Imeandikwa ishi nao kwa akili, sikusikia yamenikuta

Imeandikwa ishi nao kwa akili, sikusikia yamenikuta

Status
Not open for further replies.
Toka hapo awali nilikuwa nina ndoto na hamasa ya kufikia mafanikio kwa kutatua matatizo ya Jamii inayonizunguka. Nilianza kupenda habari za anga za juu na Sayari KWA ujumla , nilijisomea kila kitu kuhusu anga kilichokuja mbele yangu .

Katika harakati za kutafuta mwekezaji nikaangukia KWA huyu dada/mama SINGO MAMA, ambayo aliamua kutumia vulnerabilities zangu kunihadaa na kunipamba panna hatimaye nikaingia kingi.

Inaanza baadae ya kuacha KAZI kampuni x nikahamia mkoa Y kuangalia fursa zingine za kijasiriamali. MNilikuwa na plans nyingi za kuanzisha startup company Zenye/yenye tija na faida kwangu na Jamii KWA ujumla, Mara nyingi nilipenda kushare Mawazo yangu na watu/Jamii lengo ni kutafuta mbia, mwekezaji .

Upendo wangu KWA watoto ukaniponza , picha linaanza Nilipofikia kuna movie library so Mara nyingi jioni huwa ninafika kubadilishana movies na kijana wa hapo, basi huwa anafika bidada mmoja na mwanae umei wa miaka miwili hivi, udadisi wa huyu mtoto ambaye sasa hivi ni mwanangu KWA lazima ulinivutia na kuanza kuzungumza naye.

Baadae ya kupita dakika kumi hivi mama yake alimaliza kuhudumiwa wakiwa wanaondoka nilimwita dada samahani Naomba tuzungumze nilimsifia mwanae kisha nikamwambia kama hajaanza shule mpeleke udadisi alio nao autumie kwenye mambo ya msingi.

Akacheka pale Mtoto akanambia kwaheri ankoli. Ikawa ni ankoli ankoli, mara nimnunulie vitabu vya namba na Wanyama huku nikisisistiza mama yake amkazanie kujifunza.

Siku zikasonga hatimaye nikaalikwa KWA bimkubwa huyu , kweli nilifika na niliulizwa unajishughulisha na nini nikatoa maelezo pia nikazungumza ndoto yangu Kubwa niliyo nayo. Na kushare feasible ideas zangu ,plans na models za kibiashara Nilizozifanyia utafiti wa kina, alifurahi na kuniambia You are a genius ,hakuna kijana wa umri wako anayewaza mambo kama hayo ,pale aliniuliza kuhusu Maisha yangu ya utotoni na mambo kibao ..mwisho akatoa jibu nitakusaidia .

Nitakutimizia lengo lako na wewe inabidi utimize la kwangu kwa furaha niliyokuwa nayo sikutaka kuuliza lengo lake ni nini. Nikamwambia niandae legal structures basi na yeye Tufungue kampuni na stuffs kama hizo akagoma akasema haina shida Huku akinishika shavuni.

Siku zinasonga nkatengenezewa kipindi nikajikuta tunafanya ngono Mara ya kwanza ya pili ya tatu hii hapa , akadai ameshika mimba , mshahara wa dhambi mauti , huruma yangu inaniponza nikamwambia usitoe si unajua risks zake , vipindi vikaanza kutengeneza mara oh silali kuna watu wananiloga usiku, KWA sababu ya ujauzito wako huu , mara alete vitimbi kazini kwao marafiki zake wanipigie simu waseme mimi nikiwepo anapata ahueni, Ilibidi niwe nashinda nae mara KWA mara , nkiacha KAZI zangu Ili kumliwaza . Kumbe ni Kipindi kilitengenezwa huruma zangu zikaniponza.

Kufanya ndefu fupi kupitia ujauzito huo nililipishwa kishika uchumba na fines KWA lazima .

Last year mungu kanibariki Mtoto wa kiume ambaye siku hiyo nilimwaga machozi ambayo walijua ni furaha pekee kumbe ni huzuni mixer furaha kidogo ,majuto na mengine mengi .

Im chained ila soon nakwenda kuwa huru.

