Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
TAARIFA KWA UMMA
Imani Kajula aomba kuondoka klabuni hapo
Klabu ya Simba inapenda kuujulisha umma kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imeridhia maombi ya Afisa Mtendaji Mkuu Imani Kajula kuomba kuondoka ifikapo mwisho mwa mwezi Agosti 2024 mkataba wake utakapoisha.
Kufuatia maamuzi hayo, Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba inafanya jitihada za kupata Afisa Mtendaji Mkuu mpya. Umma utapewa taarifa zoezi hili litakapokamilika.
Pamoja na uamuzi huu, Afisa Mtendaji Mkuu Imani Kajula anaendelea na majukumu yake ya kiutendaji kikamilifu hadi tarehe 31 Agosti 2024.
Imetolewa na:
Idara ya Habari na mawasiliano, Klabu ya Simba.
15 Julai, 2024
Pia soma:
Imani Kajula aomba kuondoka klabuni hapo
Klabu ya Simba inapenda kuujulisha umma kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imeridhia maombi ya Afisa Mtendaji Mkuu Imani Kajula kuomba kuondoka ifikapo mwisho mwa mwezi Agosti 2024 mkataba wake utakapoisha.
Kufuatia maamuzi hayo, Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba inafanya jitihada za kupata Afisa Mtendaji Mkuu mpya. Umma utapewa taarifa zoezi hili litakapokamilika.
Pamoja na uamuzi huu, Afisa Mtendaji Mkuu Imani Kajula anaendelea na majukumu yake ya kiutendaji kikamilifu hadi tarehe 31 Agosti 2024.
Imetolewa na:
Idara ya Habari na mawasiliano, Klabu ya Simba.
15 Julai, 2024
Pia soma: