Pole sana mkuu.[emoji856][emoji856][emoji856]...
Kwakweli nimeumia sana sana katika hili ndugu zangu, naweza onekana wa ajabu lakini nimeumia sanaaaa!
Jana nimepokea taarifa ya kifo cha paka wangu ambaye aliondoka nyumbani takribani siku 3, jana napata taarifa yakuwa aliuwawa tena kwa kuchomwa moto [emoji24]
Kinachoniuma zaidi baada ya kuchomwa moto naskia akaliwa na mbwa [emoji24][emoji24]
Pia alikuwa anaujauzito [emoji37] binadamu wakatili kwakweliii....
Dah asee ahsante sana!polee sana.
me napaka wangu nimemlea toka kakiwa kadogo. ila anishangaza sijawai mfuma na jike sijui nikahanisi haka kapaka. na hatokagi nje ya geti, au usiku nikilala anaruka ukuta anaenda kufanya ufuska. nimeshamchunguza nimekosa majibu.
vipo.... si ndo hivi vivulana?Baharia [emoji848]Sizani kama JF kuna baharia...
Pole sana mkuu...umenikumbusha msiba wa paka wangu nilisafiri nikakuta amekufa kaacha vichanga viatu vya wiki..nilipambana vimebaki viwili tu...my dear Simba.miss you
Kama sabuni zinaisha bila mpango ndanipolee sana.
me napaka wangu nimemlea toka kakiwa kadogo. ila anishangaza sijawai mfuma na jike sijui nikahanisi haka kapaka. na hatokagi nje ya geti, au usiku nikilala anaruka ukuta anaenda kufanya ufuska. nimeshamchunguza nimekosa majibu.