lugabussa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 557
- 523
[emoji23][emoji23]apo umetuweza wabongolandKuchanja hamtaki Ila kiwanda mnakitaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]apo umetuweza wabongolandKuchanja hamtaki Ila kiwanda mnakitaka.
Raw materials zitakuwa zinatoka Madagascar...🤣🤣🤣🤣Sisi tunajenga cha kwetu wenyewe.
Hatujengewi na wazungu!
Tatizo utawala wa Tanzania hauaminiki haijulikani kesho atatawala Nani anaweza kufunga hicho kiwanda nakusema ninjama za mabeberu kinazalisha virusi !!Imekuwaje Kiwanda cha chanjo ya Covid kimepelekwa Kenya ilihali mama akiwa Ulaya alitangaza kuwa kitajengwa Tanzania. Je wajenzi walimdanganya au hakusikia vizuri?
Je, aliambiwa kitajengwa karibu na Tanzania, yeye akachukulia kuwa kitajengwa Tanzania?
Tatizo utawala wa Tanzania hauaminiki haijulikani kesho atatawala Nani anaweza kufunga hicho kiwanda nakusema ninjama za mabeberu kinazalisha virusi !!
Kumbuka enzi za mwendazake
Jibu lako haliendani na swali ninalojiuliza. Siyo lazima kuwa kiwanda khicho kijengwa Tanzania, ninachouliza mimi ni kuwa Rais alitanganza kitajengwa Tanzania, lakini sasa kimejengwa Kenya. Isingetangazwa na rais, wala usingesikia swali hiliKingejengwa Tanzania ungekuja kuponda humu kuwa tunataka kuletewa magonjwa
Nyie hamueleweki ndo mana mnaitwa pingapinga fc Au malalamiko fc
Zamani kulikuwa ni ukirtimba sana wizara ya afya kuhusu tiba ya magonjwa ya moyo kwa vile wizara ilikuwa inawapeleka India ambako mpaka leo hatuji Wizara ilikuwa inafaidikaje. Kuna jamaa mmoja Dr Masau alishirikiana na taasisi ya Moyo Texas kujenga hospitali ya Moyo Dar es Salaam ili kuepeusha haja ya watanzania kupelekwa India, akawekewa mkwara sana na waizara ya afaya kusudi iendelee kutoa vibali vywa kwenda India. Nadhjani ukiritimba huo uliondolewa au kupungua sana baadaye hadi kufuikia Muhimbili kuimarishwa kuwa na taasisis nzuri ya Moyo.Mlima Kilimanjaro uko Kenya ni sawa tu acha wajenge huko huko.
Miaka fulani Hayati Reginald Mengi (RIP) alipofiwa na mwanawe Motie kwa shida ya moyo (japo inasemekana na mengine yalikuwepo ) aliamua ajenge hospital ya moyo.
Hata foundation ilikuwa tayari, akawekewa zengwe la maana akashindwa kuendelea.
Acha wajenge hiyo ya covid huko huko tutavuka kuchanja anyway.
Kwa mfano huu atadanganywa mangapi? Maana hata ugaidi was the sameInawezekana alidanganywa
Kwani kiwanda Cha Kenya kinajengwa na kampuni iliyomwahidi Rais !!Jibu lako haliendani na swali ninalojiuliza. Siyo lazima kuwa kiwanda khicho kijengwa Tanzania, ninachouliza mimi ni kuwa Rais alitanganza kitajengwa Tanzania, lakini sasa kimejengwa Kenya. Isingetangazwa na rais, wala usingesikia swali hili
Swali lako ni zuri sana; kwa hiyo unadhani na sisi tusubiri cha kwetu bado kinakuja?Kwani kiwanda Cha Kenya kinajengwa na kampuni iliyomwahidi Rais !!