Imeniuma sana

Imeniuma sana

Kwa nn aguse cmu ya Mr.????
Alicho kuwa akitafuta ndo hicho siku ingine hato rudia kamwe.
Kugusa simu ya mmeo kuna kosa gani? labda kama una roho nyepesi. na alichoharibu kimoja tu, angeisoma halafu ampe mr na kumwambia msg yako hii mpenzi halafu kimya, mwisho wa story.
 
Napata hisia kwamba ndoa ilikua ya kung'ang'aniza....so girls don force your ways into marriage....let the act be mutual.
 
Babra pole sana kwa huyo rafiki yako. Jamani yaani vituko hivi mie vimenichosha. Ukiingia kwenye forum ya Harusi Yangu utasema mimi siolewi kabisa yaani ndoa siku hizi ni kitu cha ajabu kabisa. Kule kuna mke mwenye mimba ya miezi saba na nusu kamkuta mumewe kwa hawara yake (baada ya kumfuatilia) akiwa uchi kama alivyozaliwa ni vile tu alipozaliwa hakuzaliwa na yale manywele meusi huko chini- mdada kwa hasira akaishia kumwambia mumewe asirudi nyumbani na jinyamaume lile halikurudi likalala kule kule kwa hawara.

Sasa huyu naye jamani ah!! Si kazi bure wazee wetu walionaga mbali walipokuwa wanawaozesha mama zetu kwa watu wanaowafahamu vizuri hadi koo zao na walihakikisha ni wa koo za karibu. Nadhani hii ilisaidia sana kupunguza mistreatments za hapa na pale.

najaribu kuwaza kama isingekuwa ni taboo nineshauri watu wawe wanaolewa na ndugu zao kama mabinamu, watoto wa baba/mama mkubwa e.t.c hizi extremes za maovu zingepungua huwenda

aaaaaaaaaah nasikia kuzimia MJ1 jamani wanaume kwa nini mnatufanyia hivi?
kwanini mnaoa kama hamko tayari kukaa na mke ?
 
ndio carmel, yaani wacha tu! jokes aside mie ndoa zimenichosha sana, nikickia mtu anaolewa nasema wacha apate hiyo heshima jamii inayoongelea lakini utamu wa ngoma humo ndani atauona mwenyewe.
Ndio hivyo, kuolewa kutamu ila stugle nazo zimo nyingi tu. kama wasemavyo wenzetu, marriage is not a bed of roses maana hata mti wa rose una miba.
 
tunamuombea kwa kweli apone kabisa. Lesson 1. Dont save your "hun" contact kwenye simu yako, lesson 2:do not browser your spouse fone lesson 3:make sure if you suspect your hun is cheating confront him/her at the police station!!


omgness....
 
G plz!!!!!!!!just count ur left daiz before u say "for beta for was till death do u pat"
nikiangalia avata yako najilaumu ni kwanin sikukuona mapema...!lol😀
 
wanaume WENGINE bana!
GADEMU ZAO....!
 
Napata hisia kwamba ndoa ilikua ya kung'ang'aniza....so girls don force your ways into marriage....let the act be mutual.
acha hizo, hatuongelei hisia hapa. tunaongelea problem at hand.
 
tunamuombea kwa kweli apone kabisa. Lesson 1. dont save your "hun" contact kwenye simu yako, lesson 2😀O NOT browser your spouse fone lesson 3:MAKE SURE if you suspect your hun is cheating confront him/her at the police station!!

Mmmh!!! hii kiboko
 
Babra wala si shetani ni MUNGU alitaka kumueleleza huyo bwana anayejifanya muaminifu katika ndoa yake. Unakumbuka mie nilisema juu ya zile sms nilizokuta kwenye simu ya Mr. Mimi pia sikuwa na tabia ya kugusa simu yake hata iite mara mia ila siku hiyo imagine alikuja chicha hajiwezi nikamvua nguo simu nikaziacha kwenye mfuko wa suruali nikapanda kitandani kulala- usingizi hauji, sauti within me inaniambia 'soma messages za Mr. soma , we acha ujinga soma, nakwambia leo hulali soma' dada nilikaa macho one hour najigeuza tu mwenzangu anakoroma- mwisho nikajiuliza kwa nini nikaamka na kuichukua na kuifungua na sms ya kwanza kukutana nayo ni ya huyo hawara yake .... zikafuata na nyingine nyingi.


Na siku zote alikuwa anaimba kuwa akijanikuta au kusikia namegwa na mtu nje ya ndoa ataniua kwa kuwa yeye hamegi. Nikapata pa kuanzia,
vp hapo kwenye red ulitembeza Kichapo nn alipo amka?

