Imechukua muda gani kutoboa katika biashara yako? Umejifunza nini?

Imechukua muda gani kutoboa katika biashara yako? Umejifunza nini?

Biashara Zina changamoto nyingi kama eneo ulipo, uhitaji wa wateja, uaminifu wa wauzaji au muuzaji mwenyewe, yaani isiwe make au mume wnachukua ela ya biashara kisiri Siri biashara itakufa, kukopesha ni adui katika biashara ukimkopesha mteja unatengeneza uadui na anahama kwenda kununua Kwa mwingine.

Chuma ulete, hawa ni wachawi wanaoiba ela za biashara Kwa nguvu za Giza hakikisha unaikinga biashara yako dhidi ya wanga, matumizi hakikisha matumizi Yako yasizidi kipato champ ishi chini ya kipato champ, punguza wategemezi isiwe mtoto wa mjomba, mara wa kaka wanakuja kuishi kwako au kua tegemezi kwako ni hatari.

Pia soma alama za nyakati mfano nafaka msimu wa nafaka kama unga ninja mahindi saga dona au sembe uza utapata faida kubwa kuliko kununua unga special pia nafaka kama maarage ninja kipind cha mavuno. Nunua bidhaa kulingana na uhitaji wa wateja na sio personal interest Yako yakuleta bidhaa unazozitaka wewe.

Pia fanya utafiti wa nani anauza bidhaa Kwa bei nafuu ukanunune Ili ukija kuuza upate faida mzuri, Epuka kukopa kopa alafu mzigo ulete kwenye biashara kwani Kuna mda biashara inakua mzuri na mda inakuangumu hvyo penda kuuza mtaji wall we we mwenyewe.

Acha ulevi unapofanya biashara mfano ulevi wa kucheza kamari, kubeti, ulevi wa sigara, wanawake, pombe nk uwa vinarudisha nyuma sana uendelevu wa biashara. Usiruhusu iila mtu auze biashara yako uza mwenyewe au make wako na mke kama haelaweki uza mwenyewe ukiwa na dharura funga biashara ukirud utafungua.

Kuna wakati mwingine mke mnakubaliana msikopeshe hehe anawakopesha mashoga zake biashara inakufa bila kuelewa chanzo. ukizingatia hayo machache biashara utafanikiwa.
 
Nilianza biashara ya kukopesha pesa 2014 baada ya kupata gawio la kuuza nyumba ya urithi milion sita.. nilikua nakopesha mtaani wajasiriamali..nikatapeliwa zote na kuishia kugonbana na watu ovyo..

2015 June, nikaajiriwa mahali nikajichanga salary pamoja na nssf 2018 nikapewa lesen b.o.t ya ukopeshaji nikaanza tena rasmi na kama million nne na nusu...ajabu nazo sijui hata zilipotelea wapi..nb watanzania sio walipaji ni wazur kukopa na wakiitaji pesa wataongea maneno yote na wakat wa marejesho watakupa majina yote mabaya kausha damu,pesa za mtoto, riba ni dhambi nk ilimradi wasilipe..mwaka 2020 baada ya COVID mtaji ukakata wote...

Nikaenda mbeya home nikawashawish baadhi ya ndugu tukauza mashamba ya urithi kijijin kwetu ingawa haikuwa rahisi, nikarudi town na gawio la milion 3 na laki nane..safar hii nikatuliza akili na kuboresha ubaili na kutoamini mtu kiurahisi Bali nasimamia vigezo na masharti bila kuangalia mtu usoni...

At least biashara inaendelea na imesimama vizur imeajiri vijana wanne full time.
 
Nilianza biashara ya kukopesha pesa 2014 baada ya kupata gawio la kuuza nyumba ya urithi milion sita.. nilikua nakopesha mtaani wajasiriamali..nikatapeliwa zote na kuishia kugonbana na watu ovyo..

2015 June, nikaajiriwa mahali nikajichanga salary pamoja na nssf 2018 nikapewa lesen b.o.t ya ukopeshaji nikaanza tena rasmi na kama million nne na nusu...ajabu nazo sijui hata zilipotelea wapi..nb watanzania sio walipaji ni wazur kukopa na wakiitaji pesa wataongea maneno yote na wakat wa marejesho watakupa majina yote mabaya kausha damu,pesa za mtoto, riba ni dhambi nk ilimradi wasilipe..mwaka 2020 baada ya COVID mtaji ukakata wote...

Nikaenda mbeya home nikawashawish baadhi ya ndugu tukauza mashamba ya urithi kijijin kwetu ingawa haikuwa rahisi, nikarudi town na gawio la milion 3 na laki nane..safar hii nikatuliza akili na kuboresha ubaili na kutoamini mtu kiurahisi Bali nasimamia vigezo na masharti bila kuangalia mtu usoni...

