The Coin Man
Senior Member
- Jan 2, 2025
- 156
- 167
Mkuu hujagusia kuhusu bia nipo na castle lite ya baridi hapa najiliwaza tu wakati nacheka Tu kuwaona mnanao 😁😁kunywa juice za embe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coke ya Tz haiwezi kuwa sawa na ya NY, sisi hatusimamii viwango vya ubora kuanzia kifungashio, maji na vichanganywa(ingredients) kwani hata vilivyokwisha muda wa matumizi hutumika.Watu wangi hatutambui kwamba tatizo kubwa la kunywa soda kama Pepsi, Coca Cola nk, ni kwamba zina sukari nyingi sana ambayo si jambo zuri kwa afya yako.
Sasa utakuta watu wengi sana wamekuwa na mawazo kwamba ni vema kunywa juice za dukani (processed juice) kuliko kunywa soda, na hata wengine wakiwa tayari kuwapa watoto wao wadogo juice za dukani huku wakizuia kabisa kuwapa soda.
Huko ni kufikiri kuliko potoka sana!
Imefikia mahali ambapo kunywa juice za dukani ni hatari zaidi kuliko soda, hasa ukizingatia hizi juice zinavyotengenezwa. Navyojua ni kwamba, ukilinganisha na soda, juice ziko juu sana katika viwango vya benzene na ascobic acid, vitu hatarishi kwa afya vinavyoleta kansa, ambavyo sio tatizo katika soda!
Kumbuka kwamba, japo kuna tatizo la sukari nyingi katika soda, standard ya soda kama Pepsi au Coca Cola, inadhibitiwa kimataifa. Soda unayokunywa Tanzania inatakiwa kuwa ya kiwango kile kile kama ile utakayokunywa USA au Ulaya. Na tunajua wenzetu wako strict sana kwenye masuala ya viwango.
Tofauti na soda, juice utengenezaji wake ni local - ni kama kila mwenye kiwanda cha juice anaamua aweke madudu gani kwenye juice yake, na usimamizi wa udhibiti wa utengenezaji juice hapa nchini ni dhaifu sana. Inasemekana kuna wakati hata suala la kupitisha standard za juice nchini linafanyika kisiasa, kwa amri kutoka juu - mpeni lebel ya standard huyo - labda tu kwa sababu ni mchangiaji sana wa fedha za chama fulani. Na pia, imethibitika kwamba katika juice nyingi zilizoko madukani, viwango vya kemikali zilizowekwa si sawa na ilivyoandikwa kwenye chupa ya juice.
Na pia tukumbuke kwamba juice zimetengenezwa kukaa hata zaidi ya miaka miwili zikiwa hazijanywewa, wakati mzunguko wa soda ni mdogo sana - ndani ya mwezi mmoja soda zilizotengenezwa zinakuwa zimeisha, na hivyo sio rahisi kuwa na mabadiliko ya kikemia kama ilivyo kwa juice!
Hivyo ndugu zangu, tafakari sana juu ya soda Vs juice. Ni kweli soda zina tatizo la sukari nyingi - lakini juice matatizo yake ni sukari nyingi pia na madawa kibao yanawekwa bila udhibiti thabiti, hasa katika nchi zetu hizi. Juice nzuri ya wewe kunywa ni ya kutengeneza mwenyewe nyumbani ukitumia matunda fresh!
Kwa mnaoweza kumfikia Prof. Janabi, muulizeni swali la moja kwa moja; kama hapa Tanzania ungelazimika kuchagua kati ya juice ya dukani na soda ili unywe, ungeona angalau uko salama kunywa nini kati ya hivi vitu viwili?
Hujatatua chochote.Juice ya embe mi naongeza maji ndio nampa mtoto
Sio kirahisi hivyo. Coca cola wenyewe wanasimamia. Hawawezi kuacha wajingawajinga wawaharibie.Coke ya Tz haiwezi kuwa sawa na ya NY, sisi hatusimamii viwango vya ubora kuanzia kifungashio, maji na vichanganywa(ingredients) kwani hata vilivyokwisha muda wa matumizi hutumika.
Natural juice ni ya kuitengeneza wewe mwenyewe ,hizi za kuuziwa ni JAU....Nakumbuka zamani kulikuwa na SUper Deep yaani Pakti moja ya gram 50 unatoa juice PIPA MOJA na ina sukari ya kufa mtu.Hebu ona hii, halafu fikiria unakunywa kwa sababu unaamini ni pure juice kama wanavosema!
View attachment 3238333
Ila uwekezaji wake ni mkubwa sana, huo mtambo thamani yake ni karibu BHebu ona hii, halafu fikiria unakunywa kwa sababu unaamini ni pure juice kama wanavosema!
View attachment 3238333
Kuna chapa hapo limebandikwaHebu ona hii, halafu fikiria unakunywa kwa sababu unaamini ni pure juice kama wanavosema!
View attachment 3238333
DuhNatural juice ni ya kuitengeneza wewe mwenyewe ,hizi za kuuziwa ni JAU....Nakumbuka zamani kulikuwa na SUper Deep yaani Pakti moja ya gram 50 unatoa juice PIPA MOJA na ina sukari ya kufa mtu.
Una Changamoto Nyingi Sana Ila Kwa Kuanzia Tu Deal Sna Na Ghorofa Na Ela.Nakumbuka mwaka 2015 pale cocobeach Coca-Cola walikuwa wanagawa vinywaji vyao vya coka vilivyokaribia kuexpire vilikuwa vile vichupa vidogo (Bambucha) aisee nilikunywa hadi yule jamaa aliyekua anagawa akanishngaa na ilikua ukimaliza unaenda kujichulilia mwenyewe hakuna anaekuzuia
Additives kibao, kuanzia rangi, ladha na sukari. Kwenye ladha huwekwa ladha ya tunda husika mf. embe, ukwaji, chungwa nk. Rangi huwekwa kutegemea na aina ya tunda lengwa. Shangaa juice nyingi za matunda aina ya embe zinaingizwa nchini toka huko Dubai na bei yake ni karibu sawa na bure. Tafakati na uchukue hatua.Hebu ona hii, halafu fikiria unakunywa kwa sababu unaamini ni pure juice kama wanavosema!
View attachment 3238333
Kunywa maji,ujalazimishwa mkuu,au kunywa divaiKuna wakati hii video ilisambaa sana kuhusu juice za Azam, na serikali ilikaa kimya wakidai ni uchochezi wa kibiashara. Lakini kinachoongelewa kina harufu sana ya ukweli na wanafanya reference. Angalia hapa.
View attachment 3238348
Hii sasa balaa.Kuna wakati hii video ilisambaa sana kuhusu juice za Azam, na serikali ilikaa kimya wakidai ni uchochezi wa kibiashara. Lakini kinachoongelewa kina harufu sana ya ukweli na wanafanya reference. Angalia hapa.
View attachment 3238348
Yeah 👍👍👆😁😁 sijui zilipotelea wapi zile kituNatural juice ni ya kuitengeneza wewe mwenyewe ,hizi za kuuziwa ni JAU....Nakumbuka zamani kulikuwa na SUper Deep yaani Pakti moja ya gram 50 unatoa juice PIPA MOJA na ina sukari ya kufa mtu.
Hiyo ni filosophia mbaya sana kuwa nayo. Kwa mfano, kwa nini nchi inakataza ushoga kama wewe hulazimishwi kutoa makalio yako kwa mtu?Kunywa maji,ujalazimishwa mkuu,au kunywa divai