Usitumie mihemko tumia akili.Nyerere alikaa madarakani miaka karibia ishirini na tano ni karibu vipindi vitano
Sina upande wala chukiYa marehemu yote yanaisha na kusahaulika leo hii saa kumi na moja jioni.
Ki
Kichwa panzi wewe! Acha ndoto za alinacha.
Wewe ndio dunya.Wewe ndo DUNYA kabisa.....ukiongozwa na hawa madunya wenzio.
Uongozi wa nchi ngazi ya Rais ni miaka mitano.
Ikiwa chama chake kitamuona anafaa kuendelea,kitampa nafasi ya kugombea nafasi ya kugombea nafasi ya awamu ya pili....hivyo kukamilisha miaka 10.
Miaka kumi si guarantee......miaka mitano ndo ipo kikatiba and ndo maana tunafanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano. Hapo vyama ndo huwa na uamuzi wa ama anaendelea aliyekuepo au wanateua wengine.
Rejea Zanziba.....wana awamu 8 mpka sasa....ila kuna Rais aliyekaa mwaka mmoja...kama sikosei mzee Mwinyi au Wakil....wenye kumbukumbu watanisaidia.
So,awamu hii ya mama Samia ni awamu ya Sita. Na akimaliza hiki kipindi kilichobaki,chama chake ndo kitaamua ama agombee tena au aishie hapo.
Ni hayo tu. Na nimekuita na kuwaita wenzako madunya kwakuwa huwa hamjipi muda wa kusoma au kutafuta elimu ya mnachojadili.
Na hii JF kwasasa imejaa wale form four ya 2012.........yaani ni taabu tupu.
Sawa.Wewe ndio dunya.
Hii ni awamu ya tano ila Rais wa sita. Rais Samia aligombea akiwa mgombea mwenza wa Magufuli. Sera na ahadi za Magufuri ndio sera na ahadi za Samia.
Kwa hii miaka minne anamalizia awamu ya tano amba
sorry. trump alishindwa kumaliza muda wake kwa hali yoyote ile? wether ni kifo au magonjwa.Trump ni rais wa awamu ya ngapi marekani? Na Biden ni rais wa awamu ya ngapi?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
and yes baada ya miaka mitano tumemchagua jpm. bahati mbaya hakumaliza muda wake. Mungu kampenda zaid RIP.Haikuwa lazima iishe Katiba inatuambia Rais anachaguliwa kila baada ya miaka mitano
Ilani inaelekeza kutovaa barakoa? Akifuata ilani ndo kabisaaa hatafanana na Jpm. Sioni ni kwa namna gani Samia atakuwa Jpm.Awamu ya sita ni jina tu ila ilani inayotekelezwa ni ile aliyoinadi Magu 2020-2025.
Kitendo cha Samia kutoonekana akiwa na barakoa wala kutilia mkazo juu ya hilo ni ushahidi tosha kuwa ataendeleza mabaya na mazuri ya mtangulizi wake.
Sioni jipya na wala halipo.
prove me wrongDuu
Unataka kutulisha tango pori!
I'm responsible only for what I write not what you understand!Ilani inaelekeza kutovaa barakoa? Akifuata ilani ndo kabisaaa hatafanana na Jpm. Sioni ni kwa namna gani Samia atakuwa Jpm.
Ni either awe mbaya zaidi, au mzuri lakini kuwa Jpm sidhani.
MakuKiutawala hapa Tanzania awamu za uongozi humaanisha muda anaokaa madarakani Rais. JPM awamu yake imekuwa ya miaka kama mitano na ushe hivi. Mwinyi, Mkpa na Kikwete awamu zao zilikuwa ni miaka kumi kumi hivi.
Nyerere awamu yake ilichukua zaidi ya miaka 20. Mama Samia awamu yake inaweza ikawa ya miaka 9unusu hivi kama akifanya vizuri.
Ili Rais wetu mama Samia aweze kufanya vizuri ni muhimu aanze kujitambua mapema kuwa amebeba awamu yake ya sita ni sio kuwa anaendeleza awamu ya 5. Anatakiwa mapema sana ajipambanue kama alivyofanya JPM.
Pamoja na JPM kujaribu kuitofautisha awamu yake na za watangulizi wake alitia dosari utofauti huo kwa kuanza kwa maneno yake kuponda mambo yaliyofanywa na watangulizi wake - ilifikia hadi kuashiria kuwa awamu ya nne ilikuwa ya majizi, akijisahaua kuwa naye kwenye hiyo awamu alikuwemo kama kiongozi.
