IMEISHA HIO: Kuomba msamaha kwa Haji Manara sio taarifa njema kwa Simba waliodhani kwamba atasimamishwa, Wembe ni ule ule

IMEISHA HIO: Kuomba msamaha kwa Haji Manara sio taarifa njema kwa Simba waliodhani kwamba atasimamishwa, Wembe ni ule ule

hakuna anaeamua azaliwe vile anavyotaka yeye, ukiona umezaliwa bila tatizo shukuru na usije sahau hujafa hujaumbika, leo hii hata mama yako anaweza kupata ajali sidhani kama utafurahi ukiona watu wanamwita bata kwasababu ya mwendo wake uliosababishwa na kitu ambacho hakupanga.
Usituleletee Mahubiri Hapa kwani yeye anavyomuita Ahmed Ally mbana pua anadhani Ahmed anapenda kuongea vile?

HUYO NI KITIMOTO TU.
 

Attachments

  • FEE8A67F-AA12-4C5C-BC7D-B5DB10E1D332.jpeg.jpg
    FEE8A67F-AA12-4C5C-BC7D-B5DB10E1D332.jpeg.jpg
    17.8 KB · Views: 4
Kwenye hiyo picha naona watu wawili na nguruwe mweupe
Mkuu mwogope Mungu, hakuna anaechagua azaliwe vp, kama una watoto wangalie, halafu jiulize wangekuwa kama Manara je ungewaua?
Ukipata jibu njoo ufute huu upuuzi,
 
Kwenye hiyo picha naona watu wawili na nguruwe mweupe
Hiki ni kiwango cha chini kabisa cha kufikiri, unaheshimika pasipo sababu kumbe wewe ni mpuuzi wa kawaida kabisa?
 
mtoto wako akiwa na ulemavu wa haji ama mama yako angepatwa na ulemavu huo ingefaa tumuite nguruwe ?
sijataja mtu hapo ,mi naona kitimoto na watu wawili,kwani we unaona nini?
 
Back
Top Bottom