At least biashara inaendelea na imesimama vizur imeajiri vijana wanne full time.
Biashara gan sasa hv unafanya mkuu?
 
Wakuu hebu fungukeni ni miaka mingapi upo kwenye biashara na je, umefanikiwa kutoboa kibiashara? Na, ulifanyaje kufika hapo.

Nina kaduka kangu mwaka wa tano huu sioni dalili ya kutoboa japo sijakata tamaa ila changamoto ni nyingi sana ikiwemo madeni na mtaji kiduchu bado napambana. Je, wewe hali kwako ipoje?
alokwambia nimetoboa nani
 
Achana kwanza na kutoboa, biashara kusimama na kuweza kujiendesha yenyewe huwa ni mziki.

Mwanzo tuliweka mtaji wa kutosha tukijua ndio dawa, lakini ikawa ndivyo sivyo. Siku zinaenda ila biashara ni mwendo wa kobe. For almost 1 year tuna fight biashara isife au isijiendeshe kwa hasara. Kidogo tulipoanza kuona mwanga, tukainduce tena capital ili kuiboost. Sasa hivi walau dalili ni njema. Kinachotusaidia tumekubaliana hakuna mtu kuitolea macho biashara, hivyo kinachopatikana kinarudishwa kwenye mzunguko.

Changamoto ya biashara, usipoifanya kihalali, unakumbana na polisi. Ukiifanya kihalali, unakutana na TRA. Na wote ni wasumbufu kuliko kawaida
Pole sana mkuu biashara ni stress plus yaani ni pasua kichwa
 
Biashara Zina changamoto nyingi kama eneo ulipo, uhitaji wa wateja, uaminifu wa wauzaji au muuzaji mwenyewe, yaani isiwe make au mume wnachukua ela ya biashara kisiri Siri biashara itakufa, kukopesha ni adui katika biashara ukimkopesha mteja unatengeneza uadui na anahama kwenda kununua Kwa mwingine.

Chuma ulete, hawa ni wachawi wanaoiba ela za biashara Kwa nguvu za Giza hakikisha unaikinga biashara yako dhidi ya wanga, matumizi hakikisha matumizi Yako yasizidi kipato champ ishi chini ya kipato champ, punguza wategemezi isiwe mtoto wa mjomba, mara wa kaka wanakuja kuishi kwako au kua tegemezi kwako ni hatari.

Pia soma alama za nyakati mfano nafaka msimu wa nafaka kama unga ninja mahindi saga dona au sembe uza utapata faida kubwa kuliko kununua unga special pia nafaka kama maarage ninja kipind cha mavuno. Nunua bidhaa kulingana na uhitaji wa wateja na sio personal interest Yako yakuleta bidhaa unazozitaka wewe.

Pia fanya utafiti wa nani anauza bidhaa Kwa bei nafuu ukanunune Ili ukija kuuza upate faida mzuri, Epuka kukopa kopa alafu mzigo ulete kwenye biashara kwani Kuna mda biashara inakua mzuri na mda inakuangumu hvyo penda kuuza mtaji wall we we mwenyewe.

Acha ulevi unapofanya biashara mfano ulevi wa kucheza kamari, kubeti, ulevi wa sigara, wanawake, pombe nk uwa vinarudisha nyuma sana uendelevu wa biashara. Usiruhusu iila mtu auze biashara yako uza mwenyewe au make wako na mke kama haelaweki uza mwenyewe ukiwa na dharura funga biashara ukirud utafungua.

Kuna wakati mwingine mke mnakubaliana msikopeshe hehe anawakopesha mashoga zake biashara inakufa bila kuelewa chanzo. ukizingatia hayo machache biashara utafanikiwa.
Mkuu kati ya vigezo ulivodokeza hapo vyote vinazingatiwa lakini bado biashara inasuasua nakumbuka niliwahi kusave mtaji ukafika mil3 miezi inayofuata majanga yakaanza plus kodi kwa mfululizo nikarudi chini kabisa kubangaiza
 
Nilianza biashara ya kukopesha pesa 2014 baada ya kupata gawio la kuuza nyumba ya urithi milion sita.. nilikua nakopesha mtaani wajasiriamali..nikatapeliwa zote na kuishia kugonbana na watu ovyo..

2015 June, nikaajiriwa mahali nikajichanga salary pamoja na nssf 2018 nikapewa lesen b.o.t ya ukopeshaji nikaanza tena rasmi na kama million nne na nusu...ajabu nazo sijui hata zilipotelea wapi..nb watanzania sio walipaji ni wazur kukopa na wakiitaji pesa wataongea maneno yote na wakat wa marejesho watakupa majina yote mabaya kausha damu,pesa za mtoto, riba ni dhambi nk ilimradi wasilipe..mwaka 2020 baada ya COVID mtaji ukakata wote...

