The president doesnt understand it? Ng'eng'e.Imwekuwaje Kiwanda cha chanjo ya Covid kimepelekwa Kenya ilihali mama akiwa Ulaya alitangaza kuwa kitajengwa Tanzania. Je wajenzi walimdanganya au hakusikia vizuri? Je aliambiwa kitajengwa karibu na Tanzania, yeye akachukulia kiwa kitajengwa Tanzania?
Ko mama alizurura tuWazungu walishasema Kenya ndio Wakala wao mkuu kwa Afrika!
Tunataka ajira hayo mengine hatutaki..😂Kuchanja hamtaki Ila kiwanda mnakitaka.
Sisi tunajenga cha kwetu wenyewe.Ko mama alizurura tu
Mnao huo upepoSisi tunajenga cha kwetu wenyewe.
Hatujengewi na wazungu!
Subiri matokeo!Mnao huo upepo
Ndivyo mlivyo!!Sisi tunajenga cha kwetu wenyewe.
Hatujengewi na wazungu!
Hakuna cha matokeo mlichobakiza ni kuvaa dera tuSubiri matokeo!
Endelea kukariri hapo hapo Ufipa!Hakuna cha matokeo mlichobakiza ni kuvaa dera tu
Dah!...hii hospital haikukamilika?Mlima Kilimanjaro uko Kenya ni sawa tu acha wajenge huko huko.
Miaka fulani Hayati Reginald Mengi (RIP) alipofiwa na mwanawe Motie kwa shida ya moyo (japo inasemekana na mengine yalikuwepo ) aliamua ajenge hospital ya moyo.
Hata foundation ilikuwa tayari, akawekewa zengwe la maana akashindwa kuendelea.
Acha wajenge hiyo ya covid huko huko tutavuka kuchanja anyway.
Kingejengwa Tanzania ungekuja kuponda humu kuwa tunataka kuletewa magonjwaImwekuwaje Kiwanda cha chanjo ya Covid kimepelekwa Kenya ilihali mama akiwa Ulaya alitangaza kuwa kitajengwa Tanzania. Je wajenzi walimdanganya au hakusikia vizuri?
Je, aliambiwa kitajengwa karibu na Tanzania, yeye akachukulia kiwa kitajengwa Tanzania?
Wabongo ni watu wa misimamo kwenye ishu wasizozielewa vizuri,sio waoga km Wakenya.Wakenya waoga sana walikubali chanjo haraka sana bila kuhoji undani wake.Tanzania hakuna soko la chanjo kama Kenya. Watu wengi hawakuhamasika kupata chanjo ndio maana husikii public report ya chanjo zilizotumika.
Wawekezaji wanataka faida.