Imewaka Engine check,alarm ya reverse ina mafua,mshale wa rpm unacheza sana,engine wakati mwingine inamis kuwaka

Imewaka Engine check,alarm ya reverse ina mafua,mshale wa rpm unacheza sana,engine wakati mwingine inamis kuwaka

profesawaaganojipya

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2015
Posts
1,595
Reaction score
3,416
Wakuu nahitaji ushauri.Gari ni RUNX,maji yalikuwa yakipungua kidogo,fundi wangu akafungua kabisa REJETA ili aicheki,lakini hakuona tatizo.
Iliporudishiwa ndo yameibuka matatizo ambayo hayakuwepo,Engine chek imewaka,alarm ya reverse gia ina koroma,mishale ya dashboad hasa rpm unajiless sana,wakati mwingine gari inamis kuwaka,sasa fundi nae uwezo wake umeishia hapo,ila gari inatembea,na matatizo ndo hayo,msaad kwa mzoefu wa hizi mambo wakuu.
 
Wakuu nahitaji ushauri.Gari ni RUNX,maji yalikuwa yakipungua kidogo,fundi wangu akafungua kabisa REJETA ili aicheki,lakini hakuona tatizo.
Iliporudishiwa ndo yameibuka matatizo ambayo hayakuwepo,Engine chek imewaka,alarm ya reverse gia ina koroma,mishale ya dashboad hasa rpm unajiless sana,wakati mwingine gari inamis kuwaka,sasa fundi nae uwezo wake umeishia hapo,ila gari inatembea,na matatizo ndo hayo,msaad kwa mzoefu wa hizi mambo wakuu.
Ina maana umeshindwa kupeleka mutukaa yako gereji ndiyo umeamua kutupatia quiz humu JF?Hebu acha usumbufu zee la RUNX.
 
Wakuu nahitaji ushauri.Gari ni RUNX,maji yalikuwa yakipungua kidogo,fundi wangu akafungua kabisa REJETA ili aicheki,lakini hakuona tatizo.
Iliporudishiwa ndo yameibuka matatizo ambayo hayakuwepo,Engine chek imewaka,alarm ya reverse gia ina koroma,mishale ya dashboad hasa rpm unajiless sana,wakati mwingine gari inamis kuwaka,sasa fundi nae uwezo wake umeishia hapo,ila gari inatembea,na matatizo ndo hayo,msaad kwa mzoefu wa hizi mambo wakuu.
Mtafute fundi MAIKO akusaidie kuiweka gari juu ya mawe!
 
Kama maji yalikuwa yakipungua kidogo kwanini usingekuwa unacheck na ku top up?

Huenda:
Kwenye kushusha rejeta, iliporudishiwa, upepo haukutolewa vizuri kwenye system (bleeding)

Kama palibaki na upepo (air bubbles) na ukatembea na gari then engine itakuwa imeoverheat na either:
Kuua cylinder head gasket
Kupindisha cylinder head/block
Kuunguza crankshaft position sensor

Hiyo reverse yako kukoroma haisababishwi na haya niliyoyataja, ila symptom nyingine zinaelekea

Je, gari inapowaka kwa shida, kunq moshi wowote unaouona kwenye exhaust?
 
Humu mafundi wapo Mkuu,
Hope utapata ushauri na contact zao,

All the best.
 
Wakuu nahitaji ushauri.Gari ni RUNX,maji yalikuwa yakipungua kidogo,fundi wangu akafungua kabisa REJETA ili aicheki,lakini hakuona tatizo.
Iliporudishiwa ndo yameibuka matatizo ambayo hayakuwepo,Engine chek imewaka,alarm ya reverse gia ina koroma,mishale ya dashboad hasa rpm unajiless sana,wakati mwingine gari inamis kuwaka,sasa fundi nae uwezo wake umeishia hapo,ila gari inatembea,na matatizo ndo hayo,msaad kwa mzoefu wa hizi mambo wakuu.
Hapo shida ipo kwenye control box inatakiwa pia iwe flashed history yake sio tatzo kubwa. Kwa mafundi haswa wanajua
 
Kafanye Diagnosis

Maji kupungua kwenye Resevoir tank au kwenye rejeta?

Mtafute fundi acheki mfumo wote wa mafuta, water pump, na mfumo wote wa cooling system.

Nakuahauri usiendeshe gari bila kuicheki kwanza
 
Hapo shida ipo kwenye control box inatakiwa pia iwe flashed history yake sio tatzo kubwa. Kwa mafundi haswa wanajua
asante mkuu,kwa ushauri wako,nikishafanyia kazi ntakupa mrejesho,pia juzi ilizima ghafla katikati ya barabara..
 
Back
Top Bottom