Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Alinikutanisha na watu wengi Sana anaofahamiana nao.Yani swali langu nilidhani uliposema alisema atakusaidia utimize ndoto zako basi atakuwa anajiweza kifedha, ila sasa it seems naye kawaida kama hadi ilibidi wewe ndo ikapange nyumba nzima basi hana uwezo huo.
Sasa ilikuaje ukaamini atakusaidia timiza ndoto zako au msaada wa kimawazo?
Mimi single mother simli kavu maana najua naweza tegeshewa siku zote natumia kinga kwa single mother huku kwengine naweza uza mechi ata mara mojaHao ni wakula mbususu tuu. Usijidanganye kuwa mwanaume maenzio alikuwa mjinga kumkimbia
Ah wee mbususu unakulaje na ndom bwana....akishika mimba sii ujinga wake unamuacha tuu....kwani ustawi wa jamii watakulipisha bei gani?Mimi single mother simli kavu maana najua naweza tegeshewa siku zote natumia kinga kwa single mother huku kwengine naweza uza mechi ata mara moja
Nisamehe Sana brother.Kwahiyo wewe ulidhani atakusaidia vipi kutimiza ndoto zako? Ikiwa yeye mwenyewe hawezi kujisaidia?
Haya ndio madhara ya kutohudhuria vikao vyetu
Jeuri.Sjida yake hasa ni nini? Mjeuri haoleki au ana shida gani?
Hiyo ni gear ya wanawake, hata mimi wakati nimemaliza chuo niliwahi kutana na maza flani akaniaminisha atanisaidia kutimiza ndoto zangu, akawa ananikutanisha na watu wakubwa wakubwa na wengine mashuhuri.Alinikutanisha na watu wengi Sana anaofahamiana nao.
Nilimwandalia kila kitu na budget ilikuwa 11m alinipa ushahidi kuwa ako na 5m bank na kwakuwa ni muajiriwa sekta Fulani nzuri alinambia kuwa atakopa Ili kufanikisha hilo maana amevutiwa na Mawazo yangu .
Days goes on tulivyo fanya ngono tuu makida makida zikawa nyingi.
Huwa tunatumia matatizo yetu kuhalalisha kwamba kikuchokukuta wewe lazima wengine kiwakute haiko hivyo.Toka hapo awali nilikuwa nina ndoto na hamasa ya kufikia mafanikio kwa kutatua matatizo ya Jamii inayonizunguka,
Nilianza kupenda habari za anga za juu na Sayari KWA ujumla , nilijisomea kila kitu kuhusu anga kilichokuja mbele yangu .
Katika harakati za kutafuta mwekezaji nikaangukia KWA huyu dada/mama SINGO MAMA, ambayo aliamua kutumia vulnerabilities zangu kunihadaa na kunipamba panna hatimaye nikaingia kingi.
Inaanza baadae ya kuacha KAZI kampuni x nikahamia mkoa Y kuangalia fursa zingine za kijasiriamali,
MNilikuwa na plans nyingi za kuanzisha startup company Zenye/yenye tija na faida kwangu na Jamii KWA ujumla, Mara nyingi nilipenda kushare Mawazo yangu na watu/Jamii lengo ni kutafuta mbia, mwekezaji .
Upendo wangu KWA watoto ukaniponza , picha linaanza Nilipofikia kuna movie library so Mara nyingi jioni huwa ninafika kubadilishana movies na kijana wa hapo, basi huwa anafika bidada mmoja na mwanae umei wa miaka miwili hivi, udadisi wa huyu mtoto ambaye sasa hivi ni mwanangu KWA lazima ulinivutia na kuanza kuzungumza nae .
Baadae ya kupita dakika kumi hivi mama yake alimaliza kuhudumiwa wakiwa wanaondoka nilimwita dada samahani Naomba tuzungumze nilimsifia mwanae kisha nikamwambia kama hajaanza shule mpeleke udadisi alio nao autumie kwenye mambo ya msingi.
Akacheka pale Mtoto akanambia kwaheri ankoli. Ikawa ni ankoli ankoli, mara nimnunulie vitabu vya namba na Wanyama huku nikisisistiza mama yake amkazanie kujifunza.
Siku zikasonga hatimaye nikaalikwa KWA bimkubwa huyu , kweli nilifika na niliulizwa unajishughulisha na nini nikatoa maelezo pia nikazungumza ndoto yangu Kubwa niliyo nayo. Na kushare feasible ideas zangu ,plans na models za kibiashara Nilizozifanyia utafiti wa kina , alifurahi na kuniambia You are a genius ,hakuna kijana wa umri wako anayewaza mambo kama hayo ,pale aliniuliza kuhusu Maisha yangu ya utotoni na mambo kibao ..mwisho akatoa jibu nitakusaidia .
