Imekaaje hii, hotelini mzungu kampa paka samaki mkubwa

Imekaaje hii, hotelini mzungu kampa paka samaki mkubwa

Wazungu wana mambo ya ajabu sana, wacha nikupe mkasa nilioshuhudia leo

Mida ya lunch leo kuna rafiki yangu kazini katutoa lunch rafiki zake twende hotelini kupiga msosi.

wakati tunapiga msosi maeneo ya wazi nyuma ya hoteli, tukawa tunamshangaa mzungu flani yupo na paka wa pale hotelini wanacheza, mzungu alikuwa anampapasa manyoya huyo paka, tulishangaa maana paka yule alikuwa wahapo hotelini hata sijui kama anasafishwaga

Sasa kumbe mda huo nadhani alikuwa kaweka order ya samaki wa kukaanga\

tukamona waiter anamplelekea samaki mbili kubwa kiasi, tukataniana mzungu ana njaa kali.

LA HAULA!!! Samaki moja aliwekwa chini kwenye kimfunikocha ndoo paka akaanza kufaidi samaki kimasihara.

Haikutosha hivyo lakini paka anapoendelea kupata hio lishe adim, mzungu alikuwa bado anamkuna kuna kichwani guju paka akiendelea kumfanyia samaki umafia

Kwa hali hii hawa wenzetu unaweza kumtoa out na kugharamia msosi wa gharama ukaishia kumuhudumia paka

Nadhani ni muda sasa sheria ziweke wazi kuna binadamu kupata mlo mmoja tu ni kazi, yafaa angenunulia hata watu wenye shida huyo samaki kuliko kumpa paka
Inaonyesha jinsi gani ulivyo na hasira ukizingatia maisha ni magumu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwao chakula ni kitu cha kawaida ila kwa masikini chakula ni mali....
 
paka huwaga hana time na mtu mkuu, bora mbwa hata uwe maskini atakuona wewe bado mungu wake
Mwana Mimi namjua Demu mmoja amefuga paka ndani,ukiingia mle ndani yule nyau hataki kabisa umsogelee yule Demu,atakungata tu na kukuumiza na makucha yake, tena usiku ndo kabisa yule Demu akiwa amelala nyau humkalia karibu sasa ole wako umsogelee
 
Aiseee!

Yaani we umepewa ofa halafu unamwonea wivu paka ambaye naye kapewa ofa, itakuwa nawe ulitamani kupapaswa manyoya!!

Jiepushe na ofa bwa’mdogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
 
Sasa wewe na paka mna tofauti gani?
Mzungu kaamua kumpa msosi paka na rafiki yako kaamu kukupa msosi wewe.

Sasa nashangaa kwa nini wewe umwonee wivu mwenzio wakati kila mtu katolewa out na rafiki yake.huo ni ulafi.umemfanya mpaka jamaa yako aone wewe ni mchoyo na mlafi.
 
tukamona waiter anamplelekea samaki mbili kubwa kiasi, tukataniana mzungu ana njaa kali.
Mkuu siku nyingine usiseme "samaki mbili" bali sema samaki wawili, unatupa taabu sana sisi tuliosoma Kiswahili!
 
Sasa wewe na paka mna tofauti gani?
Mzungu kaamua kumpa msosi paka na rafiki yako kaamu kukupa msosi wewe.

Sasa nashangaa kwa nini wewe umwonee wivu mwenzio wakati kila mtu katolewa out na rafiki yake.huo ni ulafi.umemfanya mpaka jamaa yako aone wewe ni mchoyo na mlafi.
Duh, JF hivi haya majibu wakuu mnayatoaga wapi? Nimecheka sana wadau mnavyomshuku!!
 
Aiseee!

Yaani we umepewa ofa halafu unamwonea wivu paka ambaye naye kapewa ofa, itakuwa nawe ulitamani kupapaswa manyoya!!

Jiepushe na ofa bwa’mdogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kum*mae
 
Wazungu wana mambo ya ajabu sana, wacha nikupe mkasa nilioshuhudia leo

Mida ya lunch leo kuna rafiki yangu kazini katutoa lunch rafiki zake twende hotelini kupiga msosi.

wakati tunapiga msosi maeneo ya wazi nyuma ya hoteli, tukawa tunamshangaa mzungu flani yupo na paka wa pale hotelini wanacheza, mzungu alikuwa anampapasa manyoya huyo paka, tulishangaa maana paka yule alikuwa wahapo hotelini hata sijui kama anasafishwaga

Sasa kumbe mda huo nadhani alikuwa kaweka order ya samaki wa kukaanga\

tukamona waiter anamplelekea samaki mbili kubwa kiasi, tukataniana mzungu ana njaa kali.

LA HAULA!!! Samaki moja aliwekwa chini kwenye kimfunikocha ndoo paka akaanza kufaidi samaki kimasihara.

Haikutosha hivyo lakini paka anapoendelea kupata hio lishe adim, mzungu alikuwa bado anamkuna kuna kichwani guju paka akiendelea kumfanyia samaki umafia

Kwa hali hii hawa wenzetu unaweza kumtoa out na kugharamia msosi wa gharama ukaishia kumuhudumia paka

Nadhani ni muda sasa sheria ziweke wazi kuna binadamu kupata mlo mmoja tu ni kazi, yafaa angenunulia hata watu wenye shida huyo samaki kuliko kumpa paka
Kwa wenzetu wnyama wanapew respect kam binadamu kwaiyo hyo isikuchoshe
 
Jamaa unatamani kua paka wa mzungu [emoji3][emoji3] CCM oyeee
 
Back
Top Bottom