 70's.
wakimaliza 2 katiba yao ya chama kesho 2naanza kudai katba ya wananchi.
 
Ukitaka kuijua sahihi ya kweli ya mwalimv J K NYERERE tafuta mkataba wa muungano ndo ilipo
 
Tanzania kila kitu ni kugushi tu,matokeo form 4 feki ARVs feki,naibu waziri wa fedha anatumia jina feki,kifo cha barali kilikuwa feki,rasimu feki,muungano feki hadi sahihi ya nyerere ni feeki!!

Inawezekana hata watanzania bara ni feki na sababu kubwa ni kwamba Tanzania nayo ni feki. Nchi halisi ni Tanganyika.
 
Kula za WAZI ila HATI YA MUUNGANO YA SIRI
 
Nilikuwepo way before 1964. For your information, nipo toka Tanganyika haijapata Uhuru.

Shikamoo Bibi FF!

Kumbe Dr. ni mzee mwenzako sasa kwa nini huwa unamshambulia na kumdhalilisha bila sababu? Unatufundisha nini wajukuu?
 
mimi ninaona hamna kufogi hapo, kama uamini njoo arusha nikutengenezee zote mbili unazoziona hapo kama zilivyo, nyie mnazani mtu anayetaka kufogi signature wataachana mbali hivyo kama unavyoona??? mimi ninaona signature iliyopigwa mwaka 1964 si lazima iwe exactly na sahihi ya mwaka 1994.
 
Hizi ni sahihi Mbili tofauti. Sahihi ni Kama logo haitakiwi itofautiane hata Kama kikiongezeka Au kupungua kitu kidogo
 
Back
Top Bottom