Imefikia mahali kunywa juice za dukani ni hatarishi kwa afya yako kuliko kunywa soda!

Coke ya Tz haiwezi kuwa sawa na ya NY, sisi hatusimamii viwango vya ubora kuanzia kifungashio, maji na vichanganywa(ingredients) kwani hata vilivyokwisha muda wa matumizi hutumika.
 
Nakumbuka mwaka 2015 pale cocobeach Coca-Cola walikuwa wanagawa vinywaji vyao vya coka vilivyokaribia kuexpire vilikuwa vile vichupa vidogo (Bambucha) aisee nilikunywa hadi yule jamaa aliyekua anagawa akanishngaa na ilikua ukimaliza unaenda kujichukulia mwenyewe hakuna anaekuzuia
 
Hebu ona hii, halafu fikiria unakunywa kwa sababu unaamini ni pure juice kama wanavosema!

View attachment 3238333
Natural juice ni ya kuitengeneza wewe mwenyewe ,hizi za kuuziwa ni JAU....Nakumbuka zamani kulikuwa na SUper Deep yaani Pakti moja ya gram 50 unatoa juice PIPA MOJA na ina sukari ya kufa mtu.
 
Una Changamoto Nyingi Sana Ila Kwa Kuanzia Tu Deal Sna Na Ghorofa Na Ela.
 
Hebu ona hii, halafu fikiria unakunywa kwa sababu unaamini ni pure juice kama wanavosema!

View attachment 3238333
Additives kibao, kuanzia rangi, ladha na sukari. Kwenye ladha huwekwa ladha ya tunda husika mf. embe, ukwaji, chungwa nk. Rangi huwekwa kutegemea na aina ya tunda lengwa. Shangaa juice nyingi za matunda aina ya embe zinaingizwa nchini toka huko Dubai na bei yake ni karibu sawa na bure. Tafakati na uchukue hatua.
 
Acha tunywe tu maisha yenyewe mafupi hayaelewek hutokunywa hizo soda sijui juice ila utajakufa Kwa ajali au magonjwa mengine kabisaaa Bora tunywee tu
 
Kuna nchi wanapaswa kunywa juice za viwandani kwasababu upatikanaji wa Matunda ni gharama sana(Mfano Kuna nchi parachichi tena lile dogo ni 12,000+ ukiweka kwenye dhamani ya Tsh...

Ila hapa bongo Parachichi unapata hadi mia tatu Embe mia mbili Mananasi hadi miatano. Hivi kwanini utengenezewe juice na kiwanda badala ya kutengeneza mwenyewe?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