Nikaenda mbeya home nikawashawish baadhi ya ndugu tukauza mashamba ya urithi kijijin kwetu ingawa haikuwa rahisi, nikarudi town na gawio la milion 3 na laki nane..safar hii nikatuliza akili na kuboresha ubaili na kutoamini mtu kiurahisi Bali nasimamia vigezo na masharti bila kuangalia mtu usoni...

At least biashara inaendelea na imesimama vizur imeajiri vijana wanne full time.
Duh mkuu hongera kwa mpambano na hasara zote hizo hukati tamaa
 
Asante boss napaswa kupambana nayo tu sabb Sina option nyingine. Nimezaliwa kukopesha nadhan...[emoji1][emoji1] joking
Kwa changamoto zote za nyuma still ukarud kufanya the same business lazima utafanikiwa maana ushapata experience zote za hiyo business..hongera hata mm nafanya the same business ila nna uoga wa kupoteza hela balaa [emoji23]
 
1. Biashara ni kama mtoto, kukua kwake inategemea chakula, knowledge na ulinzi. Unatakiwa kujifunza kila siku kuhusu biashara yako ujue namna ya kunavigate na wateja kwenye soko. Kulisha; ni kujua bidhaa au huduma gani inatakiwa na wateja wapo tayari na wanaweza ilipia, kukua; keep track ya rekods za manunuzi na matumizi, kuchukua pesa ya kwenye biashara kuifanyia shughuli nje ya biashara ni kama kujenga nyumba halafu kuanza kufumua tofali kidogo kidogo bila kuzirejeshea kuta zitabomoka.

2. Biashara inapo tengeza faida haimaanishi umeshatoboa na uanze tumia faida ile kufanya mambo mengine ukidhani ndio umefanikiwa,kosa kubwa. Kuna kitu kinaitwa net asset value, ambacho hata mabenki ndicho hutumia kukukopesha.

Mfano: una mtaji wa million 1 nje ya assets za biashara, financial cycle yako ni 3 months, kila miezi 3 unahesabu total faida ya milion moja na nusu (hapo ina maanisha kwa ule mtaji wa 1 milioni umeweza kutengeza faida ya laki 5 kila mwezi, so miezi mitatu unakuwa umejumlisha milioni moja na nusu)


Ukiweza kutumia at least 50% ya hii 1.5 milioni kuiwekeza tena katika biashara yako, then the remaining 50% ikabakia kwenye account kama back up amount, hizi rekodi ndizo zitakupa heshima benki na utaona kila uchao wanakuongezea kiwango cha kukukopesha. Kama 1 milion imeweza kuzaa 1.5 then ukijiongeza kwa elimu, ubunifu na mbinu, unaweza shuhudia profit ikipanda kwa wastani huo huo wa 1.5 milion kwenye kila million ya uwekezaji ndani ya kila miezi mitatu kama utaweza kuimaintain biashara.

3. Weka mbali mambo ya ushirikina kwenye biashara sababu yatakudumaza sana utakuwa mzembe wa kujifunza na utakapo kwama utahisi unalogwa au mtu anakuchezea so badala ya kujitathimini utaanza kupoteza pesa kutembelea waganga na kafara nyingi na usitoboe. Biashara inapokuwa na akili inatakiwa kukua sababu itakuja na vitu vipya kabisa. Wengi waliofanikiwa huwa wanaigiza kuwa ni washirikina ili kama mkwala ila nyuma ya pazia ukweli unajulikana.

4. Jitahidi sana kutrain watu ambao hata ukiwa haupo basi biashara iweze kwenda bila shida sio ukiwepo mambo yanakwenda ukitoka tu simu za kukuuliza nini kifanyike sababu ya poor staffing. Train watu wako kuwepo na vitengo na wasimamizi wake. Nani anafanya nini ni muhimu sana.
Na usisahau kuwalipa watendaji wako stahiki zao kwa wakati muafaka. Wasaidie wanapohitaji msaada wa hisani ingawa sio lazima ila ni jambo zuri ili kuwafanya wajiskie wapo kwenye familia, kumbuka wanaacha familia zao wanakuja kushinda na wewe kwenye kazi siku nzima, sasa usipowajali watakuona adui yao. Lakini usiwadekeze fanya nao kazi na majukumu kwa mujibu wa sheria na taratibu za kazi. Usichekee uzembe.

5. Usijitazame kufanya biashara moja kama unaona haukui nayo. Linda mtaji jifunze kuhusu soko la bidhaa na huduma mbali mbali ili uweze kutransform biashara na kuhamishia mtaji kwenye tasinia nyingine ambayo utaweza imudu.

6. La msingi na la mwisho kutoka kwangu ni kuheshimu muda wako, pesa na mahitaji ya wateja. Uweze kubalance hizi elements pamoja ili uweze kujenga mazingira ya kutoboa.
 
Back
Top Bottom