sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
hakuna anaeamua azaliwe vile anavyotaka yeye, ukiona umezaliwa bila tatizo shukuru na usije sahau hujafa hujaumbika, leo hii hata mama yako anaweza kupata ajali sidhani kama utafurahi ukiona watu wanamwita bata kwasababu ya mwendo wake uliosababishwa na kitu ambacho hakupanga.Kwenye hiyo picha naona watu wawili na nguruwe mweupe
Akili hauna we ni mjinga kabisaKwenye hiyo picha naona watu wawili na nguruwe mweupe
watu ambao kila kitu mnakimbilia huku lazima kwenye familia yenu mashoga hawakosiAlisindikizwa na mumewe kwenda kuomba msamaha
aiseehakuna anaeamua azaliwe vile anavyotaka yeye, ukiona umezaliwa bila tatizo shukuru na usie sahau hujafa hujaumbika, leo hii hata mama yako anaweza kupata ajali sidhani kama utafrahi ukiona watu wanamwita bata kwasababu ya mwendo wake uliosababishwa na kitu ambaho hakupanga
Huyo haji ndio mwanafamilia wetu namjuawatu ambao kila kitu mnakimbilia huku lazima kwenye familia yenu mashoga hawakosi
nina uhakika na hii
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Chukulia vyovyote vile lakini maombi yenu ya kwamba Manara atafungiwa sahau.Kifupi kaufyata. Hz unazoleta ni porojo porojo za kuulia soo
Mbona kila mkilikoroga lazima muihusishe Simba? Hiyo zeruzeru wenu ndiye haishi kuitaja taja Simba,lini umeona kiongozi yoyote wa Simba anaitaja Yanga au huyo zeruzeru wenu?Tunaendelea tulipoishia! Hapa hafungiwi mtu, Manara ataendelea kuwapelekea simba moto kama kawaida, hizo ndoto za abunuwasi kwamba Manara atafungiwa msahau,
Sana sana Manara ataambiwa alipie faini ya milioni 5 na ataendelea na majukumu yake
Wananchii !!! Makombe yaendelee!!!
View attachment 2281959
Hivi wewe mama una bwana huku Simba, unawashwa saaana na mambo ya Simba?Chukulia vyovyote vile lakini maombi yenu ya kwamba Manara atafungiwa sahau.
Kolo ni kama mke kwa Manara, hamuwezi kumpangia amge*ed* vipi, kama mke umechoka inabidi uendelee kuvumilia tu, mambo ya kutaka kukatisha shoo hayawahusu, vumilieni hadi akichoka atawaacha.
Mama ni wewe ntaekutetemea nyuma ya chup*Hivi wewe mama una bwana huku Simba, unawashwa saaana na mambo ya Simba?
Mke wangu tuliza kishundu hicho uzae salama usije ukaniulia mwanangu aliyeko tumboni kwako.Mama ni wewe ntaekutetemea nyuma ya chup*
Kwa hiyo ANAPIGWA MANDE?Alisindikizwa na mumewe kwenda kuomba msamaha
Una adabu kweli kijana weweKwenye hiyo picha naona watu wawili na nguruwe mweupe