Imani imepungua

Imani imepungua

Abushiry

Member
Joined
Apr 2, 2020
Posts
91
Reaction score
75
Niaje wana jf,,nkumbuka nliandka uzi wa kutafta girlfriend miak 18-24 na MUNGU alnsaidia nkampata mtu hum ndan(stomsema jna) alkua na miak 25 kanzid miak 5..nmekaa nae kwenye mahusiano huku tukifahamian kiundan zaidi kw mda

Sku moja nkamwombe tukapime afya zetu,,bt akawa mgumu katk sekta hyo..nkajua labd hayuko tayar sku hyo nkamuacha,,,sku nyngne nkamwambia hvohvo bt kagoma tena huk aksem anajiamin yupo vzur,,nkamkubalia na mm baada ya kuona hapend kuambiw vle

Bas baad ya week hv nkumbuka kaniita nyumbani kwao albak mwenyew wazaz sku hyo wameenda kanisan,,kuja pale tumepga stor stor san..baad y mda kaomba tufany kwich kwich,,nkaw mgum ila kadri mda ulvozid kwenda ndo nkaanza kujkuta Nampa ushirkiano maana alijtahd kutoa romance nzto kwang,,ila MUNGU so athuman kaja mdogo ake pale katukuta tupo kweny romance sebulen pale na ha2javua hat nguo ko tukio likaw lmeishia pale

Nkarud zangu home,,sa ile kufka home nkapgiwa smu namba mpya,,kupokea kajtambulsha n mdogo ake Dem wang bas akanmbia mambo meng Sanaa an hat skuamin,,aknambia dadang n muathirka bt skuamin an,,skulala sku ile an mpak kunakucha moja kw moja nkamtaft girlfriend wangu huyo asbui nkamwomba tuonan maeneo HV,,bas jion tukaonana nkamwambia Yale nloambia akakataa,,nkambana kw maswal an mpak akakubal kua n kwel huku akilia et nmsameh nlkasirka huku nkimhurmia,,nkaamua kuondoka kufka home akantafta nkamwomba tuachane maan hakua mtu mwema kwangu kw kunfcha ukwel,,kaomba msamah San nkamsameh bt nksema storudiana nawe tena...

Bt kwa kumheshmu bt n marafk wazur tu,,,na yy ndo kaomba niweke uzi huu humu ndan il wengne mjifunze

Nawasilisha........🙏
 
Hongera sana ila sasa huu uandishi ndio tatizo! Sema nini Dogo? Ngoma ina ubaguzi sana sana, kuna majitu humu ndani hata hayapati ila kuna wale ambao ndo Gusa Unase, all in all, acha ngono zembe
 
Imani Imepungua.


Acha upumbafu vaa ndomu hata kama pisi ni kali kiasi gani dogo.
 
Back
Top Bottom