Nitakutimizia lengo lako na wewe inabidi utimize la kwangu kwa furaha niliyokuwa nayo sikutaka kuuliza lengo lake ni nini.
Nikamwambia niandae legal structures basi na yeye Tufungue kampuni na stuffs kama hizo akagoma akasema haina shida Huku akinishika shavuni.
Siku zinasonga nkatengenezewa kipindi nikajikuta tunafanya ngono Mara ya kwanza ya pili ya tatu hii hapa , akadai ameshika mimba , mshahara wa dhambi mauti , huruma yangu inaniponza nikamwambia usitoe si unajua risks zake , vipindi vikaanza kutengeneza mara oh silali kuna watu wananiloga usiku , KWA sababu ya ujauzito wako huu , mara alete vitimbi kazini kwao marafiki zake wanipigie simu waseme mimi nikiwepo anapata ahueni, Ilibidi niwe nashinda nae mara KWA mara , nkiacha KAZI zangu Ili kumliwaza . Kumbe ni Kipindi kilitengenezwa huruma zangu zikaniponza.
Kufanya ndefu fupi kupitia ujauzito huo nililipishwa kishika uchumba na fines KWA lazima .
Last year mungu kanibariki Mtoto wa kiume ambaye siku hiyo nilimwaga machozi ambayo walijua ni furaha pekee kumbe ni huzuni mixer furaha kidogo ,majuto na mengine mengi .
Im chained ila soon nakwenda kuwa huru.
Hivi sasa mimi ni Balozi wa kuzuia vijana wasioe wala kuwa na mahusiano na masingo mamas wengi wapo tayari kutumia mbinu yeyote ile wakunase uwe baba wa mwanae KWA kupenda au KWA kutokupenda.
Muwe na siku njema.
Hiyo ni gear ya wanawake, hata mimi wakati nimemaliza chuo niliwahi kutana na maza flani akaniaminisha atanisaidia kutimiza ndoto zangu, akawa ananikutanisha na watu wakubwa wakubwa na wengine mashuhuri.
Kumbe ananitaka mimi I was so naive hata kuona kilichokuwa kinaendelea.
Bahati huo ulofa wangu ndio uliniokoa maana watu wote walionizunguka walihisi natembea nae, mimi hata picha nilikuwa siiioni naona tu ana roho nzuri mpaka pale alipokuja kunitamkia ila ilikuwa baadae sana nshapita njia zangu.
Kama anafaa kuwa mke oa tu. Kwani baba wa mtoto wake wa kwanza yupo
Yes yupo brother,Hiyo ni gear ya wanawake, hata mimi wakati nimemaliza chuo niliwahi kutana na maza flani akaniaminisha atanisaidia kutimiza ndoto zangu, akawa ananikutanisha na watu wakubwa wakubwa na wengine mashuhuri.
Kumbe ananitaka mimi I was so naive hata kuona kilichokuwa kinaendelea.
Bahati huo ulofa wangu ndio uliniokoa maana watu wote walionizunguka walihisi natembea nae, mimi hata picha nilikuwa siiioni naona tu ana roho nzuri mpaka pale alipokuja kunitamkia ila ilikuwa baadae sana nshapita njia zangu.
Kama anafaa kuwa mke oa tu. Kwani baba wa mtoto wake wa kwanza yupo?
Pamoja kaka .Huwa tunatumia matatizo yetu kuhalalisha kwamba kikuchokukuta wewe lazima wengine kiwakute haiko hivyo.
Huyo ni wa kwako tu wengine wamepata single mama na wanafurahia maisha
Acha kuwaza kujiua, acha kabisa kama unavyosema wewe bado mdogo chukuw hatua ila usimtelekeze mwanaoYes yupo brother,
Sina plan ya kuoa kaka .
Maana kishika uchumba nililazimishwa kutoa .
Na age yangu bado ndogo Sana nipo na mengi ya kutimiza.
Back then nilijua nikimpangia nyumba na kuishi nae kidogo ataniacha niende kumbe maamuzi ni kuacha mwenyewe. Ni miaka miwili sasa .
Akili imefunguka ,nimechoka kuwa na stress , anxiety na suicidal thoughts .
