kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
[emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] positiveKumbe bado unakaa na baba yako?watu wa porini mnadeka sana
Sawa hakuna shida lakin ujumbe umefikaAf ujue mfano mim..kutaja hili neno "mwanaume"..yaan kumwita kamanda mwenzangu hivo sjui najionaje yan,..yan kuna ukakas flan,naweza ita mkuu,au kamanda,ila ukiona mtu yuko huru kutamka hilo neno ujue ana element za kishouger flan...ndo huyu jamaa sasa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe bado unakaa na baba yako?watu wa porini mnadeka sana
aisee usiwahukumu sana huenda sio woteHawa watu ni zero sana
Pengine umegusa kunakoPamoja sana lakin mbona hawa jamaa wanatokwa povu jing sana