Imani ya dini yako je ina nafasi katika uhusiano ??

Imani ya dini yako je ina nafasi katika uhusiano ??

swala la dini lina nafasi yake kwenye mahusiano- maana hata kama mtu atabadili dini-na mkafanikiwa kuoana-itakuaj kufikia mahali kila mtu anataka kurudi kwenye dini yake-na kuleta usumbufu kwenu na kwa watoto-
hata kama wapo watu wa dini tofauti-ambao bado wapo kwenye ndoa na mambo yanakwenda vyema-nazani huo ni matazmo wetu tu sisi wa nje-ukweli wa mambo wanaujua wao-maana wanaweza kuwa na internal conflict,then wakitoka nje wanabehave normal-so inakuwa ngumu kuwasoma
 
kuna kitu watu hukita "chemistry" katika mahusiano.
yaai kuendana, tukiachilia mbali upendo hili ni jambo jingine la mhim mno katika mahusiano.
tunaposema kuendana tunamaanisha katika maisha yote kwa ujumla.sio lazima watu muendane kwa asilia 100 ila katik yale ambo
makubwa ni llazima watu kuendana.
dini, kwa mwaamini yeyote wa kweli, ni mwongozo wa maisha.ni dira,hutawala sana matendo, fikra, nia, haja na maisha kwa ujumla.
kama watu hawa wanaohusiana ni waamini wa kweli wa dini, ila dini tofauti, ni hatari kwa mapenzi yao kwasababu watatofautiana katika hayo niliyoyasema hapo juu namengie mengi ambayo sijayataja.
kwa mimi nazingatia dini kama nikitaka mahusiao siriaz.
 
Dini ni muhimu katika mahusiano, tusidharau hii...
 
Dini inacheza mahala pakubwa sana katika maisha ya ndoa!.. sanasana kwetu sisi waislamu
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
nakupa mfano:<br />
<br />
<br />
Tuseme we ni muislam!<br />
<br />
unakutana na wanaume wawili, kati ya hao ukatokea kumpenda sana, lakini huyo uliempenda kwa dhati na yeye amekupenda unakuta ni mkristo,<br />
<br />
sasa, uko tayari kuusaliti moyo wako kuwa na huyo ambae ni wa dini yako bt hujampenda na kumwacha mpendwa wako kisa dini?
<br />
<br />
sitojaribu kufanya makosa kwa kuingia kwenye mahusiano na mtu ninayepishana nae imani. Kama huyo muislam mwenzangu sijampenda jibu rahisi tu sitokuwa nae. Ikitokea nimempenda mkristo hadi nahisi kuchizika tutafunga ndoa ya bomani na kila mtu ataheshimu imani ya mwenzie.
 
Mtu anapobadili dini kwa sababu ya mapenzi hafai lakini hii ni kwaajili ya wanaume tu!
 
Kama unatamani kuwa na ndoa nzuri ni vema ukaoa/olewa na mtu anayeamini kile unachoamini mf: mume ambae imani yake inamruhusu kuvuta bangi/ kula nguruwe/ kunywa pombe nk. akamwagiza mke wake akamnunulie na huyo mwanamke akataa sababu imani inamkataza hata kugusa hivo vitu uoni inaweza ikasababisha ugomvi mume aseme mke amemdharau. hiyo baadhi ya mf lakini hipo mingi.
 
...kwangu mimi la msingi awe ni mcha mungu, iwe ni mkristo au muislamu haijalishi.
Imani ni jambo la msingi, na sipendi mtu anitwishe zigo la kufuata dini yangu ili nimuoe.
 
Ni funny. Baba yangu ni muislamu mama mkristu lakini wote walibaki na dini zao ila baba alikuwa ana prefer sie tuolewe na wakristu though we had wider choice kwa kuwa hata waislamu kwake ilikuwa OK ila tulijua fika anafagilia wakristu zaidi. Wazazi wangu ni couple ya kipekee wamepitia vikwazo vingi sana ila kwa kuwa dady alikuwa provider kwao wazazi hawakumpinga kuoa dini nyingine hawakutaka kumuuzi tatizo ni mashangazi.


Kimsingi ni vibaya kumbadili mtu dini ili tu umuoe....
Ni vizuri kabla ya kumbadilisha dini mtu umshawishi ili ajifunze imani yako na mwisho maamuzi
ya kubadili dini au la ywe ya kwake tu bila shinikizo

zipo ndoa nyingi imara ambazo watu wapo kila mtu na dini yake....
 
Ni funny. Baba yangu ni muislamu mama mkristu lakini wote walibaki na dini zao ila baba alikuwa ana prefer sie tuolewe na wakristu though we had wider choice kwa kuwa hata waislamu kwake ilikuwa OK ila tulijua fika anafagilia wakristu zaidi. Wazazi wangu ni couple ya kipekee wamepitia vikwazo vingi sana ila kwa kuwa dady alikuwa provider kwao wazazi hawakumpinga kuoa dini nyingine hawakutaka kumuuzi tatizo ni mashangazi.

we uliolewa na mkristo sio?
baba yako yaelekea kama sio ndugu na wazazi angebadili dini kabisa..
nina ndugu kama baba yako....
 
Baba si mtu wa kubadili dini ila sijuhi nim define vipi. Anafunga kila mwezi mtukufu. Hali kiti moto na nyumbani kilikuwa hakikanyagi. Ila anakunywa bia. Hasali swala tano mpaka mwezi mtukufu ndio namwona anasali na msikitini anaenda sikukuu tu.

Nadhani ni rahisi kuoa/kuolewa na dini nyingine endapo mmoja wenu au wote si extremist. My dady ni bonge la liberal. Yani yeye anaangalia faida za kile kinachofundishwa na dini na si kubagua mtu kwa dini yake. Mama yangu yeye ni mcha Mungu sana kiasi kwamba walikuja ruhusiwa na kanisa kufunga ndoa ya dini tofauti ili aweze kuendelea kukomunika. Na hii ni baada ya kukaa na baba for more than 20 years na kanisa kuona bado yeye ni muumini mzuri japo hashiriki sacrament.

we uliolewa na mkristo sio?
baba yako yaelekea kama sio ndugu na wazazi angebadili dini kabisa..
nina ndugu kama baba yako....
 
Baba si mtu wa kubadili dini ila sijuhi nim define vipi. Anafunga kila mwezi mtukufu. Hali kiti moto na nyumbani kilikuwa hakikanyagi. Ila anakunywa bia. Hasali swala tano mpaka mwezi mtukufu ndio namwona anasali na msikitini anaenda sikukuu tu.

Nadhani ni rahisi kuoa/kuolewa na dini nyingine endapo mmoja wenu au wote si extremist. My dady ni bonge la liberal. Yani yeye anaangalia faida za kile kinachofundishwa na dini na si kubagua mtu kwa dini yake. Mama yangu yeye ni mcha Mungu sana kiasi kwamba walikuja ruhusiwa na kanisa kufunga ndoa ya dini tofauti ili aweze kuendelea kukomunika. Na hii ni baada ya kukaa na baba for more than 20 years na kanisa kuona bado yeye ni muumini mzuri japo hashiriki sacrament.

actually dini zote zinaruhusu watu kuoana na watu wa dini nyingine
but huwezi ambiwa hivyo na masheihk au maaskofu....
why?kwa sababu kwao wewe ni kama mteja hivi....sasa wanaogopa kukupoteza

watu wengi dini ni culture zaidi
kwenye harusi,misiba,n.kadhalika....

tukitoka hapo ni unirvesal world......
 
Ni funny. Baba yangu ni muislamu mama mkristu lakini wote walibaki na dini zao ila baba alikuwa ana prefer sie tuolewe na wakristu though we had wider choice kwa kuwa hata waislamu kwake ilikuwa OK ila tulijua fika anafagilia wakristu zaidi. Wazazi wangu ni couple ya kipekee wamepitia vikwazo vingi sana ila kwa kuwa dady alikuwa provider kwao wazazi hawakumpinga kuoa dini nyingine hawakutaka kumuuzi tatizo ni mashangazi.

inawezekana pia baba yako kwa kuwapenda
alitaka muolewe na watu wenye elimu na kipato kizuri
so aliwapa go ahead ya makusudi ili mpate hiyo
unayoita "a wider choice"
 
La elimu nakubaliana na wewe ni kigezo kikubwa baba alikuwa akituambia. Ila la kipato ni big no. Hakuna mtu nyumbani aliolewa na tajiri. Wote tumeolewa na vijana wa kawaida kabisa wanaoanza maisha na pesa tumezitafuta wote na waume zetu. Kwa mfano hakuna aliyeolewa na mwanaume mwenye gari. Si unajua vijana wanaoanza maisha especially those years huwezi nunua gari kwa kufanya kazi mwaka mmoja miwili. Mabinti wa kileo ndio bila usafiri hujaoa.

inawezekana pia baba yako kwa kuwapenda
alitaka muolewe na watu wenye elimu na kipato kizuri
so aliwapa go ahead ya makusudi ili mpate hiyo
unayoita "a wider choice"
 
La elimu nakubaliana na wewe ni kigezo kikubwa baba alikuwa akituambia. Ila la kipato ni big no. Hakuna mtu nyumbani aliolewa na tajiri. Wote tumeolewa na vijana wa kawaida kabisa wanaoanza maisha na pesa tumezitafuta wote na waume zetu. Kwa mfano hakuna aliyeolewa na mwanaume mwenye gari. Si unajua vijana wanaoanza maisha especially those years huwezi nunua gari kwa kufanya kazi mwaka mmoja miwili. Mabinti wa kileo ndio bila usafiri hujaoa.

kwa ujumla alitaka muolewe na the right people..
and in that case education is everything.....
 
Back
Top Bottom