Lovehate
Member
- Apr 26, 2018
- 52
- 75
Ujue sisi tunaopata amani ya moyo pale tunapokuwa tumekaa peke yetu huwa tunaongea na kujijibu wenyewe mambo mengi sana.
1. Nilijiona mpweke sana nikajiuliza inakuwaje sina hata group moja la wasap? Saa hivi ningekuwa nachati chati tu, badae naingia insta nakuta dm "kaka vipi kuna group la shule (sec) kama utapenda nikuunge"
japo nilikataa ila ilinishangaza
2. Niliachika na girl niliyempenda sana,sababu ya maana sina yeye aliyeamua kuniacha ndio anajua, sasa sijui kama nishapona au bado ila moyo unaniambia bado nampenda ila akili inaniambia hanifai tena (nipo upande wa akili)
Sasa leo kwenye kuongea peke angu nikajiuliza hivi ikitokea kaniomba msamaha na turudiane nimjibu nini? Yakaja majibu mengi ila la kurudiana halikuwepo nikaishia hapo,badae naingia wasap nakuta sms zake japo ni ujumbe usionihusu na najua pa kuufikisha.
Pia hili limenishangaza kumfikiria mtu na kuona sms zake.
*nimeshare tu unaeza sema chochote pia tu*
1. Nilijiona mpweke sana nikajiuliza inakuwaje sina hata group moja la wasap? Saa hivi ningekuwa nachati chati tu, badae naingia insta nakuta dm "kaka vipi kuna group la shule (sec) kama utapenda nikuunge"
japo nilikataa ila ilinishangaza
2. Niliachika na girl niliyempenda sana,sababu ya maana sina yeye aliyeamua kuniacha ndio anajua, sasa sijui kama nishapona au bado ila moyo unaniambia bado nampenda ila akili inaniambia hanifai tena (nipo upande wa akili)
Sasa leo kwenye kuongea peke angu nikajiuliza hivi ikitokea kaniomba msamaha na turudiane nimjibu nini? Yakaja majibu mengi ila la kurudiana halikuwepo nikaishia hapo,badae naingia wasap nakuta sms zake japo ni ujumbe usionihusu na najua pa kuufikisha.
Pia hili limenishangaza kumfikiria mtu na kuona sms zake.
*nimeshare tu unaeza sema chochote pia tu*