Imani Na Uhuru Wa Dini


Kabla ya kuandika....uliza wananchi wenye viongozi kama Ndesamburo....uwaulize kwanin hawamtoi moshi mjini....kiongozi anatumikia wananchi to the extent hatutki aondoke .....wananchi tatizo tunarubuniwa.....miaka 5 ni kipimo kizuri sana cha kumpima mmbunge wako....ukiona hakufai hakun kumpa kura...tatizo ikifik kipind hicho vijihela vijikanga etc tunapewa tunasahau adha ya miaka 5 tuliyoipata....

Wananchi tukiwa serious kweny mamb ya uchaguzi hasa kuangalia utendaji kazi wa mtu..alwayz tutakuw na kiongozi bora...the issue ya ukomo wakati mtu anatekeleza na zaid kile alichoahidi unamtoa wa nini...nenda kawaambie wanamoshi mjini wamtoe ndesamburo usikie utaambiwa nini.......Mchiwa think critical usiburuzwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…