ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Ukaongea nae? Yakipanda nadhani kama yaliyopanda yana ujuzi wa kuendesha ndege mkuu unakuta unaweza kuzungusha CharterNilikuwa siamini Sana kuhusu MAJINI yanayopanda vichwani....nilikuja kushangaa kwa "house girl" aliyeishia darasa la 7...
Acha tu mkuu nilidhani ni UKICHAA NA DELUSION....Ukaongea nae? Yakipanda nadhani kama yaliyopanda yana ujuzi wa kuendesha ndege mkuu unakuta unaweza kuzungusha Charter
Wapi wakienda Arusha kiswahili cha chuga hawaelewi chochoteMajini yanaongea lugha zote duniani.
zile ni roho mkuu hazina kabila wala lugha maalum.
Jiulize je Yesu mwenyewe anaongea lugha gani? mbona kila taifa linamuomba na anajibu?
Kutakuwa na mkalimani usiwe kilazaWadau nipo najiuliza kwa sauti...hili kongamano la kidini ambalo linatrend sana hivi sasa la Imani,Miujiza na Upendo (sina uhakika kama linaitwa hivyo lakini mmenielewa)...
Ndio maana sipendi kubishana jambo nisilolijuaNilikuwa siamini Sana kuhusu MAJINI yanayopanda vichwani....nilikuja kushangaa kwa "house girl" aliyeishia darasa la 7...
Hakika mkuu....Ndio maana sipendi kubishana jambo nisilolijua
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kila mziki unaucheza kulingana na biti lake,nadhani majini nayo yatakuwa na wakalimani wake [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
Na nikigundua naongea nawewe unabisha kitu kumbe hukijui nasepaHakika mkuu....
Huko ndiko kuiheshimisha na kuionea aibu "haya" nafsi yako.....ππ€£
π€£π€£ππNa nikigundua naongea nawewe unabisha kitu kumbe hukijui nasepa
Huwa wanasema nao wanasoma kama sisi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Dah mkuu umeua kabisa yaani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2],[emoji3][emoji3][emoji3] uwiii majini yana mkalimani, itakuwa kama yule mkalimani wa tanapaKila mziki unaucheza kulingana na biti lake,nadhani majini nayo yatakuwa na wakalimani wake [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
Yako yataongea kichina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa siamini Sana kuhusu MAJINI yanayopanda vichwani....nilikuja kushangaa kwa "house girl" aliyeishia darasa la 7 ,mdogo na aliyetoka kijijini kuongea lugha ya KIFARANSA pale apandishapo majini.....duuuh dunia hii.....kweli MTU anaweza kubisha kwa ASICHOKIJUA NA KUKIONA.....
Dunia ina maajabu mengi hii.....[emoji1787][emoji1787]
Haya mambo acha tu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2],[emoji3][emoji3][emoji3] uwiii majini yana mkalimani, itakuwa kama yule mkalimani wa tanapa