kwa Tanzania kuna jamii ya watu X hawa jamaa walikua ni wapenda mabadiliko since day one
reflection yake ni kweli kwenye uchumi wao binafsi somehow ndo wanaongoza /wapo vizuri.
cha kushangaza miaka ya hivi karibuni ni kama wame surrender na kuunga mkono juhudi za CCM .
nilitamini sana kuona generation ya wanaume jasiri na wapenda mabadiliko kama miaka ya
1990---2010.
sasa ivi woteee ni ccm. na kinachokuja kutokea ni samia atashinda kwa 90+%.
future generations ipo hatarini
reflection yake ni kweli kwenye uchumi wao binafsi somehow ndo wanaongoza /wapo vizuri.
cha kushangaza miaka ya hivi karibuni ni kama wame surrender na kuunga mkono juhudi za CCM .
nilitamini sana kuona generation ya wanaume jasiri na wapenda mabadiliko kama miaka ya
1990---2010.
sasa ivi woteee ni ccm. na kinachokuja kutokea ni samia atashinda kwa 90+%.
future generations ipo hatarini