Nimepitia kipindi kigumu mno .
Sasa inatosha
Pamoja brother.Acha kuwaza kujiua, acha kabisa kama unavyosema wewe bado mdogo chukuw hatua ila usimtelekeze mwanao
Toka hapo awali nilikuwa nina ndoto na hamasa ya kufikia mafanikio kwa kutatua matatizo ya Jamii inayonizunguka,
Nilianza kupenda habari za anga za juu na Sayari KWA ujumla , nilijisomea kila kitu kuhusu anga kilichokuja mbele yangu .
Katika harakati za kutafuta mwekezaji nikaangukia KWA huyu dada/mama SINGO MAMA, ambayo aliamua kutumia vulnerabilities zangu kunihadaa na kunipamba panna hatimaye nikaingia kingi.
Inaanza baadae ya kuacha KAZI kampuni x nikahamia mkoa Y kuangalia fursa zingine za kijasiriamali,
MNilikuwa na plans nyingi za kuanzisha startup company Zenye/yenye tija na faida kwangu na Jamii KWA ujumla, Mara nyingi nilipenda kushare Mawazo yangu na watu/Jamii lengo ni kutafuta mbia, mwekezaji .
Upendo wangu KWA watoto ukaniponza , picha linaanza Nilipofikia kuna movie library so Mara nyingi jioni huwa ninafika kubadilishana movies na kijana wa hapo, basi huwa anafika bidada mmoja na mwanae umei wa miaka miwili hivi, udadisi wa huyu mtoto ambaye sasa hivi ni mwanangu KWA lazima ulinivutia na kuanza kuzungumza nae .
Baadae ya kupita dakika kumi hivi mama yake alimaliza kuhudumiwa wakiwa wanaondoka nilimwita dada samahani Naomba tuzungumze nilimsifia mwanae kisha nikamwambia kama hajaanza shule mpeleke udadisi alio nao autumie kwenye mambo ya msingi.
Akacheka pale Mtoto akanambia kwaheri ankoli. Ikawa ni ankoli ankoli, mara nimnunulie vitabu vya namba na Wanyama huku nikisisistiza mama yake amkazanie kujifunza.
Siku zikasonga hatimaye nikaalikwa KWA bimkubwa huyu , kweli nilifika na niliulizwa unajishughulisha na nini nikatoa maelezo pia nikazungumza ndoto yangu Kubwa niliyo nayo. Na kushare feasible ideas zangu ,plans na models za kibiashara Nilizozifanyia utafiti wa kina , alifurahi na kuniambia You are a genius ,hakuna kijana wa umri wako anayewaza mambo kama hayo ,pale aliniuliza kuhusu Maisha yangu ya utotoni na mambo kibao ..mwisho akatoa jibu nitakusaidia .
Nitakutimizia lengo lako na wewe inabidi utimize la kwangu kwa furaha niliyokuwa nayo sikutaka kuuliza lengo lake ni nini.
Nikamwambia niandae legal structures basi na yeye Tufungue kampuni na stuffs kama hizo akagoma akasema haina shida Huku akinishika shavuni.
Siku zinasonga nkatengenezewa kipindi nikajikuta tunafanya ngono Mara ya kwanza ya pili ya tatu hii hapa , akadai ameshika mimba , mshahara wa dhambi mauti , huruma yangu inaniponza nikamwambia usitoe si unajua risks zake , vipindi vikaanza kutengeneza mara oh silali kuna watu wananiloga usiku , KWA sababu ya ujauzito wako huu , mara alete vitimbi kazini kwao marafiki zake wanipigie simu waseme mimi nikiwepo anapata ahueni, Ilibidi niwe nashinda nae mara KWA mara , nkiacha KAZI zangu Ili kumliwaza . Kumbe ni Kipindi kilitengenezwa huruma zangu zikaniponza.
Kufanya ndefu fupi kupitia ujauzito huo nililipishwa kishika uchumba na fines KWA lazima .
Last year mungu kanibariki Mtoto wa kiume ambaye siku hiyo nilimwaga machozi ambayo walijua ni furaha pekee kumbe ni huzuni mixer furaha kidogo ,majuto na mengine mengi .
Im chained ila soon nakwenda kuwa huru.
Hivi sasa mimi ni Balozi wa kuzuia vijana wasioe wala kuwa na mahusiano na masingo mamas wengi wapo tayari kutumia mbinu yeyote ile wakunase uwe baba wa mwanae KWA kupenda au KWA kutokupenda.
Muwe na siku njema.
