Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,789
Wakuu,
Mimi binafsi hii kitu imenichanganya sana.
Kuna jamaa alimaliza huo mwaka sasa alipata D, E kwa baadhi ya masomo yake lakini cha kushangaza TCU system inamsoma kwenye D ni B+ na kwenye E ni B ivi imekuwaje?
Mimi binafsi hii kitu imenichanganya sana.
Kuna jamaa alimaliza huo mwaka sasa alipata D, E kwa baadhi ya masomo yake lakini cha kushangaza TCU system inamsoma kwenye D ni B+ na kwenye E ni B ivi imekuwaje?