Imebidi nihamie kwangu ghafla kumkwepa mdada kausha damu

Mkuu pole na hongera kwa kulikwepa li toxic shangazi!

Ukiona mwanamke ana sura ya kuvutia na kila kitu kuweza kuvutia mwanaume yeyote na kisha anaishi peke yake, elewa kuwa mwanamke huyo ana kasoro.

Kasoro inayosemwa 'kasoro' huwa aidha ni tabia isiyorekebishika ama maumbile yake ya ndani ni mfupa unaowashinda mafisi.

Na usije ukajiona mjuaji na una uwezo wa kuwawin wanaume wengine kwakumpata yeye hapana, wengi walishajaribu wakashindwa kwa kunyoosha mikono yao juu.

Hata hivyo mbona umechelewa sana kuchukua maamuzi sahihi ya kiume kama hayo uliyoyachukua bwana mdogo?

Anachukua vitu vyako kwa njia ya kuazima kisha anaving'ang'ania, linawezekanaje hilo likarudiwa zaidi ya mara moja?

Halafu risiti za kupokelea mizigo yeye alikuwa anazipataje?

Una mapungufu mengi sana ambayo naweza nikakuhoji huku nikikushangaa kwa kushindwa ku handle hawara asiye mke wako.

Umeshapata somo na tayari umejifunza rangi halisi za single mother na wanawake wengi waliopo mitaani ma gold digger!

Unapendwa kwa ajili ya pesa pamoja na vitu vyako, haupendwi kwa kanuzi za kimapenzi za kiasilia hapana.

Ushauri wangu kwako, kuwa serious ya kuvunja mahusiano hayo ili uweze kutengeneza maisha yako ya sasa na ya baadaye.

Ikiwezekana tafuta mke uoe ili kujiepusha na aina hiyo ya wapenzi mamumiani wanyonya damu.
 
Noted.
Risiti zipo ndani ya boksi
 
Risiti zimo ndani ya box sawa, mzigo ukishatumwa huwa unajulishwa kwa njia gani?

Njia hizo zilikuwa zina leak vipi mpaka yeye ajue na kuwahi kupokea mzigo?

Hilo ndiyo swali la msingi ungeweza kunijibu.
Mizigo ikipokelewa ofisini huwa wanatoa taarifa kupitia namba ambazo zimeandikwa. Kutokana na mazoea ikitokea hali ya kubeba mizigo na kuichukulia kwake. Pitia maelezo hapo juu mkuu
 
Okay pongezi ila sasa ulikuwa unataka umkule bure? Acha woga wew ungemchanatu kwamba nini unataka nin hutak akizingua hapo ndio ubwage
 
Okay pongezi ila sasa ulikuwa unataka umkule bure? Acha woga wew ungemchanatu kwamba nini unataka nin hutak akizingua hapo ndio ubwage
Watu kama hao kubadilika ni ngumu huyo kashindikana kuanzia ngazi ya fsmilia Binti aliyelelewa na Maadili Mazur na akawa sikiliza wazazi lazima atakuwa na tabia nzuri na muoga kuchukua vitu vya watu.
 
Okay pongezi ila sasa ulikuwa unataka umkule bure? Acha woga wew ungemchanatu kwamba nini unataka nin hutak akizingua hapo ndio ubwage
Hajaliwa bure, nae alikua mnufaika wa mfuko wangu kwenye mambo mbalimbali
 
Watu kama hao kubadilika ni ngumu huyo kashindikana kuanzia ngazi ya fsmilia Binti aliyelelewa na Maadili Mazur na akawa sikiliza wazazi lazima atakuwa na tabia nzuri na muoga kuchukua vitu vya watu.
Sijajua kama atabadilika, ila kuna vitu kama tshirts na pensi na vitu vidogovidogo alivyobeba sija weka hapo. Huenda ni tabia yake ya asili ya kukusanya vya watu.
 
Hivi tunasemaga humu ishu za single maza mnaonaga ni masihara sio?Bora umeamini lkn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…