Imekuwaje Simba wameweza kumvumilia Manula?

Imekuwaje Simba wameweza kumvumilia Manula?

Mimi Hata simlaumu Manula ,ndiyo uwezo wake ulipoishia , Hata ingekuwa ndiyo mimi Manula nachaguliwa nisingekataa .

Wakulaumiwa ni KOCHA hajui first eleven yake Mpaka sasahivi na selection yake ni poor na amekaa na timu muda wa kutosha .

Hawa wachezaji wa nje wanacheza viwango vya chini sana huko waliko na hakuna ushindani wowote ni mambo ya kuiga tu ionekane na Tanzania imeita wachezaji wake wa nje .
Nova anaechezea Ukraine anawekwa benchi mechi za uefa .

Nafuu wachezaji wa yanga , simba na azam walio Kwenye mechi za caf champions league au caf confederation Mara kwa Mara .
Huwezi jiuliza kwanini hata Simba sasa hivi hawana imani na Manula? ni kipa mzuri ila kwa sasa form yake imeshuka hata kwa kumuangalia tu unaona physic yake haipo sawa kingine Novatus ni mchezaji mzuri ila hivi karibuni amekua na reckless play anatakiwa kubadilika
 
Nauza kifaa cha kupunguza spidi ya mpira bilion2 hiko anakivaa kipa mkonon kipo kama grouve likipigwa shuti kali sana kile kifaa kina senso mpira na kipa aamue yeye kuupeleka mpira anapopataka iwe juu ya golii au kurudisha kwa spid juu mpaka kumkuta golikipa mwenzako, kiufupi huwez fungwa hata iwe hapa na hapa wakuu niunganishen na timu ya taifa mana vipo viwili tu kimoja nataka niwape kingn nimeweka odd nje kwa offer ya b30 na hv punde watanilipa nimeona kimoja kibak nchini
 
Unashauri nani adake badala ya Manula
Tanzania hatuna na makipa wazuri, na wanashindwa kujifunza kwa Diarra. Mwaka jana Mnatta alifanya kazi nzuri sana alipolinda lango la Yanga dhidi ya TP Mzembe huko Lubumbashi wakati Diarra akiwa nje ya nchi, lakini alipopewa tena jukumu hilo huko Algeria dhidi ya Belouizdad akaboronga. sana.
 
We hujitambui, yaan huwezi kuangalia Simba unapata nguvu ya kuangalia Taifa Stars? Serious? Timu inayoenda kuitikia tu NIPO MWALIMU ikamilishe ratiba 🤣🤣🤣
 
Naona Uto mko kwenye defamation campaigns kama kawaida yenu.. mnajitoa ufahamu kama vile hatukuona tackle ya kijizembe ya mchezaji wa Uto iliyosabasha adhabu iliyozaa goli na mabeki wa kati wa Uto walivyozubaa na kuacha loose ball iwahiwe na mfungaji wa goli
 
Kamuulize Andre Onana uzito wa shuti la Ziyech kabla hujatuletea ushabiki mandazi hapa
 
Binafsi huwa sitazami mechi za Simba SC ila baada ya kuangalia mpira wa stars leo kwakweli nimeona utofauti kati ya Diarra na Manula ni mbingu na ardhi!

Yaani leo nimejua ni nini maana ya kipa!. Sijazoea kabisa kuona makosa ya hovyo kiasi hiki, kipa kutema mipira ambayo alipaswa kuidaka, hususan unapocheza na wapinzani hatari kama morroco! Au huyu kipa anaumwa mikono?

Hivi mashabiki wake wamewezaje kuishi naye? Haya ni mambo ambayo mashabiki wengi hususan wa Yanga hawajazoea kabisa!

Kuna mashuti unapaswa uukumbatie mpira kwa nguvu japo inatokea mara kadhaa unatema ila unahakikisha unafanya clearance, lakini hili shati linatema mipira anayopaswa kudaka/kukumbatia.

Leo nimejua!
Kazi yake ni kutema na sio kutema tu ni kutemea ndani ya box na sio nje

Pale hamna kipa
 
Binafsi huwa sitazami mechi za Simba SC ila baada ya kuangalia mpira wa stars leo kwakweli nimeona utofauti kati ya Diarra na Manula ni mbingu na ardhi!

Yaani leo nimejua ni nini maana ya kipa!. Sijazoea kabisa kuona makosa ya hovyo kiasi hiki, kipa kutema mipira ambayo alipaswa kuidaka, hususan unapocheza na wapinzani hatari kama morroco! Au huyu kipa anaumwa mikono?

Hivi mashabiki wake wamewezaje kuishi naye? Haya ni mambo ambayo mashabiki wengi hususan wa Yanga hawajazoea kabisa!

Kuna mashuti unapaswa uukumbatie mpira kwa nguvu japo inatokea mara kadhaa unatema ila unahakikisha unafanya clearance, lakini hili shati linatema mipira anayopaswa kudaka/kukumbatia.

Leo nimejua!
Hivi unafikiri kukumbatia mpira ,uliopigwa Kitaalnu ni sawa na kumkumbatia mkeo!?
 
Ni mpumbavu tu ndio anayewza kumlau manula kwa mechi ya Jana!, Hivi unaanzaje kumlau mtu ambaye amefanya save na katekeleza jukumu lake la kwanza kuzuia asifungwe?, Ukifikilia hao mabeki walikuwa wapi baada ya kupangua lile shuti?. Beki wa kati ndio walizubaa... Acheni lawama za kipuuzi... BTW, kwahiyo ulitegemea Tz imfunge Morocco?
 
Back
Top Bottom