Kwa sasa Mawaziri wanatoa maelekezo kwa watendaji wao na kuanzia jumamosi kesho tayari mambo yanaendelea kufanyika kana kwamba Samia anafanya yale yaliyopangwa na awamu ya tano. Wanataka kumfanya Mhe. Mama Samia aamini kuwa hii ni awamu ya tano kumbe sio. Wanamfanya asiamua kupanga Timu yake upya.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango aligoma kata kata kuongeza mishahara ya wafanyakazi hata 0.5% tu akidai kuwa Mkubwa wake amempa hayo maelekezo kuwa mwaka 2021/22 hakuna ongezeko. Ukweli hakuna hata punguzo la kodi kwa mishahara kama mwaka uliopita kutokana na maelekezo ya Mkubwa, wakiamini kuwa ushindi wa mwaka 2020 utawabeba tu katika maamuzi yao ya kibabe.
Mheshimiwa Mama Samia Suluhu umeletwa na Mwenyezi Mungu Mwenyewe ili uweze kuweka suluhu - tafadhali subirisha Mpango Bajeti unaoharakishwa ili ukumbuke hata wafanyakazi wako kwa nyongeza hata 05%.
Makundi mengi yameumia sana awamu ya tano, anza kwa kulifariji hili kundi la wafanyakazi kwanza kwa kusimamisha mipango ya Mawaziri hao ambao wapo msibani huko wanatoa tu maelekezo kana kwamba awamu ya tano inaendelea. Tutofautishe awamu hizi kwani tathmini hufanyika kwa awamu na mwenye naye hiyo awamu.
Ajabu sana!
To be honest, inategemea na mtu mwenyewe anavyotafsiri neno awamu. Hakuna official definition ya kisiasa ya neno hilo kwa kiswahili na ukizingatia kuwa neno hili lilianza kutumika sana baada ya kutoholewa wakati ule mzee rukhsa akiwa rais wa zanzibar. Wenye kumbukumbu na kujua historia wanakumbuka sana mzee Mwinyi alipoanza kulitumia sana neno hilo kila alipokuwa akiashiria serikali yake ya kipindi kile huko zanzibar.Acha ushamba na kukariri, hii ni awamu ya sita pimbi we.
Ilani ya CCM ndio inasema miradi mingi iende Chato,kutekana,kuuana,udini,ukanda,ukabila na kuwatelekeza Wafanyakazi?Umejisahaulisha kuwa bado tunatekeleza ilani ya ccm 2020 to 2025? Acha ukichwa panzi wewe! Yale yote ya kwenye ilani Raisi mama Samia atayasimamia!
Umemjibu vizuri sana hii ni awamu ya sitaWewe ndo DUNYA kabisa.....ukiongozwa na hawa madunya wenzio.
Uongozi wa nchi ngazi ya Rais ni miaka mitano.
Ikiwa chama chake kitamuona anafaa kuendelea,kitampa nafasi ya kugombea nafasi ya kugombea nafasi ya awamu ya pili....hivyo kukamilisha miaka 10.
Miaka kumi si guarantee......miaka mitano ndo ipo kikatiba and ndo maana tunafanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano. Hapo vyama ndo huwa na uamuzi wa ama anaendelea aliyekuepo au wanateua wengine.
Rejea Zanziba.....wana awamu 8 mpka sasa....ila kuna Rais aliyekaa mwaka mmoja...kama sikosei mzee Mwinyi au Wakil....wenye kumbukumbu watanisaidia.
So,awamu hii ya mama Samia ni awamu ya Sita. Na akimaliza hiki kipindi kilichobaki,chama chake ndo kitaamua ama agombee tena au aishie hapo.
Ni hayo tu. Na nimekuita na kuwaita wenzako madunya kwakuwa huwa hamjipi muda wa kusoma au kutafuta elimu ya mnachojadili.
Na hii JF kwasasa imejaa wale form four ya 2012.........yaani ni taabu tupu.
Kama kueleweka si tatizo lako andika kwenye diary yako ujisomee sio kwenye public forums.I'm responsible only for what I write not what you understand!
Kiutawala hapa Tanzania awamu za uongozi humaanisha muda anaokaa madarakani Rais. JPM awamu yake imekuwa ya miaka kama mitano na ushe hivi. Mwinyi, Mkpa na Kikwete awamu zao zilikuwa ni miaka kumi kumi hivi.
Nyerere awamu yake ilichukua zaidi ya miaka 20. Mama Samia awamu yake inaweza ikawa ya miaka 9unusu hivi kama akifanya vizuri.
Ili Rais wetu mama Samia aweze kufanya vizuri ni muhimu aanze kujitambua mapema kuwa amebeba awamu yake ya sita ni sio kuwa anaendeleza awamu ya 5. Anatakiwa mapema sana ajipambanue kama alivyofanya JPM.
Pamoja na JPM kujaribu kuitofautisha awamu yake na za watangulizi wake alitia dosari utofauti huo kwa kuanza kwa maneno yake kuponda mambo yaliyofanywa na watangulizi wake - ilifikia hadi kuashiria kuwa awamu ya nne ilikuwa ya majizi, akijisahaua kuwa naye kwenye hiyo awamu alikuwemo kama kiongozi.
