rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Yanga na CCM ni kulwa na dotto , Kama CCM walivyoleta umasikini ndivyo yanga walivyokwamisha mpira.Yanga wamekwamisha vp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga na CCM ni kulwa na dotto , Kama CCM walivyoleta umasikini ndivyo yanga walivyokwamisha mpira.Yanga wamekwamisha vp
CCM wamekujengea mabarabara ...mashule.....madaraja ....viwanja vya michezoYanga na CCM ni kulwa na dotto , Kama CCM walivyoleta umasikini ndivyo yanga walivyokwamisha mpira.
Hivyo vyote umeshiriki kujenga kupitia Kodi unayotoa, hakuna hata kiwanja kimoja kilichojengwa na ccm vyote vilijengwa kupitia michango ya wananchi.CCM wamekujengea mabarabara ...mashule.....madaraja ....viwanja vya michezo
Yanga wanazidi kututangaza kimataifa kupitia eng hersi...
Sasa mkuu.... unataka upewe gunia la chawa Ili uwe satisfied???
Dah! Mgosi ndiyo umekosa uvumilivu kiasi hiki! Imagine jamaa hamtukani mtu! Yeye anatufurahisha tu. Hivyo mchukukie tu ili maisha yaendelee.Ignore thread Yes
Ignore member Yes
Approved !
Done.
Pia tusingepata uhuru au tungechelewa sana kuupata. Maana vikao vya kina Nyerere vilikuwa vinafanyikia JangwaniMaana yake hata timu kama simba isingekuwepo! Si unafahamu hiyo timu inayoitwa simba imetoka kwenye ubavu wa Yanga?
Story nilizosikia ni kwamba enzi za harakati za uhuru, wakoloni walikuwa wanazuia mikusanyiko yenye mlengo wa kudai uhuru. Lakini michezo iliruhusiwa, hivyo wazee wakaamua kutumia mwanya wa michezo kufanya vikao vyao. Wakawa wanakutania Kaunda, Jangwani pale.Pia naskia Yanga walikuwepo kwenye harakati za uhuru
Pia Kuna tetesi kuwa Simba ilikuwa ni ya wakoloni ....jina iliitwa queen...then SunderlandStory nilizosikia ni kwamba enzi za harakati za uhuru, wakoloni walikuwa wanazuia mikusanyiko yenye mlengo wa kudai uhuru. Lakini michezo iliruhusiwa, hivyo wazee wakaamua kutumia mwanya wa michezo kufanya vikao vyao. Wakawa wanakutania Kaunda, Jangwani pale.
Bila Yanga, bora nchi iuzwe tu. 🤣 🤣🤣🤣🤣Kama mchambuzi wiki hii nimewaza sana kuhusu suala hili bila Yanga Tanzania ingekuwaje?...
Yanga wanaiweka busy nchi Kwa matukio yao ambayo wanayafanya mfano ...vile vichapo vya 5G [emoji113]...viliifanya nchi kuwa kwenye trending nzito ...Hadi taarifa zilimfikia rais wa FIFA
Soup day, kutinga group stages, pia hivi juzi tumeona mwenyekiti wa vilabu vya Africa Eng hersi akialikwa na raisi wa heshima wa PSG....Hadi akapiga picha na kina klyan magoli mbape
NB: Binafsi naona bila Yanga ...nchi ingepoa sana ( ingechacha)