Ukimya nao huwa ni jibu tosha.
Muda mwingine kujibizana na mtu ni njia ya kumfanya awe maarufu kwa jamii ama kuufanya uongo uonekane ukweli.
Magufuli alikuwa sahihi kabisa kukaa kimya hivyo anastahili 5 tena.
Alafu hivi kweli Rais ni wa kujibizana na ka raia kake kweli!