Kugusa simu ya mmeo kuna kosa gani? labda kama una roho nyepesi. na alichoharibu kimoja tu, angeisoma halafu ampe mr na kumwambia msg yako hii mpenzi halafu kimya, mwisho wa story.
Kwa nilivyosoma hii stori kwa jinsi mumewe alivyo Kichapo kilikua pale pale wanaume wengine Sooo!!
 
Its terrible.....lakini tutumie busara zaidi. Kama suala ni kuuliza tu hii message imetoka wapi mtu aanza kukupiga....it doesnt make sense. Tukubali lazima kumetokea vita ya maneno mpaka ustaarabu ulipotoka na kurudi enzi za ushenzi kupigana makofi. I remember one day nilirudi home, wife akakuta single ndom kwenye mfuko wangu...akaniuliza hii condom vipi? Kwa kweli sikujibu kitu nilitoka sebuleni na hakunifuata kuniuliza tena.....mambo yakaishia hapo (nafikiri alifurahi at least na-take care).

Na kwa akili yako unafikiri ndo ulikuwa umetatua tatizo? Kutokukuuliza!

sasa watch out chief; Hapo umemfungulia mlango wife wako na siku moja tena siku si nyingi utamkuta Mume mwenzio hapo nyumbani! Mark my words!

Unajua usemi wa kiswahili usemao Mytenda hutendewa!
na ule wa Kiingerza wa What goes arround comes arround? (Cjui nimepatia na hii fom fwo yangu!)

Sasa ndugu nakuomba; Kaaa na my wife yako Muombe msamaha!

Wala usijitie ujanja ndugu yangu wewe jishushe toka huko ghorofani uliko jijazia misifa ya uanaume na muangukie mwenzi wako kwa kosa kubwa ulilomfanyia!

Hastahili hata kidogo kufanyiwa hivyo ikiwa kweli huyo ni mkeo!

Nitakuambia kitu kimoja ambacho cc wanaume kinatuponza!

We always think whe we "PLAY" with women we are the WINNERs and the masters of the GAME! For your information we are the biggest LOOSERS na women can drive us like anything by acting dumb like in this case! She is not as dumb as you think!

Take care!

Back to the topic

Huyo jamaa anastahili kuwa jela muda huu tunaongea na kama ingekuwa amri yangu afungwe maisha asikuta nae na viumbe wengine tena milele!
 
Its terrible.....lakini tutumie busara zaidi. Kama suala ni kuuliza tu hii message imetoka wapi mtu aanza kukupiga....it doesnt make sense. Tukubali lazima kumetokea vita ya maneno mpaka ustaarabu ulipotoka na kurudi enzi za ushenzi kupigana makofi. I remember one day nilirudi home, wife akakuta single ndom kwenye mfuko wangu...akaniuliza hii condom vipi? Kwa kweli sikujibu kitu nilitoka sebuleni na hakunifuata kuniuliza tena.....mambo yakaishia hapo (nafikiri alifurahi at least na-take care).


hiyo angekuwa imemkuta babra nakuhakikishia hayo unayosema ungekuwa sawa kabisa, kwa huyu nimjuavyo hanaga papara, kwa maelezo yake alivyoona hajibiwi akajua tu ndio mambo ni mseto tayari na akasema alikuwa hana nia ya kumuuliza/cctiza coz ameshajua kinachoendelea hata angetaka ajibiwe angepewa historia tu, na nimemuuliza housegal walivyofika home ilikuwaje? akaniambia dada aliingia tu ndani kama kawaida akawa anaangalia tv ndio kaka akaja na kuanza kumpiga vibao, vibao vikazaa ngumi na kuvua mkanda kumtandika nao....mie ningelala nae polic walaah..
 
Kwa nn aguse cmu ya Mr.????
Alicho kuwa akitafuta ndo hicho siku ingine hato rudia kamwe.


yaani cjui ni nini juzi hiyo kimemuingia frnd wangu, sasa na huyu mume kama anajiamini kweli kwanini hajulikani alipo, sio job/home wala fone haipatikani, c aje bac a face tatizo?
 
tunamuombea kwa kweli apone kabisa. Lesson 1. dont save your "hun" contact kwenye simu yako, lesson 2😀O NOT browser your spouse fone lesson 3:MAKE SURE if you suspect your hun is cheating confront him/her at the police station!!
Mh mkuu vp cku izi polisi wanakitengo cha ku investigate affairs? maana baada ya kutoka police kama Mumeo ni design ya huyu jamaa asee itabidi utafute tu pa kulala!!
 
Back
Top Bottom