🫂 Sawa kiongozi.Kwaiyo umenasa mzee wangu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jikaze ndo ukubwa
Ukisha ona mwanamke haeleweki na hajielewi, usilale nae bila vifanyioToka hapo awali nilikuwa nina ndoto na hamasa ya kufikia mafanikio kwa kutatua matatizo ya Jamii inayonizunguka,
Nilianza kupenda habari za anga za juu na Sayari KWA ujumla , nilijisomea kila kitu kuhusu anga kilichokuja mbele yangu .
Katika harakati za kutafuta mwekezaji nikaangukia KWA huyu dada/mama SINGO MAMA, ambayo aliamua kutumia vulnerabilities zangu kunihadaa na kunipamba panna hatimaye nikaingia kingi.
Inaanza baadae ya kuacha KAZI kampuni x nikahamia mkoa Y kuangalia fursa zingine za kijasiriamali,
MNilikuwa na plans nyingi za kuanzisha startup company Zenye/yenye tija na faida kwangu na Jamii KWA ujumla, Mara nyingi nilipenda kushare Mawazo yangu na watu/Jamii lengo ni kutafuta mbia, mwekezaji .
Upendo wangu KWA watoto ukaniponza , picha linaanza Nilipofikia kuna movie library so Mara nyingi jioni huwa ninafika kubadilishana movies na kijana wa hapo, basi huwa anafika bidada mmoja na mwanae umei wa miaka miwili hivi, udadisi wa huyu mtoto ambaye sasa hivi ni mwanangu KWA lazima ulinivutia na kuanza kuzungumza nae .
Baadae ya kupita dakika kumi hivi mama yake alimaliza kuhudumiwa wakiwa wanaondoka nilimwita dada samahani Naomba tuzungumze nilimsifia mwanae kisha nikamwambia kama hajaanza shule mpeleke udadisi alio nao autumie kwenye mambo ya msingi.
Akacheka pale Mtoto akanambia kwaheri ankoli. Ikawa ni ankoli ankoli, mara nimnunulie vitabu vya namba na Wanyama huku nikisisistiza mama yake amkazanie kujifunza.
Siku zikasonga hatimaye nikaalikwa KWA bimkubwa huyu , kweli nilifika na niliulizwa unajishughulisha na nini nikatoa maelezo pia nikazungumza ndoto yangu Kubwa niliyo nayo. Na kushare feasible ideas zangu ,plans na models za kibiashara Nilizozifanyia utafiti wa kina , alifurahi na kuniambia You are a genius ,hakuna kijana wa umri wako anayewaza mambo kama hayo ,pale aliniuliza kuhusu Maisha yangu ya utotoni na mambo kibao ..mwisho akatoa jibu nitakusaidia .
Nitakutimizia lengo lako na wewe inabidi utimize la kwangu kwa furaha niliyokuwa nayo sikutaka kuuliza lengo lake ni nini.
Nikamwambia niandae legal structures basi na yeye Tufungue kampuni na stuffs kama hizo akagoma akasema haina shida Huku akinishika shavuni.
Siku zinasonga nkatengenezewa kipindi nikajikuta tunafanya ngono Mara ya kwanza ya pili ya tatu hii hapa , akadai ameshika mimba , mshahara wa dhambi mauti , huruma yangu inaniponza nikamwambia usitoe si unajua risks zake , vipindi vikaanza kutengeneza mara oh silali kuna watu wananiloga usiku , KWA sababu ya ujauzito wako huu , mara alete vitimbi kazini kwao marafiki zake wanipigie simu waseme mimi nikiwepo anapata ahueni, Ilibidi niwe nashinda nae mara KWA mara , nkiacha KAZI zangu Ili kumliwaza . Kumbe ni Kipindi kilitengenezwa huruma zangu zikaniponza.
Kufanya ndefu fupi kupitia ujauzito huo nililipishwa kishika uchumba na fines KWA lazima .
Last year mungu kanibariki Mtoto wa kiume ambaye siku hiyo nilimwaga machozi ambayo walijua ni furaha pekee kumbe ni huzuni mixer furaha kidogo ,majuto na mengine mengi .
Im chained ila soon nakwenda kuwa huru.
Hivi sasa mimi ni Balozi wa kuzuia vijana wasioe wala kuwa na mahusiano na masingo mamas wengi wapo tayari kutumia mbinu yeyote ile wakunase uwe baba wa mwanae KWA kupenda au KWA kutokupenda.
Muwe na siku njema.
Tayari