Kugusa simu ya mmeo kuna kosa gani? labda kama una roho nyepesi. na alichoharibu kimoja tu, angeisoma halafu ampe mr na kumwambia msg yako hii mpenzi halafu kimya, mwisho wa story.Kwa nn aguse cmu ya Mr.????
Alicho kuwa akitafuta ndo hicho siku ingine hato rudia kamwe.
siriaaz eti!...ah ah ah u made me cheka mby
siriaaz eti!...
get it pal!Msasha hilo pozi la avator umeliona!! mapozi kama hayo nayaonaga sehemu sehemu fulani!! do ger whar am saying?
Babra pole sana kwa huyo rafiki yako. Jamani yaani vituko hivi mie vimenichosha. Ukiingia kwenye forum ya Harusi Yangu utasema mimi siolewi kabisa yaani ndoa siku hizi ni kitu cha ajabu kabisa. Kule kuna mke mwenye mimba ya miezi saba na nusu kamkuta mumewe kwa hawara yake (baada ya kumfuatilia) akiwa uchi kama alivyozaliwa ni vile tu alipozaliwa hakuzaliwa na yale manywele meusi huko chini- mdada kwa hasira akaishia kumwambia mumewe asirudi nyumbani na jinyamaume lile halikurudi likalala kule kule kwa hawara.
Sasa huyu naye jamani ah!! Si kazi bure wazee wetu walionaga mbali walipokuwa wanawaozesha mama zetu kwa watu wanaowafahamu vizuri hadi koo zao na walihakikisha ni wa koo za karibu. Nadhani hii ilisaidia sana kupunguza mistreatments za hapa na pale.
najaribu kuwaza kama isingekuwa ni taboo nineshauri watu wawe wanaolewa na ndugu zao kama mabinamu, watoto wa baba/mama mkubwa e.t.c hizi extremes za maovu zingepungua huwenda
Ndio hivyo, kuolewa kutamu ila stugle nazo zimo nyingi tu. kama wasemavyo wenzetu, marriage is not a bed of roses maana hata mti wa rose una miba.ndio carmel, yaani wacha tu! jokes aside mie ndoa zimenichosha sana, nikickia mtu anaolewa nasema wacha apate hiyo heshima jamii inayoongelea lakini utamu wa ngoma humo ndani atauona mwenyewe.
tunamuombea kwa kweli apone kabisa. Lesson 1. Dont save your "hun" contact kwenye simu yako, lesson 2:do not browser your spouse fone lesson 3:make sure if you suspect your hun is cheating confront him/her at the police station!!
nikiangalia avata yako najilaumu ni kwanin sikukuona mapema...!lolπG plz!!!!!!!!just count ur left daiz before u say "for beta for was till death do u pat"
acha hizo, hatuongelei hisia hapa. tunaongelea problem at hand.Napata hisia kwamba ndoa ilikua ya kung'ang'aniza....so girls don force your ways into marriage....let the act be mutual.
nikiangalia avata yako najilaumu ni kwanin sikukuona mapema...!lolπ
tunamuombea kwa kweli apone kabisa. Lesson 1. dont save your "hun" contact kwenye simu yako, lesson 2πO NOT browser your spouse fone lesson 3:MAKE SURE if you suspect your hun is cheating confront him/her at the police station!!
vp hapo kwenye red ulitembeza Kichapo nn alipo amka?Babra wala si shetani ni MUNGU alitaka kumueleleza huyo bwana anayejifanya muaminifu katika ndoa yake. Unakumbuka mie nilisema juu ya zile sms nilizokuta kwenye simu ya Mr. Mimi pia sikuwa na tabia ya kugusa simu yake hata iite mara mia ila siku hiyo imagine alikuja chicha hajiwezi nikamvua nguo simu nikaziacha kwenye mfuko wa suruali nikapanda kitandani kulala- usingizi hauji, sauti within me inaniambia 'soma messages za Mr. soma , we acha ujinga soma, nakwambia leo hulali soma' dada nilikaa macho one hour najigeuza tu mwenzangu anakoroma- mwisho nikajiuliza kwa nini nikaamka na kuichukua na kuifungua na sms ya kwanza kukutana nayo ni ya huyo hawara yake .... zikafuata na nyingine nyingi.
Na siku zote alikuwa anaimba kuwa akijanikuta au kusikia namegwa na mtu nje ya ndoa ataniua kwa kuwa yeye hamegi. Nikapata pa kuanzia,
Kwa nilivyosoma hii stori kwa jinsi mumewe alivyo Kichapo kilikua pale pale wanaume wengine Sooo!!Kugusa simu ya mmeo kuna kosa gani? labda kama una roho nyepesi. na alichoharibu kimoja tu, angeisoma halafu ampe mr na kumwambia msg yako hii mpenzi halafu kimya, mwisho wa story.
Its terrible.....lakini tutumie busara zaidi. Kama suala ni kuuliza tu hii message imetoka wapi mtu aanza kukupiga....it doesnt make sense. Tukubali lazima kumetokea vita ya maneno mpaka ustaarabu ulipotoka na kurudi enzi za ushenzi kupigana makofi. I remember one day nilirudi home, wife akakuta single ndom kwenye mfuko wangu...akaniuliza hii condom vipi? Kwa kweli sikujibu kitu nilitoka sebuleni na hakunifuata kuniuliza tena.....mambo yakaishia hapo (nafikiri alifurahi at least na-take care).
Its terrible.....lakini tutumie busara zaidi. Kama suala ni kuuliza tu hii message imetoka wapi mtu aanza kukupiga....it doesnt make sense. Tukubali lazima kumetokea vita ya maneno mpaka ustaarabu ulipotoka na kurudi enzi za ushenzi kupigana makofi. I remember one day nilirudi home, wife akakuta single ndom kwenye mfuko wangu...akaniuliza hii condom vipi? Kwa kweli sikujibu kitu nilitoka sebuleni na hakunifuata kuniuliza tena.....mambo yakaishia hapo (nafikiri alifurahi at least na-take care).
Kwa nn aguse cmu ya Mr.????
Alicho kuwa akitafuta ndo hicho siku ingine hato rudia kamwe.
Mh mkuu vp cku izi polisi wanakitengo cha ku investigate affairs? maana baada ya kutoka police kama Mumeo ni design ya huyu jamaa asee itabidi utafute tu pa kulala!!tunamuombea kwa kweli apone kabisa. Lesson 1. dont save your "hun" contact kwenye simu yako, lesson 2πO NOT browser your spouse fone lesson 3:MAKE SURE if you suspect your hun is cheating confront him/her at the police station!!
acha hizo!G mm kuku wa kienyeji husingeniweza,ww umezoea wa kidhungu
acha hizo!
mimi ninaona kabisa wewe ni A WOMAN OF MY TYPE...!π
mtoto wa uswazi mimi