Hivi sasa mimi ni Balozi wa kuzuia vijana wasioe wala kuwa na mahusiano na masingo mamas wengi wapo tayari kutumia mbinu yeyote ile wakunase uwe baba wa mwanae KWA kupenda au KWA kutokupenda.

Muwe na siku njema.
Glenn

#YNWA
 
Bro huruma yangu iliniponza baadae ya kupata ujauzito ambao ni matokeo ya ngono zembe ,alianza vitimbi mara ajiumize mara ajibamize ukutani .. all in all ni kuamsha huruma zangu .

Na kweli aliziamsha nkajikuta mda wote nawaza namna ya kumsaidia. Nlikuwa na Biashara ikabidi niiuze na hela nipange nyumba nzima Ili niwe karibu nae as long as ako na ujauzito wangu. Presha za mimba za kutengeneza , vikao vya uongo alivyounda yeye mama yake na marafiki zake Ili mimi niende kwao kujitambulisha. Alipokaribia kujifungua alitaka kujiua ety mimi simjali na kama namjali niende kwao la sivyo atajiua na vitisho vingi.

Aliumba taarifa nyingi za uongo za kitabibu , na yote haya nimekuja kungundua juzi baadae ya kusikia akizungumza na Rafiki yake kwamba sasa hivi nimeshtuka na nimegundua mchezo wao.
Peleka juu pale uongezeee

#YNWA
 
Sijaelewa ila mkuu haukutongozwa bali ulijipeleka mwenyewe tena ulimtumia mtoto kujiweka karibu na huyo mwanamke
 
Alinikutanisha na watu wengi Sana anaofahamiana nao.
Nilimwandalia kila kitu na budget ilikuwa 11m alinipa ushahidi kuwa ako na 5m bank na kwakuwa ni muajiriwa sekta Fulani nzuri alinambia kuwa atakopa Ili kufanikisha hilo maana amevutiwa na Mawazo yangu .
Days goes on tulivyo fanya ngono tuu makida makida zikawa nyingi.
Kumbe ulifata mteremko,,, halafu shtuma unazitua kwa singo mamas,,, we nae mshenzi mshenzi flani tu
 
Toka hapo awali nilikuwa nina ndoto na hamasa ya kufikia mafanikio kwa kutatua matatizo ya Jamii inayonizunguka. Nilianza kupenda habari za anga za juu na Sayari KWA ujumla , nilijisomea kila kitu kuhusu anga kilichokuja mbele yangu .

Katika harakati za kutafuta mwekezaji nikaangukia KWA huyu dada/mama SINGO MAMA, ambayo aliamua kutumia vulnerabilities zangu kunihadaa na kunipamba panna hatimaye nikaingia kingi.

Inaanza baadae ya kuacha KAZI kampuni x nikahamia mkoa Y kuangalia fursa zingine za kijasiriamali. MNilikuwa na plans nyingi za kuanzisha startup company Zenye/yenye tija na faida kwangu na Jamii KWA ujumla, Mara nyingi nilipenda kushare Mawazo yangu na watu/Jamii lengo ni kutafuta mbia, mwekezaji .

Upendo wangu KWA watoto ukaniponza , picha linaanza Nilipofikia kuna movie library so Mara nyingi jioni huwa ninafika kubadilishana movies na kijana wa hapo, basi huwa anafika bidada mmoja na mwanae umei wa miaka miwili hivi, udadisi wa huyu mtoto ambaye sasa hivi ni mwanangu KWA lazima ulinivutia na kuanza kuzungumza naye.

Baadae ya kupita dakika kumi hivi mama yake alimaliza kuhudumiwa wakiwa wanaondoka nilimwita dada samahani Naomba tuzungumze nilimsifia mwanae kisha nikamwambia kama hajaanza shule mpeleke udadisi alio nao autumie kwenye mambo ya msingi.

Akacheka pale Mtoto akanambia kwaheri ankoli. Ikawa ni ankoli ankoli, mara nimnunulie vitabu vya namba na Wanyama huku nikisisistiza mama yake amkazanie kujifunza.

