BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Na hiki ndo hufanya nifuge pakaNi ujasusi umetumika hapo.
In case chakula kina sumu mzungu angekuwa safe. Ndio maana alikuwa ana-buy time kumchezea manyoya wakati anakula.
Fikiria mara mbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiki ndo hufanya nifuge pakaNi ujasusi umetumika hapo.
In case chakula kina sumu mzungu angekuwa safe. Ndio maana alikuwa ana-buy time kumchezea manyoya wakati anakula.
Fikiria mara mbili.
Inaonyesha jinsi gani ulivyo na hasira ukizingatia maisha ni magumu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Wazungu wana mambo ya ajabu sana, wacha nikupe mkasa nilioshuhudia leo
Mida ya lunch leo kuna rafiki yangu kazini katutoa lunch rafiki zake twende hotelini kupiga msosi.
wakati tunapiga msosi maeneo ya wazi nyuma ya hoteli, tukawa tunamshangaa mzungu flani yupo na paka wa pale hotelini wanacheza, mzungu alikuwa anampapasa manyoya huyo paka, tulishangaa maana paka yule alikuwa wahapo hotelini hata sijui kama anasafishwaga
Sasa kumbe mda huo nadhani alikuwa kaweka order ya samaki wa kukaanga\
tukamona waiter anamplelekea samaki mbili kubwa kiasi, tukataniana mzungu ana njaa kali.
LA HAULA!!! Samaki moja aliwekwa chini kwenye kimfunikocha ndoo paka akaanza kufaidi samaki kimasihara.
Haikutosha hivyo lakini paka anapoendelea kupata hio lishe adim, mzungu alikuwa bado anamkuna kuna kichwani guju paka akiendelea kumfanyia samaki umafia
Kwa hali hii hawa wenzetu unaweza kumtoa out na kugharamia msosi wa gharama ukaishia kumuhudumia paka
Nadhani ni muda sasa sheria ziweke wazi kuna binadamu kupata mlo mmoja tu ni kazi, yafaa angenunulia hata watu wenye shida huyo samaki kuliko kumpa paka
Mwana Mimi namjua Demu mmoja amefuga paka ndani,ukiingia mle ndani yule nyau hataki kabisa umsogelee yule Demu,atakungata tu na kukuumiza na makucha yake, tena usiku ndo kabisa yule Demu akiwa amelala nyau humkalia karibu sasa ole wako umsogeleepaka huwaga hana time na mtu mkuu, bora mbwa hata uwe maskini atakuona wewe bado mungu wake
Nipatie Mimi hiyo ofa [emoji23][emoji23][emoji23]Aje mombasa tumpe ofa na kumpapasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!Aiseee!
Yaani we umepewa ofa halafu unamwonea wivu paka ambaye naye kapewa ofa, itakuwa nawe ulitamani kupapaswa manyoya!!
Jiepushe na ofa bwa’mdogo.
Ulitaka paka alishwe nini?Mkuu hata uwe na pesa ndio utaanza kuweka order za samaki mzima kwajili ya paka???
Mkuu siku nyingine usiseme "samaki mbili" bali sema samaki wawili, unatupa taabu sana sisi tuliosoma Kiswahili!tukamona waiter anamplelekea samaki mbili kubwa kiasi, tukataniana mzungu ana njaa kali.
Mkuu siku nyingine usiseme "samaki mbili" bali sema samaki wawili, unatupa taabu sana sisi tuliosoma Kiswahili!
Duh, JF hivi haya majibu wakuu mnayatoaga wapi? Nimecheka sana wadau mnavyomshuku!!Sasa wewe na paka mna tofauti gani?
Mzungu kaamua kumpa msosi paka na rafiki yako kaamu kukupa msosi wewe.
Sasa nashangaa kwa nini wewe umwonee wivu mwenzio wakati kila mtu katolewa out na rafiki yake.huo ni ulafi.umemfanya mpaka jamaa yako aone wewe ni mchoyo na mlafi.
Hata hapa mkuu mimi familia yangu ina paka na samaki wa mapamboMkuu kule U.S hasa hasa kule Minnesota, Wisconsin na Michagan,paka na mbwa ni watoto,ni sehemu ya familia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kum*maeAiseee!
Yaani we umepewa ofa halafu unamwonea wivu paka ambaye naye kapewa ofa, itakuwa nawe ulitamani kupapaswa manyoya!!
Jiepushe na ofa bwa’mdogo.
Kwa wenzetu wnyama wanapew respect kam binadamu kwaiyo hyo isikuchosheWazungu wana mambo ya ajabu sana, wacha nikupe mkasa nilioshuhudia leo
Mida ya lunch leo kuna rafiki yangu kazini katutoa lunch rafiki zake twende hotelini kupiga msosi.
wakati tunapiga msosi maeneo ya wazi nyuma ya hoteli, tukawa tunamshangaa mzungu flani yupo na paka wa pale hotelini wanacheza, mzungu alikuwa anampapasa manyoya huyo paka, tulishangaa maana paka yule alikuwa wahapo hotelini hata sijui kama anasafishwaga
Sasa kumbe mda huo nadhani alikuwa kaweka order ya samaki wa kukaanga\
tukamona waiter anamplelekea samaki mbili kubwa kiasi, tukataniana mzungu ana njaa kali.
LA HAULA!!! Samaki moja aliwekwa chini kwenye kimfunikocha ndoo paka akaanza kufaidi samaki kimasihara.
Haikutosha hivyo lakini paka anapoendelea kupata hio lishe adim, mzungu alikuwa bado anamkuna kuna kichwani guju paka akiendelea kumfanyia samaki umafia
Kwa hali hii hawa wenzetu unaweza kumtoa out na kugharamia msosi wa gharama ukaishia kumuhudumia paka
Nadhani ni muda sasa sheria ziweke wazi kuna binadamu kupata mlo mmoja tu ni kazi, yafaa angenunulia hata watu wenye shida huyo samaki kuliko kumpa paka