Elections 2015 Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Mie hadi homa . Kichwa kinauma sana ndugu zangu. Kila kukicha ni uhuni tu huku kwetu. Kwa nini hatuwi wawazi kuhusu masuala ya demokrasia? Leo hii inasemekana kashinda Seif ila dosari ni kujitangaza kuwa kashinda, kesho ccm itakuja na kudai kurudiwa uchaguzi. Kikubwa ni kuwa mshindi si lazima ajulikane kwa sababu kura zinahesabiwa mara baada ya vituo kufungwa na matokeo kutolewa hapo hapo. Sasa ni ajabu gani mtu kujua matokeo yake na kudai kutangazwa kama anaona mawengewenge ya kuhujumiwa?
 

Kama ambavyo hata CCM walivyojua kuwa Matokeo ya uchaguz wa 2015 matokeo yangetangazwa kama yalivyo walishagalagazwa vibaya kule Zanzibar
 
hahaha mkuu mi mwenyewe nimemshangaa ameanza vizuri then akamalizia na upuuzi
 
Nimeifungua fasta hii thread nikitegemea kupata jipya hilo hadi liandikwe imethibitika lkn sijapata!!!
BTW Pasco...hivi miaka yoooooteee hiyo na jinsi ninavyo kufahamu LEO KWENYE MDAHALO HUO NDO UMETHIBITISHA USHINDI WA MAALIM??? TENA KUTOKA KWA KIDAW LIMBU (The forsaken Chairman of ADC)
IS IT A RELIABLE SOURCE TO YOU PASCO???? Vielelezo gani alivyotoa humo kwenye mdahalo hadi ukurupuke kusema UMETHIBITISHA Pasco? ?? Waooo thats fantastic. ...pole bro ila ni kujifunza tu
 
Kama kuongea kuwa Maalim kashinda wengi wamesema, watupe uthibitisho usio na Shaka basi

Uhibitisho usio na shaka unapatikana kwa kujumlisha matokeo ya vituo vyote vya wapiga kura yaliyobandikwa kila kituo baada ya upigaji kura kumalizika!!! Jumla hiyo ndiyo yaliyoonesha kuwa maalim Seffu ndio alikuwa mshindi!!
 
Kumbe huaga kuna bao la mkono kwenye uchaguzi?
 

Huyo atakuwa msomi uchwara; wapiga kura wa uchaguzi wa Zanzibar na wa Muungano siyo "wale wale" katika mazingira yote na kwa namna zote. Wapo wanaopiga kura uchaguzi wa Muungano lakini hawapigi wa Zanzibar! Kama hili huyo msomi halielewi basi hitimisho lake linaanguka kwa kukosewa kwenye premise yake.
 
Nikadhani huyo Limbu kaweka ushahidi mezani ambao haukuwahi kuwepo kabla kumbe kwa sababu kasema msomi basi inakuwa imethibitika.

Reasoning zingine zinakufanya utilie shaka utimamu wa akili wa baadhi ya waleta mada.
 
Acha ujinga
 
Mchangiaji nawe tunakuomba utoe vielelezo alivyotumia Jecha KUFUTA uchaguzi!
 
 
Kaka pasco...kwanza kula like... kwa analysis yakinifu... lakn hapo swala la kurejewa uchaguzi bro... naomba upembuzi zaidi... if Maalim participates katika huu uchaguzi... and wins kwa margin kubwa.. kama alivoshinda october... what are the chances ya yy kutangazwa? Je atatangazwa... au akishinda tena uchaguzi utafutwa tusubiri siku 90 nyengine?..nisaidie
 
Pasi Na shaka CCM wanna nguvu ya ziada wanayojivunia ukiacha Polisi, jeshi, hii sio kawaida, kung'ang'ania gani huku?
 
Kama kuongea kuwa Maalim kashinda wengi wamesema, watupe uthibitisho usio na Shaka basi
Upo uzi hapa JF ambamo ziliwekwa zile fomu za matokeo zilizotoka majimboni. Ziliwekwa siku za mwanzoni baada ya Jecha kuamriwa na ssm kutengeneza mkwamo.
Utafute uzi huo,ujiridhishe. CCM walipigwa na chini na wapiga kura kama kawaida tangia 1995.
 
Cuf wasikubali kurudia uchaguzi. Muda wote huu jamaa walikuwa wanajiandaa kupanua ile milingoti ya magoli ili kuongeza urahisi wa magoli menginzaidi kuingia.
 

Maoni ya mtu, na takwimu zisizoeleweka, umeongezea na mahaba yako umepata jibu Maalim alishinda. Ama kweli ujinga mzigo... kakojoe ukalale...
 

Watu wanaendelea kupiga porojo tu waacheni wajiliwaze, maana walifikiri Watanzania wamelala usingizi wa pono. Peremende ambazo wanalamba lamba bado hazijaisha. Give them 2 years utaona ngoma itakavyokuwa tamu, hizi pipi zote zitasafishwa kwa udi na uvumba.
 
Aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…