Siku zikasonga hatimaye nikaalikwa KWA bimkubwa huyu , kweli nilifika na niliulizwa unajishughulisha na nini nikatoa maelezo pia nikazungumza ndoto yangu Kubwa niliyo nayo. Na kushare feasible ideas zangu ,plans na models za kibiashara Nilizozifanyia utafiti wa kina, alifurahi na kuniambia You are a genius ,hakuna kijana wa umri wako anayewaza mambo kama hayo ,pale aliniuliza kuhusu Maisha yangu ya utotoni na mambo kibao ..mwisho akatoa jibu nitakusaidia .

Nitakutimizia lengo lako na wewe inabidi utimize la kwangu kwa furaha niliyokuwa nayo sikutaka kuuliza lengo lake ni nini. Nikamwambia niandae legal structures basi na yeye Tufungue kampuni na stuffs kama hizo akagoma akasema haina shida Huku akinishika shavuni.

Siku zinasonga nkatengenezewa kipindi nikajikuta tunafanya ngono Mara ya kwanza ya pili ya tatu hii hapa , akadai ameshika mimba , mshahara wa dhambi mauti , huruma yangu inaniponza nikamwambia usitoe si unajua risks zake , vipindi vikaanza kutengeneza mara oh silali kuna watu wananiloga usiku, KWA sababu ya ujauzito wako huu , mara alete vitimbi kazini kwao marafiki zake wanipigie simu waseme mimi nikiwepo anapata ahueni, Ilibidi niwe nashinda nae mara KWA mara , nkiacha KAZI zangu Ili kumliwaza . Kumbe ni Kipindi kilitengenezwa huruma zangu zikaniponza.

Kufanya ndefu fupi kupitia ujauzito huo nililipishwa kishika uchumba na fines KWA lazima .

Last year mungu kanibariki Mtoto wa kiume ambaye siku hiyo nilimwaga machozi ambayo walijua ni furaha pekee kumbe ni huzuni mixer furaha kidogo ,majuto na mengine mengi .

Im chained ila soon nakwenda kuwa huru.

Hivi sasa mimi ni Balozi wa kuzuia vijana wasioe wala kuwa na mahusiano na masingo mamas wengi wapo tayari kutumia mbinu yeyote ile wakunase uwe baba wa mwanae KWA kupenda au KWA kutokupenda.

Muwe na siku njema.
Sasa tatizo linakuja pisi Kali nyingi mjini zimefanywa single Mamas.. sema wanajua kupenda hao[emoji23][emoji23][emoji23]

Naweza kusema single Mama's ni moja ya makundi ya wanawake wanaojua wanataka Nini.. baada ya kuvurugwa na tamaa zao akili zikawakaa sawa
 
Kumbe ulifata mteremko,,, halafu shtuma unazitua kwa singo mamas,,, we nae mshenzi mshenzi flani tu
Wewe ndiye unaesema kwamba nilifuata mteremko.
Mteremko en niuze Biashara niliyokuwa namiliki nimpangie nyumba.
Tulikaa chini akakubali Kuinvest hela yake kwangu .. Ilipofika kipengele cha legal structures akasema usihofu hakuna tatizo.

Swala la ngono lilikuja mwezi mmoja baadae .. I was selling my freedom without knowing.

Unaweza kuja pm kuniuliza maswali yote unayotaka kunifanyia background check ujiridhishe kabla unishutumu
 
Sijaelewa ila mkuu haukutongozwa bali ulijipeleka mwenyewe tena ulimtumia mtoto kujiweka karibu na huyo mwanamke
Sikutumia mtoto kujiweka karibu nae , mpaka hivi sasa napenda watoto hata Jamii inayonizunguka inajua hilo .

Yeye ndo alitumia udhaifu wangu Kunihadaa na alifanikiwa.

Kuna muda Jambo linatukia na hushtuki unakuja kuamka baadae .

Umri wangu mdogo , akili ambayo haijakomaa , malezi ambayo nimejilea mwenyewe toka nlikuwa na miaka 9 yamechangia mimi kuwa nilivyo.
 
NDIO MADHARA HAYO YA KUNYWA SODA WALIZO ACHA WENZIO 🤣
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom