Aaaa,nashindwa sijui niseme nini nimesoma michango ya watu from pg1 up to 13,kazi ipo,jamani huyu mama alikua na hizi tabia hata kabla ya kuingia kwenye ndoa,hakuna tabia mpya inayozaliwa ndani ya ndoa,hakua mwaminifu kabla ya ndoa na ndo anayoyaendeleza,kwanza wewe ni dini gani? maana tunaaswa na viongozi wetu wa dini kwa habari ya kusamehe wenzetu,sasa kama wewe mr alikuomba msamaha kwa nini ulilipiza? na inavyoonekana wewe si mwadilifu kabisa.nimeshangaa sana unavyojibu,kama kweli wewe ni mwanamke unatudhalilisha wanawake wenzako walioko hapa,yaani kwa jinsi tu unavyotoa maelezo yako na watu kama nyie ndo mnasababisha watu wengine wakate tamaa ya kuingia kwenye ndoa.
Wewe mama wewe hivi ulimpenda huyo mume wako kwa dhati kabla ya kuoana? au kulikua na shinikizo katika uhusiano wenu? napata hisia wewe ndo ulim-convince kaka wa watu akuoe ili uendeleze tabia zako chafu ukiwa mrs, looo nakupa pole zako.