weka picha mkuuMimi mwenyewe huwa namkaangia hadi mayai plus kumnunulia samaki watu wakija wanashangaa utazini paka hastahili kula vitu vizuri afu wanaume wanaopenda wanyama huwa wana mapenzi ya dhati kwa wake zao au wapenzi
UNAPIGA KELELE UMENUNUA WEWEE??Wazungu wana mambo ya ajabu sana, wacha nikupe mkasa nilioshuhudia leo
Mida ya lunch leo kuna rafiki yangu kazini katutoa lunch rafiki zake twende hotelini kupiga msosi.
wakati tunapiga msosi maeneo ya wazi nyuma ya hoteli, tukawa tunamshangaa mzungu flani yupo na paka wa pale hotelini wanacheza, mzungu alikuwa anampapasa manyoya huyo paka, tulishangaa maana paka yule alikuwa wahapo hotelini hata sijui kama anasafishwaga
Sasa kumbe mda huo nadhani alikuwa kaweka order ya samaki wa kukaanga\
tukamona waiter anamplelekea samaki mbili kubwa kiasi, tukataniana mzungu ana njaa kali.
LA HAULA!!! Samaki moja aliwekwa chini kwenye kimfunikocha ndoo paka akaanza kufaidi samaki kimasihara.
Haikutosha hivyo lakini paka anapoendelea kupata hio lishe adim, mzungu alikuwa bado anamkuna kuna kichwani guju paka akiendelea kumfanyia samaki umafia
Kwa hali hii hawa wenzetu unaweza kumtoa out na kugharamia msosi wa gharama ukaishia kumuhudumia paka
Nadhani ni muda sasa sgeria ziweke wazi kuna binadamu kupata mlo mmoja tu ni kazi, yafaa angenunulia hata watu wenye shida huyo samaki kuliko kumpa paka
Pesa zake zinakuwasha niniMkuu hata uwe na pesa ndio utaanza kuweka order za samaki mzima kwajili ya paka???
Mkuu paka anajihisi yeye ndo mungu wa aliempa samakipaka huwaga hana time na mtu mkuu, bora mbwa hata uwe maskini atakuona wewe bado mungu wake
Yani ndio hapo inavyokuwaga, ila mbwa ukimpa kiti inakuwa kinyume anakuona wewe ndio master wakeMkuu paka anajihisi yeye ndo mungu wa aliempa samaki
Dah, watu mna majibu aiseeAiseee!
Yaani we umepewa ofa halafu unamwonea wivu paka ambaye naye kapewa ofa,
Jiepushe na ofa bwa’mdogo.
Paka kama humpi chakula urafiki na yeye sahau! Nahisi ndio maana hata papuchi iliiitwa pusi sababu bila kuipa hela huwezi kuwa na urafiki nayo 🤣🤣🤣paka huwaga hana time na mtu mkuu, bora mbwa hata uwe maskini atakuona wewe bado mungu wake
Paka kama humpi chakula urafiki na yeye sahau! Nahisi ndio maana hata papuchi iliiitwa pusi sababu bila kuipa hela huwezi kuwa na urafiki nayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]