monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 830
- 1,449
leo ni siku ya kupelekeana moto!!!!"fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"!!!!Hii mvua ya leo imekuja na upepo wenye unyevu wa baridi hadi raha hali hii ya hewa kwa leo inatusahaulisha machungu ya joto kali hapa jiji Dar
Natamani hali ya hewa iendelee kuwa hivi ili itupunguzie machungu ya joto kali
Hali ya Hewa ya hv Iko sana IringaHii mvua ya leo imekuja na upepo wenye unyevu wa baridi hadi raha hali hii ya hewa kwa leo inatusahaulisha machungu ya joto kali hapa jiji Dar
Natamani hali ya hewa iendelee kuwa hivi ili itupunguzie machungu ya joto kali
Sahara Desert is laughing out loud 😎Ukiona joto jingi ujue ni mfumo wa kuandaa mvua. Joto linapeleka mvuke juu angani na badaye ndiyo inakuwa mvua.
Nakazia kwa sauti ya Mwaposa Fayaaaaaaaaaaaaaa............................leo ni siku ya kupelekeana moto!!!!"fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"!!!!
nomaNakazia kwa sauti ya Mwaposa Fayaaaaaaaaaaaaaa............................
HashwaaUkiona joto jingi ujue ni mfumo wa kuandaa mvua. Joto linapeleka mvuke juu angani na badaye ndiyo inakuwa mvua.
Hali ya hewa saafi kabisa leoHii mvua ya leo imekuja na upepo wenye unyevu wa baridi hadi raha hali hii ya hewa kwa leo inatusahaulisha machungu ya joto kali hapa jiji Dar
Natamani hali ya hewa iendelee kuwa hivi ili itupunguzie machungu ya joto kali
Mtoto wa Dar ukimpeleka makambako kama ana nauli anarud kesho yake😁Kuna mtu hapa kavaa hadi sweta
Nawashangaa..
hii nayo ni baridi? Mnazingua wakuu
Leo kila K ninayoiomba naambiwa niilipie Tsh 20,000/ hadi Tsh 15,000/ wakati Mimi nimezoea za Tsh 1,000/ na Tsh 1,500/ tu. Sijui itakuwaje na Punyeto nilishastaafu Miongo Miwili.Hii mvua ya leo imekuja na upepo wenye unyevu wa baridi hadi raha hali hii ya hewa kwa leo inatusahaulisha machungu ya joto kali hapa jiji Dar
Natamani hali ya hewa iendelee kuwa hivi ili itupunguzie machungu ya joto kali
Sasa sisi huko mkoani ni hali ya kila siku.. kama ulayaHali ya hewa saafi kabisa leo
Yuko wapi huyo tumchaneKuna mtu hapa kavaa hadi sweta
Nawashangaa..
hii nayo ni baridi? Mnazingua wakuu
😂😂 ama ndo atakuwa anakesha kuota moto asbh mpk usikuMtoto wa Dar ukimpeleka makambako kama ana nauli anarud kesho yake😁
Sasa atavaaje wakati Dar joto kali so mvua kidogo tu unatoka na sweta lako🤣Kuna mtu hapa kavaa hadi sweta
Nawashangaa..
hii nayo ni baridi? Mnazingua wakuu
Hakika mkuu😂😂 ama ndo atakuwa anakesha kuota moto asbh mpk usiku
Mvua ikinyesha huwaoni mbu unajua Kwa 7bu ganiSahara Desert is laughing out loud [emoji41]
Nimevaa nguo nyepesiSasa atavaaje wakati Dar joto kali so mvua kidogo tu unatoka na sweta lako🤣