Imekuwaje Fei, Tshabalala na Kapombe nje stars?

Imekuwaje Fei, Tshabalala na Kapombe nje stars?

Haitaji elimu kubwa kujua kubwa fai toto anadrop kwa kasi kubwa sana
Halafu huyu ndio alikuwa anataka alipwe sawa na Aziz Ki. Mechi na Waethiopia anapewa apige mpira wa faulo anapiga as if ana wenge kichwani (angekuwa bado yupo kwenye cheo chake Jenerali Ole Sabaya tungemwomba amtoe wenge), haieleweki anatoa pasi au anapiga moja kwa moja.
 
Halafu huyu ndio alikuwa anataka alipwe sawa na Aziz Ki. Mechi na Waethiopia anapewa apige mpira wa faulo anapiga as if ana wenge kichwani (angekuwa bado yupo kwenye cheo chake Jenerali Ole Sabaya tungemwomba amtoe wenge), haieleweki anatoa pasi au anapiga moja kwa moja.
Aahahaaa,dah
 
Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.

Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.

Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
uwezo wao umeshuka
 
Back
Top Bottom