Ila kwa iman zile zilifanya kazi haswa1. Kutema mate ulipokojoa mara baada ya kukojoa.
2. Kujaza upepo mashavuni ili usionekane ulipojificha.
3. Kushika mapu... ili msifungwe (mpirani)
4. Kuchomeka jani kwenye nywele ili mwalimu asahau kuwaadhibu.
5. Kuchora msitar kwa majivu katikati ya tumbo kuanzia juu kwenda chini, ili usivimbwiwe (kama ulikula kupita kiasi)
Ongeza nyingine.
hasa wakati wa kupiga penaltIla kwa iman zile zilifanya kazi haswa
Hii post nilipoiangalia haraka nilidhani Ni mshana Jr.1. Kutema mate ulipokojoa mara baada ya kukojoa.
2. Kujaza upepo mashavuni ili usionekane ulipojificha.
3. Kushika mapu... ili msifungwe (mpirani)
4. Kuchomeka jani kwenye nywele ili mwalimu asahau kuwaadhibu.
5. Kuchora msitar kwa majivu katikati ya tumbo kuanzia juu kwenda chini, ili usivimbwiwe (kama ulikula kupita kiasi)
Ongeza nyingine.
Hii ya kereng'ende (dragon fly) imenikumbusha mbaaali sana. Enzi hizo tiliamini kuwa jivu la mdudu huyo mjanja sana kwa kuruka mielekeo tofauti, ukilipaka kwenye fimbo na ukamchapa nayo kabint ukapendako, basi imemaliza mchezo.Kukamata Kereng'ende (Helicopter)Kisha Kuua then Kumsaga Halafu Unatakiwa Usubiri Mtoto Wa Kike Mzuriii Akojoe Kisha unamwagia Huo Unga Eti Mtoto wa Kike Atakupenda!Shida Ilikuwa Kupata Sehemu Aliyokojoa Mtoto wa Kike[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji24][emoji24][emoji24]utoto ni ufala Sana MzeeHii ya kereng'ende (dragon fly) imenikumbusha mbaaali sana. Enzi hizo tiliamini kuwa jivu la mdudu huyo mjanja sana kwa kuruka mielekeo tofauti, ukilipaka kwenye fimbo na ukamchapa nayo kabint ukapendako, basi imemaliza mchezo.
Basi bwana... Baada ya jitihada zangu za siku kadhaa nilifanikiwa kumnasa kereng'ende wangu mwenye mbawa nyekundu(iliaminika kuwa aina hii ndo the best)
Nikatafuta kifimbo changu kizuri cha mpera nikakipaka jivu la kereng'ende. Nikakificha chini ya mto wa kitanda changu ambacho kilikuwa hakijatandikwa, nikivuta muda magharibi ifike nikatimize azma yangu kwa kibint fulani kizuuri, nilichokuwa nakitamani sana(kwa sasa ni marehemu.
Kumbe huku nyuma dada yangu aliamua kukitandika kile kitanda, na alipoona kile kifimbo hakujua ni cha nini akakichanganya kwenye kuni kikala moto. Basi nilipo rudi kuchukua amali yangu bwana,sikuipata.acha nizue timbwili... Fimbo yangu... Fimbo yangu.
But kilichofuatia hapo ndo kilikuwa very interesting
Nikajua nguvu ya imani ipoje. Ukipenda kujua whats next... Kilichofuatia basi niulize.
Malzia mkuuHii ya kereng'ende (dragon fly) imenikumbusha mbaaali sana. Enzi hizo tiliamini kuwa jivu la mdudu huyo mjanja sana kwa kuruka mielekeo tofauti, ukilipaka kwenye fimbo na ukamchapa nayo kabint ukapendako, basi imemaliza mchezo.
Basi bwana... Baada ya jitihada zangu za siku kadhaa nilifanikiwa kumnasa kereng'ende wangu mwenye mbawa nyekundu(iliaminika kuwa aina hii ndo the best)
Nikatafuta kifimbo changu kizuri cha mpera nikakipaka jivu la kereng'ende. Nikakificha chini ya mto wa kitanda changu ambacho kilikuwa hakijatandikwa, nikivuta muda magharibi ifike nikatimize azma yangu kwa kibint fulani kizuuri, nilichokuwa nakitamani sana(kwa sasa ni marehemu.
Kumbe huku nyuma dada yangu aliamua kukitandika kile kitanda, na alipoona kile kifimbo hakujua ni cha nini akakichanganya kwenye kuni kikala moto. Basi nilipo rudi kuchukua amali yangu bwana,sikuipata.acha nizue timbwili... Fimbo yangu... Fimbo yangu.
But kilichofuatia hapo ndo kilikuwa very interesting
Nikajua nguvu ya imani ipoje. Ukipenda kujua whats next... Kilichofuatia basi niulize.