Imefika wakati serikali iangalie mishahara ya watumishi wa "Local government" maana hali zao za mishahara ni ngumu na mbovu sana

Ikishindikana kuwe na rotation miaka mi5 kwa taasisi na mashirika ikiisha unaenda halmashauri mi5 tena ndo akili zitakaa sawaa
Unafanyaje Rotation kwa Professionals mzee, Halafu Ile Expertise, Competency unajua Ni gharama sana Kumtengeneza mtaalam at Senior Levels mzee.?
Watu wana Struggle, Gap ya salary lazima iwepo tu coz kuna Consumers na Producers
 
Hali ni mbaya Kila Kona
 
So tamisemi wamekuajiri kwa ticket ya masters?
 
Nikiwa na Div 2 yangu ya PCB, nilikosa ada ya kusoma direct BEF nikaanzia na Diploma kama alivyotaka mfadhili.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ungepiga PCB usome udaktari wa binadamu, si umesifia kwenye uzi wako kuwa watu wa afya wana nafuu kidogo kwenye malipo.
 
Nimeamua kuwa selective, kila nikipata fursa naambiwa unahamia halmashauri X, yaani natoka chooni naingia maliwatoni..!!!

Nilchoamua ni kukomaaa biashara zangu tu, ukifika muda nisepe mazima niwe full time interpreneur.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Subiri Miaka 15 ya kazi ili uwer pensionable.
 
Ungepiga PCB usome udaktari wa binadamu, si umesifia kwenye uzi wako kuwa watu wa afya wana nafuu kidogo kwenye malipo.
Business is better than anything.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Mwenyekiti wa wafanyakazi wa local government[emoji2]


Bakini huko huko , mnataka kuja huku central halafu nani ahudumie wananchi wanyonge
Na nyie njoo huku mjifunze maisha.!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
 
Ulichopewa ndiyo stahiki yako, toshekeni na mishahara yenu

Kuna mtu yupo kitaa saivi akiambiwa aajiriwe kwa nusu ya unachodai atakubali, jifunze KURIDHIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…