Imevuja: Jokate anaishi na Hasheem Thabeet

Imevuja: Jokate anaishi na Hasheem Thabeet

Badala ya kujadili mapenzi tuuu; tujadili kwa nini huyu Mtanzania mwenzetu (Thabit Hasheem) anachemsha sana NBA,?
 
Shida wap hapo! Waache wale rahaa au ulitaka aje ishi na wewe mbeba mabox?
 
Kuna habari ambazo zimevuja katika website moja inayokwenda kwa jina la www.u-turn.co.tz kwamba Miss Joketi Mwegelo amemfuata Hasheem marekani na kuishi nae. Habari yenyewe iliandika hivi


MISS AHAMIA MAREKANI KUISHI NA HASHEEM THABEET....
Golden boy Hasheem thabeet yuko deep in love na binti wa kibongo. Mapenzi hayo yalianza mienzi michache iliyopita hasheem alIvyokuwa dare s salaam, Kwa macho yangu nilikuwa nikimuona huyo demu( ambae alikuwaga miss Tanzania number 2 miaka michache iliyipota)
Akiwa na hasheem kwenye kiwanja cha basketball cha mlimani, yani demu alikuwaga anamsubiri hasheem hapo basketball court karibia kila siku . Na kwa sasa dada huyo yupo Memphis,Marekani akiishi kama mke na mume na Hasheem Thabeet.
Nimeipenda sana couple yao sababu inaonekana ni mapenzi ya kweli,Hasheem katulia sana kwa sasa haoni wala hasikii juu ya huyo binti na binti na yeye kaacha shughuli zake bongo kamfata jamaa marekani,binti pia ni msomi ndio kamaliza university mwaka huu,alikuwa anasoma sheria pale mlimani.


Hasheem alinicheki kwenye simu usiku wa kuamkia leo na kuniambia kuwa huyu mtu anayemiliki hiyo website ni muongo kabisa. Namnukuu Hasheem
"Joketi ndio ni rafiki yangu tokea nikiwa Bongo ila kwa sasa hata mimi nasikia yuko Marekani so siishi nae wala nini hizi ni habari za kizushi

chanzo djchoka blog

Jokate hajamaliza sheria,amemaliza BA IN POLITICAL SCIENCE+PUBLIC ADMINISTRATION,(BA,PSPA),nina uhakika koz nilisoma nae baadh ya koz za POLITICAL SCIENCE(PS)
 
Kuna habari ambazo zimevuja katika website moja inayokwenda kwa jina la www.u-turn.co.tz kwamba Miss Joketi Mwegelo amemfuata Hasheem marekani na kuishi nae. Habari yenyewe iliandika hivi


MISS AHAMIA MAREKANI KUISHI NA HASHEEM THABEET....
Golden boy Hasheem thabeet yuko deep in love na binti wa kibongo. Mapenzi hayo yalianza mienzi michache iliyopita hasheem alIvyokuwa dare s salaam, Kwa macho yangu nilikuwa nikimuona huyo demu( ambae alikuwaga miss Tanzania number 2 miaka michache iliyipota)
Akiwa na hasheem kwenye kiwanja cha basketball cha mlimani, yani demu alikuwaga anamsubiri hasheem hapo basketball court karibia kila siku . Na kwa sasa dada huyo yupo Memphis,Marekani akiishi kama mke na mume na Hasheem Thabeet.
Nimeipenda sana couple yao sababu inaonekana ni mapenzi ya kweli,Hasheem katulia sana kwa sasa haoni wala hasikii juu ya huyo binti na binti na yeye kaacha shughuli zake bongo kamfata jamaa marekani,binti pia ni msomi ndio kamaliza university mwaka huu,alikuwa anasoma sheria pale mlimani.


Hasheem alinicheki kwenye simu usiku wa kuamkia leo na kuniambia kuwa huyu mtu anayemiliki hiyo website ni muongo kabisa. Namnukuu Hasheem
"Joketi ndio ni rafiki yangu tokea nikiwa Bongo ila kwa sasa hata mimi nasikia yuko Marekani so siishi nae wala nini hizi ni habari za kizushi

chanzo djchoka blog

Jokate hajamaliza sheria,amemaliza BA IN POLITICAL SCIENCE+PUBLIC ADMINISTRATION,(BA,PSPA),nina uhakika koz nilisoma nae baadh ya koz za POLITICAL SCIENCE(PS)
 
Kuna habari ambazo zimevuja katika website moja inayokwenda kwa jina la www.u-turn.co.tz kwamba Miss Joketi Mwegelo amemfuata Hasheem marekani na kuishi nae. Habari yenyewe iliandika hivi


MISS AHAMIA MAREKANI KUISHI NA HASHEEM THABEET....
Golden boy Hasheem thabeet yuko deep in love na binti wa kibongo. Mapenzi hayo yalianza mienzi michache iliyopita hasheem alIvyokuwa dare s salaam, Kwa macho yangu nilikuwa nikimuona huyo demu( ambae alikuwaga miss Tanzania number 2 miaka michache iliyipota)
Akiwa na hasheem kwenye kiwanja cha basketball cha mlimani, yani demu alikuwaga anamsubiri hasheem hapo basketball court karibia kila siku . Na kwa sasa dada huyo yupo Memphis,Marekani akiishi kama mke na mume na Hasheem Thabeet.
Nimeipenda sana couple yao sababu inaonekana ni mapenzi ya kweli,Hasheem katulia sana kwa sasa haoni wala hasikii juu ya huyo binti na binti na yeye kaacha shughuli zake bongo kamfata jamaa marekani,binti pia ni msomi ndio kamaliza university mwaka huu,alikuwa anasoma sheria pale mlimani.


Hasheem alinicheki kwenye simu usiku wa kuamkia leo na kuniambia kuwa huyu mtu anayemiliki hiyo website ni muongo kabisa. Namnukuu Hasheem
"Joketi ndio ni rafiki yangu tokea nikiwa Bongo ila kwa sasa hata mimi nasikia yuko Marekani so siishi nae wala nini hizi ni habari za kizushi

chanzo djchoka blog.

.

Unamjua mwenye U-TURN blog?. hii habari ichukue kwa makini
 
Kwanza hongera hasheem kusikia umerudi bongo na kutafuta kitu chako cha kitanzania na zani hayo mapenzi yenu yatakuwa ni ya dhati big up kaka hasheem
 
Ma superstar wote si bongo wala nje ni ma gold digger. Mapenzi yao yako well calculated wala hawa-fall in love with a person but person's properties Ndo maana break ups ni nyingi sana. Mimi siamini Uwoya kampenda Ndikumana mtu alokuwa nchi nyingine na kuna wanaume kibao bongo. Kaangalia mafao jamaa akichacha tu, talaka.
 
Back
Top Bottom