Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio najisi paka kumramba imamu.Nauliza tu yule paka kumlamba Sheikh sio najisi?
Shukrani sana [emoji847]Mmekupenda bure
kutumia akili pia ni jambo jema ,sio unafata tu kila jambo bila kutumia akiliWakirito hawafuati biblia bali wanafata akili zao tu
nionyeshe andiko lilisema kifo,hiyo ya kifo umeongezaSio kubanwa na njaa bali "kufa njaa", mtu hawezi kufa kwa kubanwa na njaa bali mtu hufa kwa "starvation" and not just hunger, katika kipindi cha starvation mtu anaweza kula hata nyani, nyasi, mizizi, mbwa, paka sembuse kitimoto??!!
Ni habitual eating ya kitimoto ndio inaweza kuchochea hisia za Ushoga na sio ule ulaji wa dharura katika starvation.
Umeelewa somo??