Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,834
1. Kutema mate ulipokojoa mara baada ya kukojoa.
2. Kujaza upepo mashavuni ili usionekane ulipojificha.
3. Kushika mapu... ili msifungwe (mpirani)
4. Kuchomeka jani kwenye nywele ili mwalimu asahau kuwaadhibu.
5. Kuchora msitar kwa majivu katikati ya tumbo kuanzia juu kwenda chini, ili usivimbwiwe (kama ulikula kupita kiasi)
Ongeza nyingine.
2. Kujaza upepo mashavuni ili usionekane ulipojificha.
3. Kushika mapu... ili msifungwe (mpirani)
4. Kuchomeka jani kwenye nywele ili mwalimu asahau kuwaadhibu.
5. Kuchora msitar kwa majivu katikati ya tumbo kuanzia juu kwenda chini, ili usivimbwiwe (kama ulikula kupita kiasi)
Ongeza nyingine.