Kwa sasa Mawaziri wanatoa maelekezo kwa watendaji wao na kuanzia jumamosi kesho tayari mambo yanaendelea kufanyika kana kwamba Samia anafanya yale yaliyopangwa na awamu ya tano. Wanataka kumfanya Mhe. Mama Samia aamini kuwa hii ni awamu ya tano kumbe sio. Wanamfanya asiamua kupanga Timu yake upya.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango aligoma kata kata kuongeza mishahara ya wafanyakazi hata 0.5% tu akidai kuwa Mkubwa wake amempa hayo maelekezo kuwa mwaka 2021/22 hakuna ongezeko. Ukweli hakuna hata punguzo la kodi kwa mishahara kama mwaka uliopita kutokana na maelekezo ya Mkubwa, wakiamini kuwa ushindi wa mwaka 2020 utawabeba tu katika maamuzi yao ya kibabe.
Mheshimiwa Mama Samia Suluhu umeletwa na Mwenyezi Mungu Mwenyewe ili uweze kuweka suluhu - tafadhali subirisha Mpango Bajeti unaoharakishwa ili ukumbuke hata wafanyakazi wako kwa nyongeza hata 05%.
Makundi mengi yameumia sana awamu ya tano, anza kwa kulifariji hili kundi la wafanyakazi kwanza kwa kusimamisha mipango ya Mawaziri hao ambao wapo msibani huko wanatoa tu maelekezo kana kwamba awamu ya tano inaendelea. Tutofautishe awamu hizi kwani tathmini hufanyika kwa awamu na mwenye naye hiyo awamu.
Ajabu sana!
unafanya kazi dukani kwa Patel au mpuuzi wewe hivi unajua vigezo vya taifa lolote kupandisha mishahara ni nini?? kwa ufupi tuu kwa maana naona elimu yako ni ndogo sana na nisingesitahili kukujibu,, Kigezo cha upandishwaji wa mishahara ni :Inflation Rate: haya nenda kasome na usinywee mkopo,, 2015 inflation rate ilikuwa juu sana karibu 11% na leo iko karibia asilimia 3 tatizo mmesoma kupasi mitihani siyo kuelewaKiutawala hapa Tanzania awamu za uongozi humaanisha muda anaokaa madarakani Rais. JPM awamu yake imekuwa ya miaka kama mitano na ushe hivi. Mwinyi, Mkpa na Kikwete awamu zao zilikuwa ni miaka kumi kumi hivi.
Nyerere awamu yake ilichukua zaidi ya miaka 20. Mama Samia awamu yake inaweza ikawa ya miaka 9unusu hivi kama akifanya vizuri.
Ili Rais wetu mama Samia aweze kufanya vizuri ni muhimu aanze kujitambua mapema kuwa amebeba awamu yake ya sita ni sio kuwa anaendeleza awamu ya 5. Anatakiwa mapema sana ajipambanue kama alivyofanya JPM.
Pamoja na JPM kujaribu kuitofautisha awamu yake na za watangulizi wake alitia dosari utofauti huo kwa kuanza kwa maneno yake kuponda mambo yaliyofanywa na watangulizi wake - ilifikia hadi kuashiria kuwa awamu ya nne ilikuwa ya majizi, akijisahaua kuwa naye kwenye hiyo awamu alikuwemo kama kiongozi.
Kwa sasa Mawaziri wanatoa maelekezo kwa watendaji wao na kuanzia jumamosi kesho tayari mambo yanaendelea kufanyika kana kwamba Samia anafanya yale yaliyopangwa na awamu ya tano. Wanataka kumfanya Mhe. Mama Samia aamini kuwa hii ni awamu ya tano kumbe sio. Wanamfanya asiamua kupanga Timu yake upya.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango aligoma kata kata kuongeza mishahara ya wafanyakazi hata 0.5% tu akidai kuwa Mkubwa wake amempa hayo maelekezo kuwa mwaka 2021/22 hakuna ongezeko. Ukweli hakuna hata punguzo la kodi kwa mishahara kama mwaka uliopita kutokana na maelekezo ya Mkubwa, wakiamini kuwa ushindi wa mwaka 2020 utawabeba tu katika maamuzi yao ya kibabe.
Mheshimiwa Mama Samia Suluhu umeletwa na Mwenyezi Mungu Mwenyewe ili uweze kuweka suluhu - tafadhali subirisha Mpango Bajeti unaoharakishwa ili ukumbuke hata wafanyakazi wako kwa nyongeza hata 05%.
Makundi mengi yameumia sana awamu ya tano, anza kwa kulifariji hili kundi la wafanyakazi kwanza kwa kusimamisha mipango ya Mawaziri hao ambao wapo msibani huko wanatoa tu maelekezo kana kwamba awamu ya tano inaendelea. Tutofautishe awamu hizi kwani tathmini hufanyika kwa awamu na mwenye naye hiyo awamu.
Ajabu sana!
Acha ushamba na kukariri, hii ni awamu ya sita pimbi we.