Dotto Kajole Fimbo
Member
- Nov 16, 2016
- 30
- 52
Licha ya kwamba Rais Magufuli hajafanya vizuri katika suala la ajira ila binafsi bado nna Imani naye kuelekea tarehe 28/10/2020 hivyo anastahili kupewa miaka mitano tena katika utawala wake.
Kafanya mengi mazuri yakujivunia ukilinganisha na suala zima la uhaba wa ajira nchini.
Ni ukweli usiopingika kwamba nchi yoyote inayohitaji kupiga maendeleo kiuchumi ni lazima kuwe na kundi linaloumia hasa hasa kundi la tunaotafuta ajira rejea sula zima la mapinduzi ya viwanda barani Ulaya katika karne ya 18 mpaka 19 ni wazi kwamba watu wengi walipoteza ajira zao hivyo sina shaka kabisa na Rais Magufuli katika suala zima la uhaba wa ajira.
Ununuzi wa ndege ni kitu cha kujivunia kama Taifa kwani kumesaidia nchi yetu nayo kuwa na NATIONAL CARRIER kwani hii itaturahisishia kuitangaza nchi yetu kimataifa na kupunguza muda wa wasafiri kukaa angani kwani hakutokuwa na ulazima wa ndege zetu kuwa na destination nyingi ambapo tunaweza amua tuwe na direct flight either kutoka Marekani/ulaya kuja moja kwa moja nyumbani Tanzania bila kupitia cairo , south Africa then turudi Nairobi ndo tuingie KIA/JNIA.
Uboreshaji wa miundombinu hili ni jambo la muhimu Zaidi na la kwanza ili kuyafikia maendeleo. huwezi kupata maendele iwapo una miundombinu mibovu kwani hii itakwamisha muingiliano wa wazarishaji mali na usafirishaji wa bidhaa ama malighafi naikumbuka form one kipindi tunaandika nshu za poor infrastructure. Hivyo ninamupongeza kwa kujenga viwanja vya ndege, barabara, fly overs, kufufua reli na kuanza kwa safari za treni bila kusahau ujenzi wa meli na vivuko mbali mbali nchini.
Rais wetu umeboresha shule kongwe na kukarabati hospital za wilaya pamoja na kuanzisha vituo vya afya na zahanati nchi nzima. hili limeturahisishia upatikanaji wa huduma za afya japo bado kuna watumishi wachache wanaokukwamisha kwa maslahi yao binafsi ili ionekane huduma za afya ni mbovu.
Nina mengi yakunifanya niwe na Imani na wewe ila wacha tu niishie hapa na yaliyobakia nitayamalizia hiyo kesho kwenye sanduku la kura kwa kukupa kura yangu ili niunge mkono kazi ulizofanya kwa nchi.
Kafanya mengi mazuri yakujivunia ukilinganisha na suala zima la uhaba wa ajira nchini.
Ni ukweli usiopingika kwamba nchi yoyote inayohitaji kupiga maendeleo kiuchumi ni lazima kuwe na kundi linaloumia hasa hasa kundi la tunaotafuta ajira rejea sula zima la mapinduzi ya viwanda barani Ulaya katika karne ya 18 mpaka 19 ni wazi kwamba watu wengi walipoteza ajira zao hivyo sina shaka kabisa na Rais Magufuli katika suala zima la uhaba wa ajira.
Ununuzi wa ndege ni kitu cha kujivunia kama Taifa kwani kumesaidia nchi yetu nayo kuwa na NATIONAL CARRIER kwani hii itaturahisishia kuitangaza nchi yetu kimataifa na kupunguza muda wa wasafiri kukaa angani kwani hakutokuwa na ulazima wa ndege zetu kuwa na destination nyingi ambapo tunaweza amua tuwe na direct flight either kutoka Marekani/ulaya kuja moja kwa moja nyumbani Tanzania bila kupitia cairo , south Africa then turudi Nairobi ndo tuingie KIA/JNIA.
Uboreshaji wa miundombinu hili ni jambo la muhimu Zaidi na la kwanza ili kuyafikia maendeleo. huwezi kupata maendele iwapo una miundombinu mibovu kwani hii itakwamisha muingiliano wa wazarishaji mali na usafirishaji wa bidhaa ama malighafi naikumbuka form one kipindi tunaandika nshu za poor infrastructure. Hivyo ninamupongeza kwa kujenga viwanja vya ndege, barabara, fly overs, kufufua reli na kuanza kwa safari za treni bila kusahau ujenzi wa meli na vivuko mbali mbali nchini.
Rais wetu umeboresha shule kongwe na kukarabati hospital za wilaya pamoja na kuanzisha vituo vya afya na zahanati nchi nzima. hili limeturahisishia upatikanaji wa huduma za afya japo bado kuna watumishi wachache wanaokukwamisha kwa maslahi yao binafsi ili ionekane huduma za afya ni mbovu.
Nina mengi yakunifanya niwe na Imani na wewe ila wacha tu niishie hapa na yaliyobakia nitayamalizia hiyo kesho kwenye sanduku la kura kwa kukupa kura yangu ili niunge mkono kazi ulizofanya kwa nchi.