Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,236
- 1,411
Nauliza sababu nimeshuhudia wamama wengi walioolewa na (waislam wakifika umri wa makamo wanarudia imani yao ya awali ya ukristo,au the opposite)dini inanafasi ya kuwa na uhusiano uliobora na kustawisha familia!ukiwauliza wanasema there's incompatibility in religion walioingia kwa kusema "nimempenda na dini si kitu bora mapenzi"je mtu anapendwa au dini inapendwa(inafuatwa) sababu ya mafundisho yake,imani ya mtu na mtu ni kitu kimoja au utofauti ni upi !!
Mh hilo angalizo lako linabagua na kunyanyapaa! Ina maana utamzuia mtu asiye na hulka ya dini (sijui ndo yukoje) asichangie hata kama ana mawazo mazuri yenye mafunzo!
Mimi ninaamini katika kumuabudu Muumba mmoja na alituumba sote kwa utofauti wetu itherwise asingekuwa anaruhusu kufall na watu wasio dini yako! Kama kuna namna ya kutafsiri dini kwani inawezekana kwangu nadhani nina tafsiri tofauti na yako!
Kimsingi ni vibaya kumbadili mtu dini ili tu umuoe....
Ni vizuri kabla ya kumbadilisha dini mtu umshawishi ili ajifunze imani yako na mwisho maamuzi
ya kubadili dini au la ywe ya kwake tu bila shinikizo
zipo ndoa nyingi imara ambazo watu wapo kila mtu na dini yake....
Mh hilo angalizo lako linabagua na kunyanyapaa! Ina maana utamzuia mtu asiye na hulka ya dini (sijui ndo yukoje) asichangie hata kama ana mawazo mazuri yenye mafunzo!
Mimi ninaamini katika kumuabudu Muumba mmoja na alituumba sote kwa utofauti wetu itherwise asingekuwa anaruhusu kufall na watu wasio dini yako! Kama kuna namna ya kutafsiri dini kwani inawezekana kwangu nadhani nina tafsiri tofauti na yako!
<br />Binafsi ina nafasi hasa kama ni mahusiano ya kuelekea kwenye ndoa.<br />
Sipendi kubadili dini sababu ya kuolewa na nisingependa kumbadilisha mtu imani. Nachukulia kubadili dini ni kukosa msimamo na wengi ninaowajua waliobadili wameprove hilo. Hata mtu akibadili kwa ajili yangu nitamchukulia ni mtu asiye na msimamo.
Hapa ndio kila mwenye akili timamu atagunduwa kwamba kabila ndio lina maana zaidi kuliko dini ni takataka tu. maana huwezi kubadili kabila lakini unaweza kubadili dini. hapa naona dini haina mashiko na uzembe kuona dini ni kitu cha maana wakati hakina nguvu kushinda kabila lako.bora kubadili kabila tu lol
Biblia inakataza kuoana na wale wa mataifa kwa mfano, hilo unaliongeleaje?
Tupe aya....
dini inanafasi ya kuwa na uhusiano uliobora na kustawisha familia! je mtu anapendwa au dini inapendwa(inafuatwa) sababu ya mafundisho yake,imani ya mtu na mtu ni kitu kimoja au utofauti ni upi !!
Mh hilo angalizo lako linabagua na kunyanyapaa! Ina maana utamzuia mtu asiye na hulka ya dini (sijui ndo yukoje) asichangie hata kama ana mawazo mazuri yenye mafunzo!
Mimi ninaamini katika kumuabudu Muumba mmoja na alituumba sote kwa utofauti wetu itherwise asingekuwa anaruhusu kufall na watu wasio dini yako! Kama kuna namna ya kutafsiri dini kwani inawezekana kwangu nadhani nina tafsiri tofauti na yako!
Haya mawazo yana walakini Mungu wa wakristu ana jina na jina lake ni Yesu Kristu.......................na wengine wamemkataa hivyo hatuwezi wote kuwa tunamwabudu Mungu yuleyule.....................................ni lazima wako wanaomwabudu Mungu wa kweli na wengineo wanaabudu asiye wa kweli...............the deceiver.........kumbuka Lucifer naye anausongo wa kuabudiwa kama Muumba....................so watchout...........
Biblia inakataza kuoana na wale wa mataifa kwa mfano, hilo unaliongeleaje?
Mkuu .. Binafsi naamini kuna tafsiri mbili unapoongea kuhusu dini au imani.
1. Kuna wale wanaotumia dini kukinga mabaya yao na kwa maslahi yao binafsi na si vile Mungu anavyotaka. Wanatumia maandiko kupotosha nia njema ya imani na uhusiano na Mungu. Hapa namaanisha wale wanaopiga kelele kwa sauti kubwa kutumia kigezo cha dini (Kikiristu, Islam, Budha etc) lakini giza likiingia wanageuka kuwa simba wakali na wako tayali kuua hata wenzao wenye imani sawa na wao.
2. Kuna wale ambao wako kimya, Wana imani ya juu ya kile wanachoamini hadi wanakubali kuwa Mungu ni wa upendo na Amani. Aina ya watu hawa hawajali binadamu mwenzake ana dini gani ili mradi kama huyo mwenzake anayo amani na upendo na anamtukuza na kumtii Mungu kwa vile anavyoamini na siyo kinafiki. Mara nyingi watu kama hawa hawajali mwenza/mke wake ni wa dini gani. Imani imempeleka mbali zaidi na anaamini yeyote anayeamini Mungu wa kweli na kutii sheria zake basi ni mmoja wake bila kujali dini au dhehebu.
Swala la kuchanganya dini katika familia yako utaamua wewe mwenyewe kutokana na uko kwenye kundi gani la hapo juu, ingawa kama utakuwa kundi la pili unaweza kupata kipingamizi toka kwa baadhi ya mafundisho ya baadhi za dini na changamoto na jamii inayokuzunguka. Lakini mwisho wa yote.. Kitakacho kuweka karibu na Mola ni matendo yako kwa mwenzako na siyo kelele na unafiki wa hapa duniani.