Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Kwani umeambiwa wananchi wamekataa kutozwa ushuru Kwa ajili ya maendeleo ya nchi shida ipo wananchi wanatozwa ushuru wa juu halafu pesa wanakula watumishi wananenepa vitambi huku wananchi wanataabika hayo ndio maendeleo siosema tu unamkubali Ormond tu,
but anazungumza mambo ya kawaida sana tangu aanza kuandamana kipindi cha unga bei juu...
ni kweli wamgoje 2027,
na hayupo atampiku kiti cha Urais..
na hata Eric Ormond hiyo 2027 agombee ili alambishwe sakafu vizuri π
hata ashuke malaika Kenya sasa hivi hawez ongoza nchi ile bila kutoza ushuru.
maana yake wanatangeneza nchi ambayo Ikitokea Raisi anatoza ushuru tu basi vijana wanaandamana wana mtoa,π€£