Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
IMENIUMA SANA
Jana jaman nilialikwa harusini mambo ya minuso na madikodiko,
nimefika getini wahudumu wakanipokea na kunielekeza maandishi nikaona pameandikwa kulia ni ndugu wa maharusi,
kushoto ni wageni waalikwa, nikaenda kushoto maana mimi nimwalikwa.
Nikakuta mbele kuna mlango mwingine umeandikwa kulia wenye zawadi
kushoto wasionazawadi, mimi sikuwa na zawadi nikakata kusho,.
Nikakuta tena mlango umeandikwa kulia wanawake kushoto waume,
kidume na suti yangu nikakata kushoto, ghafla nikajikuta nimetokea nje mtaani...
Sikuhoji mtu yeyote,
nikaanza safari kurudi nyumbani
Mbutu Kigamboni....
Kama harusi tu tunafanyiana hivi huu sasa uuaji,
Jana nililala na Hasira[emoji35] [emoji35]
Jana jaman nilialikwa harusini mambo ya minuso na madikodiko,
nimefika getini wahudumu wakanipokea na kunielekeza maandishi nikaona pameandikwa kulia ni ndugu wa maharusi,
kushoto ni wageni waalikwa, nikaenda kushoto maana mimi nimwalikwa.
Nikakuta mbele kuna mlango mwingine umeandikwa kulia wenye zawadi
kushoto wasionazawadi, mimi sikuwa na zawadi nikakata kusho,.
Nikakuta tena mlango umeandikwa kulia wanawake kushoto waume,
kidume na suti yangu nikakata kushoto, ghafla nikajikuta nimetokea nje mtaani...
Sikuhoji mtu yeyote,
nikaanza safari kurudi nyumbani
Mbutu Kigamboni....
Kama harusi tu tunafanyiana hivi huu sasa uuaji,
Jana nililala na Hasira[emoji35] [emoji35]