Kama umepotea jukwaa; tafuta tafuta tu kuna jukwaa la kilimo humu manake hili jukwaa ulilopotelea hizo ndo habari zake...Lazima nikwambie ukweli akili yako imelala nataka nikuamshe maana hao watu wanapesa zao na maisha yao so na wewe pigana kutafuta maisha yako na mumeo
We huna akili kama bashite kumwambia mtu ukweli si kupotea jukwaa anzisha thread yenye kueleweka wewe ukilala ukiamka unamuwaza Alikiba na Diamond na ni mtoto wa kiume tukuelewejeKama umepotea jukwaa; tafuta tafuta tu kuna jukwaa la kilimo humu manake hili jukwaa ulilopotelea hizo ndo habari zake...
Usie na akili ni wewe mpuuzi unaetaka jukwaa la celebrities lijadili kilimo cha matikiti maji!!We huna akili kama bashite kumwambia mtu ukweli si kupotea jukwaa anzisha thread yenye kueleweka wewe ukilala ukiamka unamuwaza Alikiba na Diamond na ni mtoto wa kiume tukueleweje
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Usie na akili ni wewe mpuuzi unaetaka jukwaa la celebrities lijadili kilimo cha matikiti maji!!
Narudia; umepotea jukwaa kwahiyo fanya haraka kutafuta jukwaa linalofanana na wewe na tuondolee umbwiga wako hapa!!!!
Una IQ ndogo nkibishana na wewe ntakeshaUsie na akili ni wewe mpuuzi unaetaka jukwaa la celebrities lijadili kilimo cha matikiti maji!!
Narudia; umepotea jukwaa kwahiyo fanya haraka kutafuta jukwaa linalofanana na wewe na tuondolee umbwiga wako hapa!!!!
Mpumbavu tu wewe; hebu kalime matikiti maji huko; mbwiga!!! Unaingia jukwaa la celebrities halafu unashangaa kukuta habari za Kiba... sasa kama sio umbwiga tuite nini!!Una IQ ndogo nkibishana na wewe ntakesha
Kweli watoto mliotumia maziwa ya kopo mna matatizo unapayuka tuu wewe unakula na kunya kwa baba na mama siwez nkabishana naweMpumbavu tu wewe; hebu kalime matikiti maji huko; mbwiga!!! Unaingia jukwaa la celebrities halafu unashangaa kukuta habari za Kiba... sasa kama sio umbwiga tuite nini!!
Mpotezee uyo jamaa kujikuta kujua kwingi wakati anaishi kwa shemeji yakeMpumbavu tu wewe; hebu kalime matikiti maji huko; mbwiga!!! Unaingia jukwaa la celebrities halafu unashangaa kukuta habari za Kiba... sasa kama sio umbwiga tuite nini!!
We cho'ko tu mbwiga wewe!!! Narudia; kila jukwaa unaloingia unatakiwa kufahamu nini theme ya jukwaa husika pumbavu zako!!!Kweli watoto mliotumia maziwa ya kopo mna matatizo unapayuka tuu wewe unakula na kunya kwa baba na mama siwez nkabishana nawe
Hahaha! Bosi msamehe tu, ameshakuelewa mbona! Tatizo anaendekeza ligi tu.Usie na akili ni wewe mpuuzi unaetaka jukwaa la celebrities lijadili kilimo cha matikiti maji!!
Narudia; umepotea jukwaa kwahiyo fanya haraka kutafuta jukwaa linalofanana na wewe na tuondolee umbwiga wako hapa!!!!
Na wewe unamfatilia huyu anayeandika ya Alikiba na Diamond kila siku! Kwa maneno rahisi tunasema hivi..... Yeye ni shabiki wa Alikiba na Diamond na wewe ni shabiki ake.Aisee we demu unafikiria kila siku maisha ya Alikiba na Diamond hivi haunaga thread yoyote yenye kitu kipya zaidi ya hao wawili? halafu tunalalamika Maisha magumu wakati kuna watu kama wewe ukilala ukiamka ni Alikiba na Diamond kweli tuna safari ndefu kama taifa
Hahaha sijawahi kukuona mkali hivi! Nimecheka sana. kuna watu hawaelekezeki ndugu.We cho'ko tu mbwiga wewe!!! Narudia; kila jukwaa unaloingia unatakiwa kufahamu nini theme ya jukwaa husika pumbavu zako!!!
Ilimezwa na muziki wa daresayHii remix sijui hata ilipotelea wapi ndani ya siku moja tu ikapotea kwa mawimbi....na mwenye wimbo ndo anasifika kwa kutoa ngoma zenye long term life hii imekaaje mbona imepotea ghafla nn tatzo au kuna fitna zinafanyika
So hapa unataka kusema nini?Na wewe unamfatilia huyu anayeandika ya Alikiba na Diamond kila siku! Kwa maneno rahisi tunasema hivi..... Yeye ni shabiki wa Alikiba na Diamond na wewe ni shabiki ake.
We mtoto mzuri kumbe upo?! Halafu unajifanya umeadimika kishenzi...!! Huyo jamaa mpuuzi sana... nilivyopitia posts zake kumbe shabiki la Kiba ndo maana lilikuwa linatoa mapovu hapa!!! Kwahiyo issue sio habari za Kiba na Chibu bali alikuwa anamwaga povu kuona mada ya kuiponda Aje RemixHahaha sijawahi kukuona mkali hivi! Nimecheka sana. kuna watu hawaelekezeki ndugu.