Imechukua Miaka mitatu Kuredesign Hii logo ya Xiaomi na Imegharimu $305,000

Its a lifetime logo inayozingatia mpaka spiritual side
 
Kaka inaonekana upo vizuri sana

Naomba uwe mentor wangu kwenye logo design

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mmhhh.

Explain pls
Kila kitu kila pande mbili kimwili na kiroho na kila upande una nguvu yake
Ni nadra sana kukuta kampuni inaitwa Totoise lakini kuna makampuni kibao yenye jina na logo ya duma

 
Mmhhh.

Explain pls
 
OK.

I got you.

Kwa Topic yako hio ya mnyama twiga...means biashara inaweza ikasimama au ikawa opposite si ndio!?
Bank ya NBC katika logo yake ina mnyama twiga lkn ni zaidi ya miaka 50 sasa ipo kwenye biashara na inafanya vizuri.

Another question : ina maana wahusika kabla Kutengeneza logo wanakuwa washafanyia kazi maono kujua kama biashara utakuwa firm for lifetime?

Hilo neno maono sijui kama nimelitumia sawa na limeeleweka?
 
Mara nyingi watu wenye mawazo endelevu hufikiria mbali hadi vizazi vijavyo. Kea kutumia hili ni sawa na maono katika ustawi wa kila kitu kwa kuiona kesho.

Leo hii tuna McDonald's, Facebook, IBM na Azam ukiziangalia kampuni hizi unaona maono toka mwanzo ndio maana chapa zao ni zenye ushawishi, nguvu na za muda mrefu.

Logo ni identity yako/taasisi au shirika iliyobeba yote yako katika kipande kidogo. Kabla ya kutengeneza wataalamu hufanyia evaluation masuala kadha wa kadha kuona ni vipi itokee.

Logo au nembo zinazo msaada katika ukuaji binafsi, kampuni au taasisi. Mfano;- Kwa utafiti wa mwaka 2016 uliofanywa na IMG kwa Arsenal katika kitongoji cha Islington, London unaeleza asilimia 40 ya watoto kuipenda Arsenal ni kutokana na logo na rangi zake.

Vivyo hivyo ukuaji wa mtandao maarufu wa Snapchat kwa watoto na vijana hasa jinsi ya kike umechangiwa vilivyo na rangi mbalimbali.
 
Ni sawa lakini si mara zote huwa hivyo bali kwa sehemu kubwa na sometimes kuna kupata na kukosea
Bank ya NBC ilipatia pale kumuweka twiga.. Kukua kibiashara.. Stand high above all..!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…