David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Wa kwangu yupo period,ndio maana napinga ndoa za mke mmoja.leo ni siku ya kupelekeana moto!!!!"fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kwangu yupo period,ndio maana napinga ndoa za mke mmoja.leo ni siku ya kupelekeana moto!!!!"fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"!!!!
Hebu jipige picha niione hiyo nguo nyepesi😋Nimevaa nguo nyepesi
Wananiuliza husikii baridi?
Wao wamejivika misweta
Nawashangaa,, nawajibu tu hawako serious na maisha 🤣
Hii sio baridi ya kuvalia sweta.
Kanunue masweta hukoHebu jipige picha niione hiyo nguo nyepesi😋
Wana jiographia wanakuja kung'amua swali lako bossNaomba kuuliza, kinachosababisha joto Dar es Salaam huwa ni nini?
Kuna mtu aliniambiaga ni bahari! Swali, je, miji yote iliyopo pwani ya bahari ya Hindi kwa upande wa Tanzania na East Afrika kwa ujumla kuna joto?
Utakua machinga wewe.Hii hali ya hewa siipendi kabisa, dar lake jua na joto kali.
Hizi baridi ziende mbeya na njombe huko
Kumbe huku Karatu huwez kaa kwa raha wewe!!Hii hali ya hewa siipendi kabisa, dar lake jua na joto kali.
Hizi baridi ziende mbeya na njombe huko
Kuna mtu hapa kavaa hadi sweta
Nawashangaa..
hii nayo ni baridi? Mnazingua wakuu
Chaa, leo kuna baridi bwana😂😂Nimevaa nguo nyepesi
Wananiuliza husikii baridi?
Wao wamejivika misweta
Nawashangaa,, nawajibu tu hawako serious na maisha 🤣
Hii sio baridi ya kuvalia sweta.
Naipenda baridi ila sio kwa dar mkuu, hili jiji liwe na joto kali siku zote.
Ndo ivo, mvua ni hasara kwanguUtakua machinga wewe.
Nyinyi hampendi hata kusikia mvua kisa biashara zinadoda.