Imenisikitisha sana kwahiyo siku hiz mmehamia kwenye biskut? Aisee

Imenisikitisha sana kwahiyo siku hiz mmehamia kwenye biskut? Aisee

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana


Husika na kichwa cha habar hapo juu


Niko hapa dar nimeagizwa vitu kazaa na mshua mara yangu ya mwisho kufika hapa ilikuwa mwaka jana

Mwaka jana nilibaki hoi sana baada ya kufika na kuwaona wanaume waliovaa vinguo vya kubana mapaja kama zile wanazovaa dada zetu, sio hivyo tu nilikuwa nikiwaona wamejikusanya sehemu wanakula vitu vinavyoitwa chips nilishangaa sana kwakweli


Sasa leo ndo nimeshangaa zaid baada ya kuona siku hiz hawali tena chips wanashindia biskuti na azam cola, nimesikitika sana kwakweli aisee


Kwahiyo enyi wanaume wa dar mumetoka kwenye ulaji wa chips na mumehamia kwenye biskut

Ndo maana wanawake wa dar hawaish kulia lia kutolizishwa na wanaume wao

Mnashindia biskut aisee mumeniacha hoi sana


LONDON BABY
Washamba wa mikoan mna tabu
 
Haha watu wa mikoani mnatuonea wivu kwli watu wa dar,, sura ya taifa ni dar banah.. kama unakaa tofauti na hii mikoa , ( dar es salaam , arusha , mwanza , moshi ) basi wewe lazma uonee wivu vijana wa dar
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana


Husika na kichwa cha habar hapo juu


Niko hapa dar nimeagizwa vitu kazaa na mshua mara yangu ya mwisho kufika hapa ilikuwa mwaka jana

Mwaka jana nilibaki hoi sana baada ya kufika na kuwaona wanaume waliovaa vinguo vya kubana mapaja kama zile wanazovaa dada zetu, sio hivyo tu nilikuwa nikiwaona wamejikusanya sehemu wanakula vitu vinavyoitwa chips nilishangaa sana kwakweli


Sasa leo ndo nimeshangaa zaid baada ya kuona siku hiz hawali tena chips wanashindia biskuti na azam cola, nimesikitika sana kwakweli aisee


Kwahiyo enyi wanaume wa dar mumetoka kwenye ulaji wa chips na mumehamia kwenye biskut

Ndo maana wanawake wa dar hawaish kulia lia kutolizishwa na wanaume wao

Mnashindia biskut aisee mumeniacha hoi sana


LONDON BABY
Mwanaume mzima unajiita baby boy
 
Me nakula kila kitu biskuti,chipsi,cola,maku..yaani kiufupi kwenye vyakula tusipangiane kabisa

Ila hapo kwenye suruali zinazobana ndio vijana wenzangu wanaponiacha hoi
Sio ndo mkivaa hivo mnajiona matoz
 
Hichi kivulana ukifuatilia muandiko wake na comment zake utagundua kua ni kapunga flani hivi,hata hii safari ya kuja dar pengine kanatafuta kukunwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kiambie bana kisije kuolewa bure kikasingizia wanaume wa dar.
 
Back
Top Bottom