Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa anawadanganya mazee.... mimi sio huyo Jamaa.
Ila nimekuwa nao for that time SUA.
Usifuatilie vina vya kibongo bongo havinaga maana kabisa hivyo bossMbona kuna sehemu anasema anakitambi halafu sehemu nyingine eti karendemka kama teja
Naomba ufafanuzi tahadhari maana mimi sio mpenzi wa bongo fleva
Mimi namsikilizaga The Legendary Robert Nesta Marley Bob
hiyo line ina maana sana ametumia Metaphorical anasema "sijui Nina kwashakoo, maana Nina kitambi lakini silagi"Usifuatilie vina vya kibongo bongo havinaga maana kabisa hivyo boss