Bac Kwangu Inaniathr Sana Hii Tabia!
Kweli maisha ni ubatili na kujilisha upepo!
Wakati wengine wakidekewa wanakasirika kabisa na kuwa wakali kama pilipili, here is one ambae hadekewi na anakwazika kwa hilo!
Pole mwaya. Deka wewe utapata kitu roho inataka!
Yaan mwanenu Kwa Huyu Gf Wangu Dah! navumilia 2 Mikwaruzo Kwa Moyo Mpaka Basi!!!
Samahan Wakuu polen Kwa Mishe Na Salam Kwenu Nyote.
Hv Imekaeje Mpenz Wako Haspokudekea?
Maana Huyu Gf Wangu Niwapo Nae Au 2kiwa 2natalk Kwa Phone Hanidekei,
Tofaut Na My X ambae Alikuwa Ananidekea Mpaka Najiona uniq Kwenye Hl Gurudumu La Madavee
Tym Nyng Nakwazka Pind Niwapo Na Huyu Wa Sasa.
Imekaeje Hii Wakuu inawezekana Kuna Njemba Anamdekea Nini?
Toen Tathmin Za Wenza Wenu Tafadhar!
Natangulza Shukran!
Kweli maisha ni ubatili na kujilisha upepo!
Wakati wengine wakidekewa wanakasirika kabisa na kuwa wakali kama pilipili, here is one ambae hadekewi na anakwazika kwa hilo!
Pole mwaya. Deka wewe utapata kitu roho inataka!
Yaan mwanenu Kwa Huyu Gf Wangu Dah! navumilia 2 Mikwaruzo Kwa Moyo Mpaka Basi!!!
Samahan Wakuu polen Kwa Mishe Na Salam Kwenu Nyote.
Hv Imekaeje Mpenz Wako Haspokudekea?
Maana Huyu Gf Wangu Niwapo Nae Au 2kiwa 2natalk Kwa Phone Hanidekei,
Tofaut Na My X ambae Alikuwa Ananidekea Mpaka Najiona uniq Kwenye Hl Gurudumu La Madavee
Tym Nyng Nakwazka Pind Niwapo Na Huyu Wa Sasa.
Imekaeje Hii Wakuu inawezekana Kuna Njemba Anamdekea Nini?
Toen Tathmin Za Wenza Wenu Tafadhar!
Natangulza Shukran!